Hakika mnafanya kazi nzuri sana ju nimejifunza mengi kutoka kwenu. Mimi ni muislamu mpya nataka kufunga Ramadhani ya kwanza na ningependa kufahamu mengi
@Ismaelnoton2543
Жыл бұрын
@@F.j84 shukurani inshallah mwenyezi Mungu afanye wepesi kwa kila jambo
@sheemaryam
Жыл бұрын
@@Ismaelnoton2543 na subra maanake juu sisi watu wakisilimu tunapata mitihani sanaa wengine ata kutengwa na familia lkin tunafanya SUBRA na kufanya kw ALLAH lakni wakiona tabia zetu nakuwa wazuri wanatukumbali😊 Allah atuongoze na atupe mwisho mwema maanake. Ukristo uko kw midomo yao ila vibatu hakuna wanampenda yesu lakni vitendo zake hakuna ila sisi ndio twamjuwa yesu ata babu na nayanyake twamjuwa LAKINI ukiwauliza hawajui
@Ismaelnoton2543
Жыл бұрын
@@sheemaryam nashukuru kwa kunitia moyo mwenyezi Mungu atatuongoza
@sheemaryam
Жыл бұрын
@@Ismaelnoton2543 Karibu usirudi nyuma ata utape nn usiuze imani yako kw chochote maanake utakufa peke yako na utahukumiwa peke Yako ila tujitahidi sanaa tufanye mema ili tuwe na mwisho mwema ...its 10yrs now since I converted some of my family rejected me but some accepted me I received almost all the insults but I nver given up u can Imgn almost the whole of the village it's only u a Muslim but I prayed to God to strengthen my faith and I made it now those who insulated me they have accepted me the way I am and my family too infact they say " am beautiful with my buibui"and am proud
@Ismaelnoton2543
Жыл бұрын
@@sheemaryam kwa kweli mwenyezi Mungu ni mkuu kama umepita hayo mambo yote lakini bado hauja give up wah ni Rehema za mwenyezi Mungu
@loner_wolf
Жыл бұрын
Dah, hii dunia watu wameiharibu sana, hivi Yesu mwenyewe anasema ninakwenda kumuabudu mungu wangu anye ni mungu wenu ninyi..... Lkn watu wanasema mungu ni yeye mwenyewe.
@saidhassanahmed4
Жыл бұрын
Mashallah meshekhe zetu mungu awalipe firdaus pamoja na mtume muhamad
@myid9554
Жыл бұрын
Amiin .Mola awajaalie janatul firdaus amiin.
@mozaalmanji4466
Жыл бұрын
@@myid9554 1a
@salehkali5056
Жыл бұрын
Amyn
@menejakabaysa7843
Жыл бұрын
Barakallahu fiikum
@johnmalembo6464
Жыл бұрын
Mashehe mbarikiwe sana.... Wakristo na Waislamu tukiungana tutamjua Mungu na kukemea dhambi na maovu
@ramajuma4063
Жыл бұрын
Yani msipo slimu ni nyinyi wenyewe kila mahana ujumbe mwafikishiwa masha Allah
@jumakumala1337
Жыл бұрын
Naipenda sn timu nzima ya sheikh Ali na wenzio kwa kazi nzuri , ALLAH awalipe fridhausi kesho na leo duniani awajalie wepesi kwa kila palipo na uzito amiin
@shifaaplusherbalmedicine
Жыл бұрын
Mashaalah uyu dada kwakweli nimempenda sana KWA moyo wake kama yupo tayari namimi niko tayari kumuo ustazi mpeni namba yangu ya simu Ili nisilimishe nifunge nae ndoa nipate kumsomesha dini uyo hana tabu
@shifaaplusherbalmedicine
Жыл бұрын
Shehe allah akubariki kwakazi mzuri
@shifaaplusherbalmedicine
Жыл бұрын
Namuomba allah mwingi wa rahma ao wote wanaokusikiliza waslimu
@rizikiali328
Жыл бұрын
Mashallah masheikh wetu Allah awahifadhi muzidi kutuilimisha maana hata waislamu wanapata elimu
@SalimOmary-w8j
11 ай бұрын
Masha Allah nawapendaga madai wa kenya wako wanavo eneza haki nchini kenya
@rwechunguraissa1394
Жыл бұрын
You are highly competent rationally. A highly intellectual and technical discourse.
