Walai sina usemi all is tru Mungu anilinde nivuke hili daraja
@SalimKarama-fw7tt
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂tusikate tamaa
@boniphacealex-kh5ly
6 ай бұрын
Ubarikiwe xan mungu aendelee kuku2mia ku2fikishia ujumbe wenye herufi s 2zidi kufuka na kujitambua ili 2weze kuvuka hayo magumu
@ShaibuSemhando
2 ай бұрын
Hongera sana kijana, habari zako nikweli kabisa katika sisi tulio na herufi S. Hayo yote usemayo yameni tokea mimi
@mamurealman4859
Ай бұрын
Nakubali unayo yasema nikijiangaliya akuna utofauti ata1 nikweli kabisa s Allah atuongoze atuweye mbele
@malelaras1786
2 ай бұрын
Mule Mule master 🙌
@Salminabdullah
4 ай бұрын
Dah nmelia sana asee mbn ndo maisha yangu hayo
@djgthehotstepper
2 ай бұрын
Hapa unaniongelea mimi kila kitu 😂😂😂 mungu anifanyie wepesi, nguvu za kiume sina , Kazi nilifutwa, pesa ikaisha, ,maisha yamekuwa makumu sana. Nipo 33 saizi. Mungu anifanyie wepesi inshallah 🙏🏾🙏🏾
@stanleysndunguru2976
Ай бұрын
We mwenzangu broo Kazi nimefukuzwa 😂😂😂
@sanggraphics24
21 күн бұрын
Mimi Saidi hali yangu ngumu sana broo nina miaka 31 ndoa yangu inaugomvi na nina maradhi ya UTI WA MGONGO, Mwili mzima unaniuma sana yamenipata kazini mwaka wa pili sasa kazi siwezi kufanya kwasababu ya maradhi na pale kazini hawakunijali hadi leo hii sina kazi na hali yangu ngumu sana na familia inanitazama shilingi mia 100 sina mfukoni. Kwakweli nina hali ngumu sana
@SaidiFundikila
Ай бұрын
Asante sana mm nimeungua nikiwa mdogo na mjukuu wangu nae karithi jina langu na yy kaungua ,miaka28 niliuza nyumba maisha yalikuwa magumu sana,upo sahihi
@Latino_de_papyy
Ай бұрын
Am Salmin kweli umetisha napendwa sana na wat napenda kujua vitu vngi nmefany biashar za wat zmeend vzr😊
@ShabaniKuno
Ай бұрын
Mim kila seem nikienda kufanya kazi nakubalika Sana kw wenyeji nilio wakuta
@samsonsanga4368
2 ай бұрын
Kk huwa spnd kuamini vitu vya aina hii lkn Leo Ni km unasoma taarifa yangu toka nikiwa mdgo,,,, kk ulichoongea leo ni asilimia 97 maisha yangu....Hongera,,,
@saidmeza8287
Ай бұрын
Dah kweli aisee nilifukuzwa kazi na nikashindwa ata kulipa kodi
@SoudyZidadu
Ай бұрын
Humitisha sana kaka nilipata misuko suko mingi sana nilipofikisha miaka 28 mke mjamzito mimi nipo lumande yote uliyoyasema ndio mimi uyo ujakosea ata kidogo 👍
@saidsheha-wn4qw
2 ай бұрын
Kwa kweli ubarikiwe sana bro. Unayosema yoooote nikweli tupu. Mimi nilipofikisha 33 tu nilifukuzwa kazi na kushtakiwa mahakamani.
