Aisee Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu wa thamani sana
@petersylvernus1396
2 жыл бұрын
Aisee nimefatilia habari za Wanefili kwa kusoma vitabu na biblia na katika mitandao ya kijamii kati ya watu walio lielezea hivi vizuri na kwa usahihi ni wewe,Big up it's true 🙏🙏
@EM24TV
2 жыл бұрын
Utukufu kwa Mungu ndugu yetu Peter Sylvernus, Ubarikiwe sana na karibu tena
@salimrajabu8069
7 ай бұрын
be blessed by God, nimejifunza sana
@EM24TV
7 ай бұрын
Ameni Ameni mtu wa Mungu
@boniphaceelias7967
Жыл бұрын
Bwana Yesu akupe ufunuo wake zaidi.
@EM24TV
Жыл бұрын
Ameni Ameni
@annahmwakabenga3877
Жыл бұрын
Nashukuru sana nilikua natamani kujua kiundani habari ya wanefili
@EM24TV
Жыл бұрын
Asante sana na karibu mnoo
@williamkilulu2222
Жыл бұрын
Amen
@EM24TV
Жыл бұрын
Ameni
@mariamseif9072
2 жыл бұрын
Amina barikiwa
@MariettaNyoni
2 ай бұрын
❤
@hamsimstafa6276
Жыл бұрын
Umeeleza vzr sanaa
@RobertMusebe-vn4dv
Жыл бұрын
Kain alipofukuzwa na mungu alienda kuoa nani?
@telesphorymajumbi
Жыл бұрын
Hujajibu swali unarukaruka tuu. Sasa naamini kweli mitandao ni hovyo kabisa.
@stevennyondo2215
Жыл бұрын
Watumishi naomba kuuliza mke wa kain alitoka wapi? INGALI biblia inatueleza kuwa Adam walizaa watoto WAWILI na hapakuwa na mtu YEYOTE duniani
@EM24TV
Жыл бұрын
Oooh, asante sana kwa swali. Tazama video hii kupata jibu lako. kzitem.info/news/bejne/xpdmmHaopmSkfoo
@julianopima3767
2 жыл бұрын
Kama wanefili Ni uzao Wa kaini! Natamani kujua baada ya kaini kulaaniwa alimuoa nani!? Maana wakati Huo alikua Adam, Hawa, kaini Na habili.
@reyjosephochogo904
Жыл бұрын
Mm pia nimekua Nikijiuliz sana ili swali, kama mtu wa kwanza ni Adam na Hawa na kain na habili waliwaoa akina Nani? Au dada zao?
@jackiedeshirima5571
9 ай бұрын
Walioana wao kwa wao
@jackiedeshirima5571
9 ай бұрын
Uzao wa Adamu uliendelea na alizaa wana na binti na hao walioana wao kwa wao na hao wanefili ni kwenye uzao wa Adamu kupitia Sethi
@marthamagayane9821
Жыл бұрын
Je kizazi hiki kimepotea? Je Bwana aliamua kuwaondosha duniani? Maana Leo hii hawaonekani hao majitu wanefili.
@rebeccammussa169
Жыл бұрын
Nikila kizazi cha mwanzo mambacho kiliondoka na garika
@simonngunjiri562
Жыл бұрын
Wanefili waliisha wakati wa ghalika yaani wa Noah
@reyjosephochogo904
Жыл бұрын
Yupo mmoja namwona sikuizi kaingia kweny bongo mov.
Пікірлер: 27