@Mustafamusa-i9h
5 ай бұрын
Allah awalipe atukubari na sisi kesho akhera
@MohamedAbdirahmanAhmed-s6u
4 ай бұрын
ماشاء الله تبارك الله اللهم صل علي سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم تسليما كثيرا
@seifserenge3340
Жыл бұрын
Asanteni wahubiri wetu Allah akupeni kila la kheri ila nawashauri baada ya kuwaeleza hao wakristo walinganieni kwa kuwaambia waingie katika uislam musiwaache TU hewani
@yusufseifu4967
Жыл бұрын
Swadakta ukweli ndio huu ila wanaukataa,, ALLAH awazidishie masheikh zangu.
@alexandrucarmen3185
Жыл бұрын
MashaAllah mashekhe wa kenya wanafundisha vizuri sana hawaegemei upende mmoja huku kwetu ni mabishano na kelele tu🥰😍
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Maashaallah walim wetu Allah awapepepo kwaurumawake na uwezoeake na ukubwawake 🤲🇹🇿
@stoispapi2380
Жыл бұрын
Masha Allah .. Indeed Allah has a reward for you all
@fahadhilal1611
Жыл бұрын
Mungu awalinde na Kazi nzuri bila kukejeli….MashaAllah
@sturbbornvideoz8547
Жыл бұрын
MashaAllah Allah azidi kuwalipa sheikh zetu mna fungu kubwa mbele ya Allah kesho
@ZindukaTrend
Жыл бұрын
Maashaalaa kazi nzurii allah atakupeni ujiramwemaa
@rizikiali328
Жыл бұрын
Pole sheikh salim Allah atakuponya
@bajined
Жыл бұрын
A.a kazi nzuri sana ndungu zangu.
@ajmalkittyqurantv.9663
Жыл бұрын
MashaAllah very wonderful job brother's may Almighty Allah reward you all...I can see my cousin Ali sheikh
@yusufualamin8029
Жыл бұрын
Kazi nzuri
@jamilaomari2444
Жыл бұрын
Kafiri ni mtu anayempinga Mungu. Waambieni tu ukweli sheikh😂
@rwechunguraissa1394
Жыл бұрын
Mko vizuri Sana. AlhamduLillah.
@ismailiibrahimu8624
Жыл бұрын
Jazakallah khayra
@Choosensols2324
Жыл бұрын
barak-Allah fikkum
@sadroggers4388
Жыл бұрын
Mwenyezimungu awape kheri na baraka katika kutoa elimu yenu in Sha allah
@fahadhilal1611
Жыл бұрын
Best daawah Wallhy ❤
@husha6372
Жыл бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Sabato kuwa Ni jumamosi imewekwa na wa Romans Empire
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@Adm9464
Жыл бұрын
It was a very simple question sheikh Salim asked. Where does it say in the Bible Sabato ni Saturday.
@HassanAli-eq8ko
Жыл бұрын
Mashaallah jazakumllah kheir amiin kaz nzr sana
@saidalreyami6748
Жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الرحمن والله المستعان
@musanike3079
9 ай бұрын
Mabruk❤
@nasramohamed3353
Жыл бұрын
Uislamu hadi Raha jamani duh Kwa kweli tunaipenda sana hii dini yetu ni yahaki kabisa. Nyinyi wakiristo hebu jiokoeni kabla hamujachelewa moto wa Allah ni mkali hatuziwezi adhabu zake kabisa wacheni kuwabudu binaadamu mwenzenu.
@abdullahiabdikarim4312
Жыл бұрын
mashaallah Allah awaweke firduus
@lastkinglastking3326
Жыл бұрын
Sio bule tu hakika jama Mungu fadhila zake ziwe nanao kwanza Mungu alikujalieni utulivu subra elim Kivyangu ningekuwa napigana Kila kukicha Yani sana zingine Kuna watu wanamaswali yakijiinga alafu akifundishwa tena anaanza payuka Kiasi kwamba Mimi Niko mbali ila naona nimdunde tu
@abdixanadyare5039
Жыл бұрын
Masha Allah
@عبدالصمدعبدالله-ف8س
9 ай бұрын
هذا جميل جدا
@imranbanda3963
Жыл бұрын
Subhanallah masha Allah
@bacteria5184
Жыл бұрын
MashaAllah
@jumaraha
Жыл бұрын
Mash Allah Tabarak Allah
@samuelondieki9164
Жыл бұрын
Yesu hakuwa mkiristo Bari harikuwa kristo
@husseinwag7820
Жыл бұрын
Ma Sha Allah
@ashamjeni292
Жыл бұрын
Masha Allah ❤
@Adm9464
Жыл бұрын
Wakristo wenyewe wame ji contradict themselves. No one knows when they must pray .
