HUKUMU YAKUNYONGWA YAWALIZA WENGI
Sakata la watanzania wawili ambao ni mke na mume kukamatwa na dawa za kulevya 'unga' nchini china na mtoto wao kurudishwa Bongo, limeingia sura mpya baada ya familia za pande zote mbili kuzungumza na siri ya safari yao kufichuka.
Wakazi wa magomeni jijini Dar es salaam, Baraka Malali na mkewe Ashura Musa walikamatwa januari 19 mwaka huu kwenye uwanja wa ndege, Baiyun jijini Guangzhou China, wakiwa wamemeza jumla ya pipi 129 za Dawa za kulevya zilizosadikika kuwa ni heroin, mume alipakia pipi 47 na mkewe pipi 82.
Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Негізгі бет WALIOKAMATWA CHINA! Hukumu ya 'Kunyongwa' Yawaliza Wengi
Пікірлер: 263