Wanafunzi wa chuo cha kiufundi cha Borabu katika kaunti ya Nyamira, waliandamana kulalamikia utovu wa usalama. Hali hii inajiri kufuatia visa vya ubakaji chuoni humo, kisa cha punde zaidi kikiwa cha jumanne usiku ambapo wanafunzi watatu walinajisiwa.
- 21 күн бұрын
Wanafunzi wa chuo Borabu katika kaunti ya Nyamira, waaandamana kulalamikia utovu wa nidhamu
- Рет қаралды 1,693
Пікірлер: 4