Miaka mitano iliyopita, Mzee Hassan Nassor Moyo alifukuzwa kutoka chama chake alichodumu nacho muda mrefu cha CCM kwa shutuma za kukiuka misingi ya chama hicho. Mwenyewe aliiambia Sauti ya Ujerumani ya Deutsche Welle kwamba hajali na angeliendelea kukisimamia alichokuwa akikiamini ambacho ni Maridhiano ya Wazanzibari, Muungano wa Serikali Tatu, na Zanzibar yenye mamlaka yake.
- Күн бұрын
Wamenifukuza CCM lakini hawawezi kuuchukuwa uzalendo wangu kwa Zanzibar - Mzee Moyo
- Рет қаралды 50,585
Пікірлер: 61