Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏
@kerrykerry254
11 ай бұрын
Am from Kenya lakini nikikumbuka kifo cha Magufuli huwa ninanusurika sana...very painful to us as Africans 😢
@roseemmanuel4492
4 жыл бұрын
Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Na nikupe pole sana kwa Majukumu Magumu sana Uliyonayo yakutatuwa kero za Watanzania.Mimi nashindwa kuelewa watendaji wanakwama wapi!!!,Wanakuumiza kichwa hivi!!!,kweli kutengeneza Gari la wagonjwa linakuwa shida.watuchukuwe Mafundi Mtaani waone. Yatapona yote.
@ismailmneka2967
2 жыл бұрын
Daah hakika wewe ulikua Rais wa kweli😭😭😭😭pumzika Kwa hamani baba
@teychriss3248
4 жыл бұрын
Hatari sana ! JPM jembe langu kazi unayo! Wananchi wako umewapa ujasiri wa kujieleza mbele yako! Wanakuamini sana wewe unaewapa wananchi nafasi ya kukueleza ukaelewa! Unaamini wananchi wako! Kuliko viongozi uliowaweka! 🙏🏾 Mungu azidi kukuinua!
@Joseph-lu4yj
Жыл бұрын
now days hali ni mbaya daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@maryoswad7022
4 жыл бұрын
Duuu raisi wetu Mungu akutunze upo vizuri sana mmmmm
@peterminde4037
Жыл бұрын
Daah!!! Missing sana hii kazi ya anko. RIP dad /comrade JPM 😢
@allymwilamba1180
4 жыл бұрын
Jamani huyu rais anafanya,kazi xna,yaan anauchungu na maendeleo ila baadhi ya mawaziri kichefuchefu na wakurungezi na DC wapo wapo tuuuuuuu
@francissgodlove
Жыл бұрын
R.I.P kitu kinachoniuma sana nikutokupigia kura 2020 Inaniuma sana, ingawa 2021 Nilianza kukupenda na kukuelewa shida moja tuu nikuchelewa kukuelewa "Pumzika mzee" ninajifunza
@dinapraygod3546
11 ай бұрын
Pole ndugu yangu
@gadinuru1454
4 жыл бұрын
Dawasco Tanesco Kila kitu yeye dah Mungu akubariki🙏🙏
@lovecorridor6039
4 жыл бұрын
Natumai Somalia tutawaikua na rais kama Rais maghufuli🙏🇸🇴♥️
@hamadshein498
4 жыл бұрын
Nyie mlimfanyia fitna hussen Adid
@lovecorridor6039
4 жыл бұрын
@@hamadshein498fitna?? aje kakangu??
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
In sha Allah.Allah Awafanyie Wepesi.
@teychriss3248
4 жыл бұрын
Hussein Shabani Mungu atawapatia
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
@@teychriss3248 Mungu ni mwema kwa kila jambo jema.
@shijandobehe4953
7 ай бұрын
😢😢😢 Tanzania yangu
@josephmakalanga9453
4 жыл бұрын
Nakubali xna mkli taariza za uhakika your super nice
@abdulmajiddhamirramadhan2364
4 жыл бұрын
Yaani Rais wetu alivokuwa serious,hadi mlinzi wake anasitasita kujieleza mbele yake,asante sana Rais wangu,hivi ndivyo tunavyotaka sie wananchi wako wanyonge
Nakupenda Sana Rais wetu 2025 Mungu Atupe Tena Mtu kama wew
@Joseph-lu4yj
Жыл бұрын
daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
@edigoldkhadija5680
4 жыл бұрын
I like Mr President God bless you and give you strong health
@BeatriceHenry-t3i
11 ай бұрын
Sichokagi kumsikikiza huyu Mwamba ila na mshukuru Mungu kwa yote Maana hata kwa hili atabaki kuwa Mungu Jehova
@sandrandai6180
4 жыл бұрын
Mh anafanya kazi sana tatizo watendaji wake. Yaani hadi kutengenezwa gari mpk raisi asimamie si awafukuze wote wasiowajibika wasomi wapo kibao mtaani hawana hta ajira
@marley42
Жыл бұрын
Ila hapa john alicheza kicuba kwenye majibu.😂😂
@liverpoolfootballclub9985
Жыл бұрын
Alhaji hoyee 🇰🇪
@happygw6930
4 жыл бұрын
Mungu akusaidie magufuri
@salem9874
Жыл бұрын
Naomb like sote tuliangalia mwaka 2023
@wokovumwazembe3505
6 ай бұрын
Kupata rais kama huyu itachukua muda sana Tanzania Mungu naomba msamehe dhambi zake pia utusamehe na wengine tulio hayi
Mungu mjali rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano
@edwingwesso6818
4 жыл бұрын
Huyu ni zaid ya mwanajeshi
@elibarikinelsonnsenga3949
4 жыл бұрын
Naomba uniambie mheshimiwa ,, unamkubuka komba,, naomba unijib mheshimiwa. Rais huyu ni tunu. Mlinzi wake mwenyewe amepata tabu kujieleza
@namelessunknown1377
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁wabongo noma
@mjukuutvonline8373
4 жыл бұрын
Nameless Unknown Noma sana yani
@xbdbdgdgsbdbbxx4254
4 жыл бұрын
Yaani huyo kaka anahasira kweli, ana mrudishia kesi kwa m Rais 😂😂😂😂. Rais Magufuli oyee eee 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@careenjunior8711
4 жыл бұрын
Fanya kazi baba unaweza.
