Wanaharakati Ngorongoro wamesikitishwa na kauli ya Mkuu wa wilaya Handeni, Wakili Albert Msando kuwa wanaharakati hao wanawalaghai wananchi wa tarafa ya Ngorongoro.
Wakizungumza na Land Dwellers leo, wanaharakati hao wamepingana na kauli hiyo dhidi yao.
Wasikilize wanaharakati hawa
#ngorongoro #unhumanrights #lhrc #thrdc #amnestyinternational #humanrightswatch #unitednations
Негізгі бет Wanaharakati Ngorongoro wamemjibu Mkuu wa Wilaya Handeni
Пікірлер: 2