@shedrackthadey7821
Ай бұрын
Asee hii nikweli kabisa Tena kama mmi Toka nimezaliwa Hadi napendwa kinoma na Kila mtu ,nacheka na Kila mtu,, upande wa upambanaji ndo kabisa nabahati sana asee kaka,,God bless you
@HussenyChares
Күн бұрын
Mbona nkama maisha yangu nayaona mpaka najawa na hofu sana kwenda kuivuka hii miaka iriyobaki
@XhebbyMandevu-u1h
2 ай бұрын
Ubarikiwe mkuu unachoongea ni kweli maana matatizo yote ayo nimeyapitia toka utotoni na apa mambo yangu yanaenda saaaf lkn ndoto za kuanguka kimaisha huwa haziishii kabisa sasa sijui nifanyaje. Au ndo hatima yangu hakuna namna aiii
@VickKulekana-si1ib
8 ай бұрын
Kwel mdogo wangu stivu anapendwa sana tangu yupo mdogo watu walikuwa wanapenda kumbeba kuna mdogo wa rafiki yangu alikuwa anapenda kuja kumbeba stivin
@triplesisa44
2 ай бұрын
Yaan brz hujakosea nilipofikisha miaka 31 hadi sasa nina 34 uchumi wangu uliyumba mke alinikimbia na kila ninachokifanya hakiendi kabisa na niliumwa nikiwa na miaka 32 hadi 33 nikawa sijitambui kabsa nusu nifariki ikabaki kumuachia Mungu hata mifugo yangu iliisha na pesa zilipotea bila kujua imeenda wap hadi sasa namuomba Mungu aniweke njiani na mimi ni mtu mpambanaji sana yaan sitak kushindwa
@SamwelMasaganya
7 ай бұрын
Ni kweli kabisa, Mimi nilivyofikisha umri wa miaka 33 ndoa yangu ilivunjika na nikapata kesi mahakamani nikashitakiwa makosa 32 mambo yalikuwa magumu sana, nilikata tamaa, nilipofikisha miaka 36 kesi ilifutwa mahakamani na kuanzia hapo mambo yangu yamekaa vizuri Hadi Leo hii, Kila unachosema ni kweli kaka. Naomba Namba Yako kaka
@MUSAGEORGE-mb6iq
4 ай бұрын
Nikutakie pole na uliyo yapitia mungu akulinde Zaid na sis 2lioko nyuma m2ombee sana
@susymasibo
3 ай бұрын
Mimi pia ndoa ilivunjika nikiwa Na miaka 25 nikajaribu ingine ikavunjika nikiwa Na 30, ikafika 32 nikaenda jela,,Ni ukweli kabisa
@JamesKiponda-rs9de
2 ай бұрын
Mimi ni s na bibi ni s pia jee nimefaulu hapa
@JamesKiponda-rs9de
2 ай бұрын
Ndoa zimevunjika mbili jee hapa kwa s nitafaulu
@JanathMajid
2 ай бұрын
allah akujaaliye ndugu yangu jazak ghaira
@Senimahoiga
2 ай бұрын
Mungu alibariki herufi s na g
@samuelchiumia9054
Ай бұрын
Mengi uliyosema hapa ni kweli kabisa kwenye maisha yangu.
@sadatysubaka6688
6 күн бұрын
Duh ni kweli kabisa kiongoz kama ni utafit huu wa eruf S umepatia ha umri miaka 33 baba,baba narudia baba..ila ubarikiwe
@saiddimarley8445
2 ай бұрын
Ukweli kabisa. Hujakosea hata kidogo hata nikiangalia kwangu.Said
@saidymohammady558
Ай бұрын
Dah upo sahihi kabisa bro na hinyakat za 28 /33nilipitia kipindi kigumu mno /lkn hapa Allah alianza kuniangalia tena alhamdulillah tunapambana 35
@VickKulekana-si1ib
Жыл бұрын
Stivin ni mtu wa watu na mdogo wa rafiki yangu alikuwa anapendaga kuja kumbeba.halafu anapenda kufanya kazi na biashara anatajaga anapenda
@ShaniNalumba
6 ай бұрын
Me sina swali bro barikiwe sana
@ShaabanIddi-u8v
Ай бұрын
Very very true
@SimonPius-f9t
Ай бұрын
Mwenyez mungu atuvushe sarama wenye majina yetu
@selestianjoseph6119
2 ай бұрын
Nikweli maana mkenilie mpata ana herufi z maisha yangu hayaendi sasa kanikimbia nimegundua vingi sana heshima yako mkuu
@MariaLusimiko
2 ай бұрын
Yn kwa asilimia 99 .9 uko sahihi na maneno yako, mungu akubariki
@AsungaSteven
2 ай бұрын
Mimi Steven,kwenye hasira za haraka umetisha sana na kwenye mafanikio kwenye umri mdogo ni kweli kabisa
@shukranbanige9378
2 ай бұрын
Asante mkuu
@ShabaniNuru-o1y
Ай бұрын
Mimi kwenye hizi sifa zote 95%ninazo big up sana mkuu❤
@SalumuMtwangara
3 ай бұрын
It's true Sheikh
@SamwelNjili
3 ай бұрын
Mungu asaidie akubariki
@ShabanMussa-f9b
2 ай бұрын
Yeah bro uko vizur
@joeloileoile4786
10 ай бұрын
Umesema sana vizuri ni mambo yenye yapo ni mimi pongezi asante
@SAIDSALUM1981
28 күн бұрын
Nikweli changamoto hizo nakumbananazo sana na bado napambana nazo sana mungu akulinde hicho ulicho jaliwa kutufunulia elufi S
@halimandune7317
Ай бұрын
MashaAllah elimu kubwa ya kuzingatia .
