Nacc pia wanachama wa ACT wazalendo tuliopo unguja tunajumuika nanyiyi
@abdulrahmansalim9773
Ай бұрын
😮 SADAQTA SADAQTA SADAQTA . MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAONGO WANAFIKI TAMAA HAKI KAILETA NA ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN IN SHAA ALLAH.
@HusnaKhamis-bf9sm
Ай бұрын
Allah atawahukumu hapahapa duniani
@fatmamsallam437
Ай бұрын
Allah atawashinda madhalim Hawa Hasbiyallahu waneemal wakiil
@AaAa-vm8bb
Ай бұрын
Dada yangu nimesha waambia viongoz wa Act wasipigishane kelele na majitu mabwege yanatamaa na dunia hayana tamaa na Akhera ni kusabiliwa kwa Allah Subhanahu Wataalah waarabu walisema Dun yaa masaalih ukitaka maslah ya duniani ukitukanwa utacheka kama hufahamu yanayosemwa hio ndio laana ya Mwenyezi Mungu
@feyxalbarry4595
Ай бұрын
Hahah
@salyali7807
Ай бұрын
Pemba ni dhahabu ... hawa washenzi hawaijui thamani yake
@nassirnassirtoby
Ай бұрын
kama pemba ni dhahabu ichimbe yote uwe tajir bc
@muhammadmuhammad5043
Ай бұрын
Hayo Nikawaida Sio Geni Hata Waliopita Maraisi Tena Wamesoma Hata Dini Na Waliwaita Wapemba Vijibwa Vya Santori Leo Wapo Mbele Yaki...Walifikiri Wataishi Maisha Katika Uwongozi Hawatatoka Na Hawatakufa Leo Wapo Chini Ya Ardhi..
@jaysullman3697
Ай бұрын
Ni kweli kabisa brother ayo sio mambo ya Kuonesha km ume panic ni Sawa na kuoneshea weakness tu Kinachohitajika ni kumuomba Mungu tu kila kitu kiende kimpangilio na salama na Amani ipatikane kwa nusra ya Allah SubhannalLah WataalLah!
@mohamoudhussein4570
Ай бұрын
Nadir ni Muuwaji Damu ya Juma wa Juma inamtafuna
@AaAa-vm8bb
Ай бұрын
Kaka yangu nchi yetu ikiwa hukua muuwaji huwezi kua kiongozi kwa hio ni sawa na mchawi huwezi kuchaguliwa kua mchawi ila utoe muhanga usishangae hilo ndio imeshakua ada kwao
@user-rk9qj9ob1p
Ай бұрын
Anahadaliwa na punzi allah atamuangamiza km alivomuangamiza na kumzalilisha firauna hawa mapakunya wanashida sana
@laisamaujud1157
Ай бұрын
Mungu atuunganishe lakin kwa viongozi hawa waliokuweko sioni mimi umoja wa kitaifa isipokuwa maslahi yao na vizazi vyao mtihani huu mungu atusaidie
@imusalis5092
Ай бұрын
Jamani umoja umoja umoja umoja wa kitaifa na kijamiii viongozi waishi na viapo vyao kwa kutenda haki bila upendeleo Unguja na Pemba yote ni moja Allah atujaalie tuwe kitu kimoja na viongozi wetu wafanye uadilifu kwa watu wote
@fatmamsallam437
Ай бұрын
Na huyo mhindi ana husda na wapemba
@Allybinamour
Ай бұрын
kweli kabisa,ana chuki za wazi wazi
@hamadjumakombo9793
Ай бұрын
Ni vizuri baadhi ya viongozi kupimwa ajili kabla ya uteuzi
@jumaswaleh-kh8oz
Ай бұрын
Watu wasome dua kumshitakia m.mungu
@user-qo8uj1ym4m
Ай бұрын
Huyu chotara nadir kama hatochukuliwa hatua na serikali basi Allah atamchukulia hatua biidhini llah,rab ampe la kumpa yy ndie muweza wa kila jambo
@R10_Rajab
Ай бұрын
Vipi kuhusu Kumbaro Jussa na yeye vipi asichukuliwe hatua?hahaha Wambape bhana
@SabihaRajab
Ай бұрын
@@R10_Rajabwambili wambili tu mutaharisha sana mutushukuru tumewaokoa sana tunawagaiya tulichobarikiwa na Allah