@Bantu12023
Жыл бұрын
Sunday is a "SUN-DAY" The day used for the Pegans for their prayers. They used to Obey the SUN.
@innocentjay5844
Жыл бұрын
Ma Sha Allah 🙏
@cateshii4853
Жыл бұрын
Uisilamu ndo dini ya haki mm si muisilamu bt napenda uisilamu
@mfurumatongaschool1440
Жыл бұрын
Ushaolewa?
@mfurumatongaschool1440
Жыл бұрын
Fanya usilimu.
@akibaali1450
Жыл бұрын
Karibu kwenye dini ya haki na ya ukweli
@AbuuMuusa-pv8ys
9 ай бұрын
Fanya usilim kabla ya majuto
@fardoshnassor7847
Жыл бұрын
Mashallah Allah ❤
@lastkinglastking3326
Жыл бұрын
Ningependa kuuliza huyo kijana wa kikiristu Yohana yeye alibatizwa na nani
@h77-f8m
Жыл бұрын
Maashallah
@mangeraalbert7982
Жыл бұрын
Mkisii kenyanya amikaanga mwenyewe,
@Bantu12023
Жыл бұрын
Simply "Sabato" is the Saturday in Italian language and by then Roman's were the rulers
@joelkathata4302
Жыл бұрын
Takbiirr💪
@abuuazhar3738
Жыл бұрын
Hii ningependa mfikie yule anajiita EX IMAMU. 😅😅😅😅😅
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Inn shaa Allah
@abdulrahmansalim9773
Жыл бұрын
WAKIRISTO WANAFURAHISHA NA VITUKO VYAO HAWANA HATA MOJA WANOYOJUWA NA AKILI MBOVU.
@muhamudabdi
Жыл бұрын
Kwani- dini ni yaa kujijazia au direct
@shabamuhidin634
Жыл бұрын
subhanaaAllah mpaka leo uyo dada ako na miaka 35 kwenye ukristo bado hajafundishwa kuhusu mwanamke na kujifinika na kusonga nyele? kweli jamani?
@MohamedAhmed-ns5mi
Жыл бұрын
Mashallaha
@rizikiali328
Жыл бұрын
Wakristo wasema Sisi ni wapinga Kristo lakini wao ndio wapinga Kristo koz hawasujudu hawatawadhi hawavai mavazi ya yesu pia yesu aliingia msikitini
@edwardntamaboko3414
Жыл бұрын
Yesu aliyevaa kanzu si Yesu ni Issa.Yesu hakutawadha bali aliwatawadha wafuasi wake.Kuhusu kuingia msikitini,Yesu alisema alikuja duniani kwa ajili ya wenye dhambi.Hivyo aliona msikitini kuna madhambi mengi ndiyo maana aliingia msikitini.
@saidyshukuru6992
Жыл бұрын
Ichelewa kaka
@edwardntamaboko3414
Жыл бұрын
Yesu hakuingia msikitini bali aliingia kwenye sinagogi.Kumfuata yesu kwa mavazi haitoshi wakati imani na Yesu kutoka moyoni Hanna,pia kusujudu siyo mpaka upige kichwa chini na kubinua kiuno juu,Yesu alsujudu hata kwa kupiga magoti na kuinama kama tufanyavyo wakristo
@Adm9464
Жыл бұрын
Waislamu hawana shida hapo because we worship 5 tines every day 7 days straight.