@Samuel-bp8fc
4 ай бұрын
Anacho kisema nikweli kabisa nduguyangu mungu akubaliki kabisa.mimi nina umri 27.na hayo hayo mambo nimeyapitiya kabisa na ninayakshi kiukweli
@shadrackjuliuskaboya5239
Ай бұрын
10:09 *ukiwa na Yesu kristo kamwe hakuna jambo lolote litakalo kufika Amini mimi na kwambia Mungu kila kitu amen*
@SalamaHusein-b3w
Ай бұрын
Hayo mabo ya nyota na herufi yapo na wanayatumia sana haohao waliotuletea hizi dini. Wewe nani ubishe? We kaa hivyohivyo na yesu wako.
@salehrwigemagisa81
26 күн бұрын
@@SalamaHusein-b3walafu huyo Yesu mwenyewe yalimfika ya kumfika!
@saeddzarino6125
20 күн бұрын
Sema umenitisha kweli,
@SHAFIATHUMAN-x8w
6 ай бұрын
Mm ni shafii mke wangu ni shamimu tunaendana. Lkn Nina rafik ana anza na f Kuna shida hapo iwafungue na wangne
@shaphyally7838
Ай бұрын
Mimi pia shafii na mke wangu shamira
@UkhtysarahSarah
2 ай бұрын
Nikweli kaka yangu anaitwa shaban pia kwenye masom yak alhamdulillah anatok wakwanza kwenye
@VickKulekana-si1ib
Жыл бұрын
Majina ya s wanasemaga anamvuto sana kinyota kimali pia kimapenzi
@VickKulekana-si1ib
Жыл бұрын
Ndio mdogo wangu ni mtu wa watu anapenda sana watu na alikuwa na akili alikuwa anafanya vizur sana kwenye hesabu
@saidikobe1872
Жыл бұрын
Dah kaka ally we ni noma
@SaidOmar-x2u
Ай бұрын
Haki broo kweli kabisa mungu akulinde
@VickKulekana-si1ib
Жыл бұрын
Shafii jaman anapenda watu na wanamkubal sana paka mabosi wanamkabizi kazi
@shaphyally7838
Ай бұрын
Yan ni mm shafii yote nimepitia
@saidisalehe9200
10 ай бұрын
Saluti kwako mzee. Nina miaka 50 sasa. Kila hatua nipo. Hio 33 ndio sitaki hata kukumbuka. Saluti.
@BinyaminAli-f9m
4 ай бұрын
Nikweli mm shuleee nilikuwa sisom kipind ch darasa la kwanz hadi kufikia la 3 hapo ndipo nikaanz kusoma ila allah awalinde na wengine
@KobaAmani
2 ай бұрын
Nakubali sana ndugu ally
@bongeviwanja7341
2 ай бұрын
Respect makini sana
@glassguychaneltz2553
Ай бұрын
boss yaaan upo sahihi sana
@verodede3309
Жыл бұрын
Mie ni V na ninampenda Stephen. Yote uyasemayo anayo. Ila kimaelezo ya nyota siendani nae. Nampenda na yeye ananipenda ila Kuna mambo mengi tuko tofauti.
@shaxshafii6029
4 ай бұрын
Shukran🙏🏻🙏🏻🙏🏻🌍
@cheiknamouna2058
Ай бұрын
Suphian jaman nlisota nae miaka 28 hadi amefika 35 ni magonjwa ,maajali yani hadi nliamua kujiondokea namshukuru Mungu niko salama bado anasota na maisha yake 🏃🏃🙌
@NaahQute
3 ай бұрын
Kaka umetisha
@ShabaniLangport
Ай бұрын
Aloo uko sahihi sana brother
@IdrisssaChanongo
4 ай бұрын
Perfect 👍
@saidumuru5232
6 ай бұрын
Ukweli nakubaliana nawewe ndugu
@SahlaSahil-w6c
8 ай бұрын
Ahsante sana kaka, ila Mimi ni z na mchumba angu ni s itakuaje
@MwajumaKassim-r6h
5 ай бұрын
Hamfai kuoana
@kizeiyasefu2306
2 ай бұрын
km mpenz wangu anaefi s namm naerufi z je nikibadilisha jina itafaa kuoana
@SamwelyMartine-to4ki
2 ай бұрын
🎉🎉
@user-vq2hl4jp1j
Жыл бұрын
Yani ni kweli kabisa kaka Ally...ni Mimi kabisa 🙏😭
@PeteroJohn
6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉Mimi aitwa sijaa nime pita yate unayo ongea ila nimesha vuka namiaka 41))kweli ndiyo naanza kuyaona mafanikio nifanyeje ili nikae vizuri
@SammyShigika
7 ай бұрын
asante sana mkuu
@salummashaka-q4p
Ай бұрын
Sawa kabisa kaka ni ukweli kabisa
@masoudsuleiman8890
2 ай бұрын
Ww jamaa noma kama ulikuwa unafuatilia maisha yng yautotoni mpaka hivi sasa
@QueenS-k3t
7 ай бұрын
Uko sawa kweli unajua
@StevenChapaulinge
5 ай бұрын
Unayoyasema.ni.kweli.sana.kwa.upande.wangu
@HassaniNgela
26 күн бұрын
Umetishasana mkuudu
@SelemaniKizenga
2 ай бұрын
Huko sahihi kaka yaani nawapenda sana wanawake yaani napata wivu mkubwa .