@elibarikinelsonnsenga3949
4 жыл бұрын
Embu Rais niambie inakuwaje hapo,, yaani hadi raha🤣🤣🤣
@roi2554
4 жыл бұрын
@@elibarikinelsonnsenga3949 🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@bjzee1981
4 жыл бұрын
Atakua Chadema huyu
@ramamtetu2327
4 жыл бұрын
Ninachompenda JPM Mwananchi Akizungumza tu Hata kama Akizungumza Kwa daraja la darasa la saba Chap Chap anamuelewa Kwamba Kuna Jamba fulani Huyo Mwananchi Anamaanisha
@swaggerizedninjagoseprocom8523
4 жыл бұрын
Magufuli kamanda aiseeeh
@mpesmail1834
2 жыл бұрын
That dude lamenting about water "maji tatizo" without elaborating further was not even polite in his tone. Some people lack basic manners of talking. The Late JPM is an ever hero and an excellent role model, not only for Africa, but the whole world. RIP.
@jalimpanga9315
2 жыл бұрын
Magu magu ilabasitu hakuna namna
@suleimanali5270
4 жыл бұрын
Hongera sana Mh Rais unajitahidi sana na lengo lako tunalielewa ila wakati mwengine kua na subra kidogo unatisha sanaaa hata ninapokuangalia najaa hofu
@StilianDaniel
6 ай бұрын
Amka mzee magufuri taifa limekua la hovyo huku
@diuskaganda5105
4 жыл бұрын
Jaribu sana ndugu zangu kutumia nafasi ,pili angalie na mtu mnaeongea nae.na ww unaongea vip,hakika huyu ni rais wa pekee.mungu ampe maisha marefu raisi wetu
@saimonseleka8478
4 жыл бұрын
Uyu msemaji muislamu uyo duh! Kama nyaya haziko sawa
@robarttarimo1696
4 жыл бұрын
Unazingua sasa unaona alivyoekeza alupewa nafas kwenda kunyenyekea m2 au kueleza
@robertpaul3315
4 жыл бұрын
Kazi yako inafaa sana
@khaldancarlos9859
3 жыл бұрын
Mungu amlinde Tundu Lissu
@mwiganemwakajinga5368
4 жыл бұрын
Baba yetu kazi unayo hao ndio wananchi wako wanauchungu Sana tusaidie sisi wanyonge.
@godfreylyimo4177
4 жыл бұрын
Gari ya Mkurugenzi!! Bado watendaji hawajakuelewa kwamba kipaumbele chako ni mwananchi wa chini kupata huduna
@mohamedsuleiman2552
4 жыл бұрын
Mjomba magu kamshusha usalama duuh
@bjzee1981
4 жыл бұрын
Mafuriko yalichimba hadi makaburi mwaka huu
@remmygashumba9865
4 жыл бұрын
Millard ayo low quality
@rechrontv2453
4 жыл бұрын
BIASHARA 8 ZA KUFANYA CHUONI (gusa link 👇👇👇 kutazama) kzitem.info/news/bejne/w5ugu3iAhISSY2U
@Joseph-lu4yj
Жыл бұрын
Gari ya mkurugenzi ndoo iwe ambulance duuuuuuuuuu
@teacherd
4 жыл бұрын
Wanafunzi wote pita KWENYE CHANNEL yangu yapo MENGI mazuri uta yapata
@FrankJoseph-l6f
Жыл бұрын
V8 iwee🚑🚑🚑chap
@seifmtengela5596
4 жыл бұрын
Baba una kazi sana ... Inatakiwa sijui
@kingswebe3251
4 жыл бұрын
hili gari nikisema lije hapa litakuja? hapana mkuu, wewe unagari? hapana, mkurugenzi yuko wapi? yupo dar ameenda na gari lake, kuanzia sasa gari ya mkurugenzi ianze kubeba wagonjwa mpaka watakapotengeneza ambulansi 👊👊
@Kingnelbo
4 жыл бұрын
Lol mungu azidi kumuongoza uyu mzee
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Natamani nikuelewe...