@kakorejrboyz6447
Жыл бұрын
Uvae nguo hata mpaka shimoni Sisi hatuangalii Mzigo tunaliwa tu
@SamiraSuleiman-wl2yv
Жыл бұрын
- TRUE
@alisengi4012
Жыл бұрын
Mashallah
@fatimahrashid2356
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤😂
@shuwehaharuna6309
Жыл бұрын
Nikatamani isiishe
@mwangimuhammad-sx9hb
Жыл бұрын
Kafir=Iko na maana mbili, mkulima huitwa kafir kwa sababu yeye hupanda mbegu, anazifunika kwa mchanga, yaani mpanzi. Kafir maana yake ya pili ni mficha ukweli au mfunika ukweli. Kafir siyo neno la tusi. Assalam alaykum salaam warahmatullahi wabarakatuhu.
@jumahamad9463
Жыл бұрын
KUNA WATU NIWABISHI NAPIA NDIO WAPOTOSHI WAWENZEWAO KAMA TUNAVYOONA UBISHI WAO
@jameskitheka5791
Жыл бұрын
Mi uwa na doubt sana hii dini ya ukristo
@yankeiglla3264
Жыл бұрын
Nimeflai jinsi unavotoa elimu ya dini yaan watu wote wanaelewa
@erickjairo5021
Жыл бұрын
Ni kwa wale hawana maarifa ya Biblia kama hao mnaweza danganya...Waongo kabisa nyinyi...mnabahati mmepata wanyonge...I wish I was there...mngeaibika mshangae
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Wewe sema uko wapi tupange debate Wacha story
@suweidkhamis722
Жыл бұрын
Ww upo Wapi
@suweidkhamis722
Жыл бұрын
Bado tu hujalewa t
@Ismaelnoton2543
Жыл бұрын
Hakuna sauti tena? Na vyenye nimetegea sana
@salimdaawah123
Жыл бұрын
Ebu fungua tena sauti iko sawa sasa
@Ismaelnoton2543
Жыл бұрын
@@salimdaawah123 ooh ata imekuwa sawa sasa shukurani
@salimdaawah123
Жыл бұрын
@@Ismaelnoton2543 karibu sana
@Ismaelnoton2543
Жыл бұрын
@@salimdaawah123 asante
@Adm9464
Жыл бұрын
Wakristo they trust Wazungu. That’s why Jesus is depicted as a White man. Kiswahili lugha ya nchi inawashinda and they can’t understand the English as written.
@rukiyakarim8169
Жыл бұрын
Mashallah❤
@Bantu12023
Жыл бұрын
Naeshimu na kupenda mafundisho ila kwa fundisho la Sabato sio Sawa. Sabato ni neno la Kiitaliano linalo maanisha Saturday. Biblia inachoongelea ni matoleo ya Sabato ila sio siku ya Sabato.
@rwechunguraissa1394
Жыл бұрын
Wewe kweli ni "KlBOKO" ya Biblia.
@Adm9464
Жыл бұрын
99% of the Christians go to church on Sunday. It’s only 1% of the Christian who call themselves Wasabato go to church on Saturday. That’s why bibilia inasema kuna uzushi na faraka kwenu. You all don’t agree on anything .
@andallaathman3856
Жыл бұрын
Mm Niko na swali hapa nijue kwani kafiri ni mtu gani haswaa ?
@alphanabdul244
Жыл бұрын
Ni yule anayempinga Mungu
@andallaathman3856
Жыл бұрын
@@alphanabdul244 na Yule anao sema mungu ana Mtoto na niwatatu
@dulividuli5237
Жыл бұрын
@@andallaathman3856 uyo pia ni kafiri
@mfurumatongaschool1440
Жыл бұрын
Kafiri ni mtu mwenye kupinga amri za Mungu.
@andallaathman3856
Жыл бұрын
@@mfurumatongaschool1440 huyo sie kafiri hujui
@mtakabiruyassin
Жыл бұрын
Hawa jamaa nawakubal
@abuunutsamuonlinetv2703
Жыл бұрын
huyu sheikh kuvaa niqabu ni lazia sio hiyar
@MohamedAbdirahmanAhmed-s6u
4 ай бұрын
ماشاء الله تبارك الله اللهم صل علي سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم تسليما كثيرا
@sulimankarusi8345
Жыл бұрын
Mashallah
@alhinaibinissa6699
Жыл бұрын
Shekh sema ukweli tuu kuna sura maalum ya kutaja makafiri kulyaa ayuha lkafirun maana sema enyi makafiri kwanini unawaficha
Пікірлер: 127