@shabaniabdallah444
2 ай бұрын
Asante kaka umenigusa
@Sisopotashiumz
Ай бұрын
Kwel mm na miaka 27 lkn kitimutimu chake sio cha kitoto mpaka kinanipa wasiwasi
@allykk1459
Ай бұрын
Pole
@husnanassoro-h7n
Ай бұрын
Nimekubali kaka
@stanleyhenrish4114
2 ай бұрын
Yaani anachosema ni kweli kabisa nilipofiksha miaka 30 nilipitia maisha magumu sana na nilipoteza Kila kitu but Mungu anisaidie kuelekea hii 31 nisipitie hayo magumu
@stanleysndunguru2976
Ай бұрын
Oyaaa wajina tutafutane we mwenzangu kabisa kazi nishatimuliwa😂😂
@SimoniPaul
5 ай бұрын
Daaah hiyo kweliiiii jaman mweeeee
@shukranbanige9378
2 ай бұрын
Uko sahii
@saidmohammed6656
Ай бұрын
Nikweli nimekumbana navikwazo vingi nikiwa na umri wa miaka 30 Hadi 34 kwasas Hali imebadilika
@SAYMON794
4 ай бұрын
Nimekukubali kaka Mana changamoto nilizo nazo ningumu mno nimeachana namke wangu naye alikuwa anaitwa sauda
@shaibujape4446
3 ай бұрын
Ukweli mtupu
@fatmajuma2940
2 ай бұрын
asante hapo kwenye kuoa ndio usiseme ndio wenyewe kabisa mpaka unamuonea huruma hana lolote kimaisha lkn yy aoe tu jaman hatar
@SamwelDickson-zh5gj
2 ай бұрын
Kaka saf👏
@MasaiLady-p8p
3 ай бұрын
Duh umeongeya ukweli mtupuuu
@QueenS-k3t
Ай бұрын
Kweli Mimi np hivyo wewe kweli mtalam Sana 🙏
@shalalishalali3101
2 ай бұрын
Du!,kumbe ndo maana.Asante Mungu Kwa kunipambania
@sylvesteraspenas847
11 ай бұрын
Kaka plzzz sijawah kusikia jambo hili mm ni sylvester kaka mamb yaote uliosema toka nimefikisha miaka 30 mamb yang yote hayaend sasa ivy kila nachofanya hakifanikiwi kaka naomba namba zako plzzzz unisaidie kuvuka kipindi hiki
@sylvesteraspenas847
11 ай бұрын
Umenifunza kitu ambacho kimetesa san maisha yangu kaka ukwel ilifika time nikataman kujihua kabisa kaka
@celinamathias4601
11 ай бұрын
aisee kweli kabisa wanangu wakiume wote s,wanapendwa sana na wanawake stivin,samwel,saimon,ila huyuvstivu ana maadui sana
@shedrackjoshua834
2 ай бұрын
Umesahau shedrack
@salumuseif3324
Ай бұрын
mungu amlinde na shari amin
@WardaAlly-lt5pb
Жыл бұрын
Hongera 👏👏💯
@VickKulekana-si1ib
Жыл бұрын
Ndio mdogo wangu mpole na mtulivu
@angle3600
8 ай бұрын
Swaleh mwanangu,hizo ajali amepata,akiwa mdogo wacha tu,anabidii sana,na anaupendo sana,pia hasira na nguvu za aja ajabu
@ShabaniKyumba
2 ай бұрын
Mtabili huko vizuri
@SaidiMbala
Жыл бұрын
Nakubali Yani ww ni mkweli hongera kwa utafiti
@seifpembe5600
9 ай бұрын
Nakubali kaka
@SilivaniVenansi-n1l
2 ай бұрын
Upo sahii sana
@suedyhussein4926
6 ай бұрын
Amin
@ShabanipauloMalonja
22 күн бұрын
Kweli kabisa
@AmnhAlNahdi
2 ай бұрын
Kabisa kaka mzee wangu ni silus akiwa mdogo ni hivo basi mkubwa sa hizi hana kazi pombe sai hatuko pamoja jina hilo S
Пікірлер: 398