@selemankishema5780
4 жыл бұрын
Mzee magufuli bwana sasa walinzi wako mbona unawachanganya hawatakiwi kushughulika na mambo mengine zaidi ya kukulinda wewe.
@husseinshabani9522
4 жыл бұрын
Analindwa na Mungu.Binadam Awezi kumlinda Mtu.Binadam Anakusaidia Usisumbuliwe na Watu.
@teychriss3248
4 жыл бұрын
Hussein Shabani safi
@kelvinjohn6851
4 жыл бұрын
Kwani kawauliza wote??? Si amemchukua mmoja tu kati yao.
@sasha-ri7tf
4 жыл бұрын
Magu na gari moshi mara atasema amerogwa, nchi mmeinajisi hakuna chochote zaid ya usanii milio 31 pesa ya (madafu) sasa mvua zikinyesha waizime mashine watumiye maji tope?.. Tatizo serikali imelaniwa hakuna kitakachokuwa. Mnatowa pesa mbili za madafu zitafanya nini buree tu.
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Umelaaniwa weye na ukoo wako bila shaka... Ni ujinga wa kiafrika kudhani kila jambo mnaloshindwa kuwajibika nalo kuwa ni laana, na laana iko Africa tu. Acha uwehu
@mr.theory5871
4 жыл бұрын
Huyu jamaa kama anaongelea mkundu
@gracethomas683
4 жыл бұрын
sasha 2020 ni milioni 91
@hamisimussa2228
4 жыл бұрын
Uyu Sasha ni shoga
@omarylukindo5306
4 жыл бұрын
Wananchi sio watu wazuri kabisa.Daah wanakuchoma huku onaona😂😂
@haikajohn7580
4 жыл бұрын
Kweeli baba wanakuchanganya,kwani,kila,kitu raisi,afanye? Kwanii viongozi wangazi zachini kazi zao,nipi?
@lazarojohn6762
Жыл бұрын
Huyu jamaa alijua kucheza na akili za wajinga
@omaryhathuman9444
4 жыл бұрын
Changamoto za maji ata Wilaya ya Masasi zimeenea kata ya Chiwata tunakunywa maji ya kushea na wanyama wakati mito iko mingi na maji yako mengi
@kingswebe3251
4 жыл бұрын
binafsi nimengundua kumbe upinzani nikupinga kila kitu, pia inakubidi usione mazuri anayoyafanya mtawala wako yote ni kupinga tu.
@adrophwilliam3225
4 жыл бұрын
Uwezo wako wa kufikili ndio unao kusumbua tangu lini Raisi alipo tatua shida za watu kwa njia za haki akalaumiwa? mfano kama hili la leo nani kamlaumu?
@kingswebe3251
4 жыл бұрын
@@adrophwilliam3225 yanayonisumbua mengi sana, sio tu uwezo wa kufikiri.
@bone102
4 жыл бұрын
@@adrophwilliam3225 ndege si mlimlaumu pale ubungo alivyokuwa anavunja majengo ili ajenge daraja si mlimlaumu leo daraja limekamilika mnaanza kumsifia nw ndege zinaleta mapato zmechukua ndugu zetu toka china kwa ndege mlizo sema watu hazitusaidii
@thabitmkuu1929
4 жыл бұрын
Huyu Mjomba magu ni hatari
@samsonkusupa8185
4 жыл бұрын
duuh kweli hapo mzee magu kakutana na wendawazimu
@martinemasanja1633
4 жыл бұрын
Lakini jamaa nimemkubali Sana kwani anajiamini na kingine jamaa kuna Jambo kalificha ndo maana akamwambia chunguza mwenyewe
@thierybien7051
4 жыл бұрын
Yaan ciwaelewi kabisa wanavyojielezea
@salmasoso9839
4 жыл бұрын
Rais kawaelewa
@josephmanyama435
4 жыл бұрын
safi sana salma soso
@thierybien7051
4 жыл бұрын
@@josephmanyama435 oya manyama henry hapa
@martinemasanja1633
4 жыл бұрын
Mh.raisi ana uwezo mkubwa wa kuwaelewa Wana maanisha nini
@salmasoso9839
4 жыл бұрын
@@martinemasanja1633 fact
@hamisimustafa4415
4 жыл бұрын
Nakubari
@josephmanyama435
4 жыл бұрын
Unajua wanamchanganya sana raisi wetu anamambo mengi sana kwani viongozi wa huko chini wanafanya kazi gani jamani mbona madaraka hamyajui jamani
@jacklinejohn7154
4 жыл бұрын
Rais mpambanaji kiongoz wa wanyonge
@eischerschwederm7876
4 жыл бұрын
Tatizo ni uongozi mzima ivi tengeneza hayo magari jamani hadi huruma kwa rais
@haikajohn7580
4 жыл бұрын
Wana,hila hao
@kalaluwakisaka3211
4 жыл бұрын
Maguuuuu
@HaleluyaTv
4 жыл бұрын
KARIBU KUTAZAMA IBADA YA JUMAPILI YA LEO 02.08.2020 KUTOKA HAPA OMEGA MINISTRIES CHURCH OF ALL NATIONS- KWA MTU WA MUNGU NABII SS ROLINGA, MBEZI BEACH DAR ES SALAAM PIA USISAHAU KU SUBSCRIBE CHANNEL HII UBARIKIWE, GUSA LINK HII CHINI kzitem.info/news/bejne/05B8y66JqZFirYI
@IronKing89
4 жыл бұрын
Kumbe maji tu ccm si mliichagua!
