We want a developing country and ruto must attain to what as Kenyans say.... And we shall not give up!!!!! Haki lazima zitekelezwe💯💯💯💪💪💪💪
@timothyonyango9
2 ай бұрын
Heko wanahabari 💪💪💪💪 Hatutaki udikteta Kenya !!!!!!!
@AfricanEnterprises-4K
2 ай бұрын
Great video
@stellahokworo3947
2 ай бұрын
Tafadhali president wetu sikiza watu kile ambacho wanachohitaji
@lillianatieno4119
2 ай бұрын
Ruto mnyama just a Devi hataki maovi ionyeshwe ashindwe in Jesus name
@LucySimba
2 ай бұрын
Good afternoon wanahabari kwa unumla Nawatakia Amani teletele Tu naomba haki itendeke kwa kila Mwana Habari kupata uhuru wakati Tunapo kua katika kazi zetu katika Taifa hili pamoja na Ma Taifa mengine Mbona wanahabari wapigwe risasi? Haki iko wapi Tupewe haki zaetu Wanafanya hinyo kwa sababu wanajua wataoneka katika Mataifa mengine kuua watu God bless you kila Mwanahabari
@Daktariwakienyeji2547
2 ай бұрын
Tuned inn
@MarcellarMagoma
2 ай бұрын
Heko kwenu WA habari❤❤❤❤❤❤
@roseandersen6903
2 ай бұрын
Doktari Ruto ana SHINDANO YA UMASKINI ,NA PROMISE AFTER PROMISE# RUTO MUST GO HOME AND HIS REGIME.
@Nora-v1m3p
2 ай бұрын
Jana 23 July 2024 atujaona mbashara kwann?
@fredrickkilonzi3180
2 ай бұрын
Freedom coming kenya n yetu zote dedicatorship kenya no jana vituo nyingi haikua hewani
@ceoabubakarjuma268
2 ай бұрын
Hatumtaki tuh Ruto
@Esendi564
2 ай бұрын
Rutto anakwama nn kwa kitu km watu awatakii must gooo
@maureenouma-b5e
2 ай бұрын
Rashid wewe tunafanya nini Kwa studio,sioni Lulu,Jeff koinange na wengineo
@Nora-v1m3p
2 ай бұрын
Wakenya wamebadilika siwale wazamani wako macho haki iwe ngao naulinzi natukae na amani raha natupate kustawi
@griffinlwiki496
2 ай бұрын
Akituchelewesha hata dakika moja atatueleza anataka tutoe wapi hizo taxes anaongeza
@benardmakori9492
2 ай бұрын
Hotuba ni ODM joining zakayo wanyonye wakenya wait for the names joining cabinet
@josephmunyao5555
2 ай бұрын
Kwani uliambiwa mbele yetu😂😂😂😂
@benardmakori9492
2 ай бұрын
@@josephmunyao5555 hii siasa ya kenya unaisomea mbali usipiwe na stress
@josphatjudah8958
2 ай бұрын
Wanahabari ni kama saa
@harrietkhamisi2357
2 ай бұрын
Huyo hananga la maana😏😏😏
@saraadamu7468
2 ай бұрын
Yaani zakayo kichwa ngumu hajatokea km hivi Kenya kwa viongozi waliopita
@athmanhassan2499
2 ай бұрын
Utafiti wa nini?
@MuniraShughuli-kc7vj
2 ай бұрын
Tushajua anataka kusema nn??
@kangethewathugunui2805
2 ай бұрын
Where is Jeshi 001 Jeff Kuria
@joyousjn3300
2 ай бұрын
Ruto online watu wameshapiga Kura wewe tumeshakukataa,,ongoza inch ya kenya Kwa mapezi yako hila sio Kwa sababu za wana nchi wa kenya,, Mungu ameuzunika kukuweka Kwa icho kiti,,,,,,
@aliceamanya6457
2 ай бұрын
I hope anajiuzulu
@Spectre-Turner20
2 ай бұрын
😂
@stellahokworo3947
2 ай бұрын
Hapo nayo hawezi 😂😂
@annym4780
2 ай бұрын
@stellahokworo3947😂😂😂
@annym4780
2 ай бұрын
😂😂
@JoodAt-sz6jr
2 ай бұрын
Akijiuzulu nitakata cake🍹🍰
@MyAfricathis
2 ай бұрын
I hope ana resign
@OFFICIALVIDEOS-z4p
2 ай бұрын
Why are going to critical environment...
@irs686
2 ай бұрын
Akuje atudanganye tena akituita criminals,kiawa 😅
@brightonnjoroge4587
2 ай бұрын
Misinformation and disinformation is where they draw the line, a pathetic fourth estate.
@maureenouma-b5e
2 ай бұрын
Rashid wewe tunafanya nini Kwa studio,sioni Lulu,Jeff koinange na wengineo
Пікірлер: 43