@jedidahbintidaudi8241
4 жыл бұрын
Magufuli nikugombezwa kwa kwenda mbele na wananchi lol @4:50
@manyotaskipper5765
4 жыл бұрын
Kumbe huyu ndio DC ALIOTUMBULIWA KAPELEKWA KANAL SASA HV
@andrewkilave3532
4 жыл бұрын
Huyu DC kafanana na jengua daah
@rhassanimkomwa
4 жыл бұрын
watu wanachomoa betri mbele dc pole sana
@jacksonamos2008
4 жыл бұрын
Duu ajali yake sio ya kitoto.
@bjzee1981
4 жыл бұрын
Lakini sasa utajuaje mafuriko yatatokea ilhali mvua za mwaka huu zilikua zakushtukizia.
@bone102
4 жыл бұрын
Sio kujua mafuriko walitakiwa kutoa hzo mashine baada ya kuona mvua kubwa
@bjzee1981
4 жыл бұрын
@@bone102 . Wakati mwingine mvua hunyesha usiku ukiamka kila kitu kime sombwa
@bobbiegatimu7124
4 жыл бұрын
21st century Africa this is shocking
@SIMULIZIZONE
4 жыл бұрын
Angalia hapa makala ya #King #Mswati na mila za kuoa mademu bikra. kzitem.info/news/bejne/yop9l5Ojq2SBmWU kzitem.info/news/bejne/yop9l5Ojq2SBmWU
@planmasta4083
4 жыл бұрын
Mtetezi wa wanyonge
@Amneamne-qi2du
4 жыл бұрын
Ama kweli huyu mtetezi wetu wanyonge Allah akupe umri na afya njema
@eliasstafawa4935
2 ай бұрын
Magufuli 😅😅
@maalickbintarish6658
4 жыл бұрын
Jembe la ccm
@agogojrtz6532
4 жыл бұрын
P1
@mrbenedicto5660
4 жыл бұрын
kzitem.info/rock/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*
@polycarpmicky4151
4 жыл бұрын
Duh huu wimbo mzuri shukuran kwa Mungukzitem.info/news/bejne/to2Y26SmhJGham0
@videozaaj1069
4 жыл бұрын
We mheshmiwa weweeeee
@halfanmundo622
4 жыл бұрын
ameshituka aliposikia mrad wa maj unasimamiwa na luwasa akahis lowasa.
@amanimgaya9623
4 жыл бұрын
😄😄
@anthonyzambi4415
4 жыл бұрын
Hujitambui wewe unashindwa kuandika hata RUWASA, ray man mkubwa sana weee
@selector728
4 жыл бұрын
Hee we kwel boya hajasema luwasa,,,sema RUWASA
@reginasoki5025
4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆 pumbavu kabisa
@husseinmkakile9206
4 жыл бұрын
YATAFURIKAJEEEEEE😂😂😂
@hajimizozo9313
4 жыл бұрын
T
@ernestdismaseryd1677
4 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/uIik2IurkZpolnY hatari sana
@jmnafaka9451
4 жыл бұрын
PETITMAN AANGUA KILIO MBELE YA WAANDISHI KISA ESMA KUOLEWA 😭💥💥🔥 LINK hapa 👇👇 kzitem.info/news/bejne/zm9nm36IrmaJdqg
@baikokokangamoko
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@baikokokangamoko
4 жыл бұрын
🤣🤣
@muhalamihabibu8490
4 жыл бұрын
Mambo vp
@baikokokangamoko
4 жыл бұрын
Kimempata
@baikokokangamoko
4 жыл бұрын
Haya kama unapenda mizigo mizigo 🍑🍑 njoo huku haraka
@selector728
4 жыл бұрын
🖕🖕🖕🖕🖕🖕
@roseemmanuel4492
4 жыл бұрын
Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote
Пікірлер: 145