@R10_Rajab
Ай бұрын
@@SabihaRajab Mnagawa nini sasa hahaha huo ubaguzi chuki na roho mbaya au hahaha poleni sana tukutane 2025 InshaAllah
@SabihaRajab
Ай бұрын
@@R10_Rajab ujinga tu ukutane na nani na sisi tunamtaka huyu mcha mungu sio wale watwana waliopita
@KhamisiSalimu
Ай бұрын
Kwa ubaguz kma huu ilitupelekea wapemba tudai kisiwa Chetu tujitenge mbona hamukutupa mulitupiga vibaya mno sasa kma hamuwez kutukosa wachen ubaguz sisi hatuna shida kwenu ila nyinyi munajipendekeza ,
@jaysullman3697
Ай бұрын
Wala haina haja ku panic ndugu yangu iko Siku na usimuoneshee adui yako km alikupiga jiwe likakupata kisawasawa na ukaumia kisawa sawa ukiwepo ktk uwanja wa Vita kua makini Sana nnalolisema ndugu yangu 🙏😊
@jaysullman3697
Ай бұрын
Wala usifikie kusema ayo na ikiwezekana na ww waambie wenzio wasifikie uko
@utamadunitv8070
Ай бұрын
Km sikosei na nyinyi mnamtukana Mh rais na mnacheka au sie nyinyi mbona haiko sawa hii
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Walisha wahi kumtuna mh raisi matusi ya nguoni?
@AaAa-vm8bb
Ай бұрын
Wazee wangu na ndugu zangu hawa hatuwezi kuwafanya kitu isipokua tuwasalimie Allah حسبي الله ونعم الوكيل
@fatmamsallam437
Ай бұрын
Pesa za wananchi zawalewesha hao golo
@batashqiraa9936
Ай бұрын
Nadir nakuonea huruma, inaonekana huwajui wapemba, sasa Nadir kumbuka waliwatukana na kuwadhalilisha wapemba sasa wapo wapi, Nadir kama hajui uliza waliopita waliotukana wapemba sasa wanadhalilika
@user-jj1uj3my7b
Ай бұрын
Pamoja sana viongozi wetu
@hashimalihamad3477
Ай бұрын
Wanaubaguzi wa wazi wazi kwakweli lkn mungu atawahukum yuko wapi borafyaa kafika wapi baraka shante
@user-lb8gz5pt3u
Ай бұрын
Huyu jamaa anatutukana sana😊
@w4058
Ай бұрын
Matusi na maneno ya kebehi ya Huyo Hamza Husaan na Nadir mkae mjuwe na kila anaowatetea hao wajuwa MMungu anawaona udhalim wenu na viburi vyenu Alysa Llah biahkamulihakimin
@user-fn8on5lf8m
Ай бұрын
Huyo muhindi ni mkundu
@allymbarouk5362
Ай бұрын
Shida kubwa kuna vijikundi vya wapemba wanafurahia hilo kubaguliwa na wao kuona nimaendeleo
@AbubakarAli-io7ke
Ай бұрын
TATIZO KUBWA ACT NI KUTOWAJUWA WATU WA UNGUJA.WOTE WANOTUKANA WANATOKANA NA KILE KIZAZI CHA WAZEE WAO WALIOKUJA HAPA UNGUJA KUJA KUUA WATU KIPINDI CHA MAPINDUZI .KWAHIYO ILE CHUKI BADO INAENDELEYA WAKO WENGI HAO.WATU WENYE ASILI YA UNGUJA HAWAWEZI KUWATUKANA WAPEMBA KATU.KUWENI MAKINI HAO NI WAGENI TU HAPA.
@TunauzaSimu-fn2ff
Ай бұрын
Wafanyao hvy c waunguja hao ni wabara. Shirika ni njia c nchi Allah mwenyewe katuweka tofauti ila tupendane tusaidiane na tuheshimiane. Wanaliwa na chuki za kuona wapemba wapo kila mahali nacfa ni njema kabisa. CHOYO JUU YETU. IPO CKU TUTASHINDA!
@TunauzaSimu-fn2ff
Ай бұрын
Ni hakika wafanyao hvy c watu wa Unguja.
@mohdkhatib223
Ай бұрын
Hamza yeye mwenyewe aliwahi kusema kwao ni bara/tanganyika.
@KhamisiSalimu
Ай бұрын
Nadir ahamishwe apelekwe kwao hopa zanzibar sipao hatumtak analeta ubaguz
@masoudalriyamy6298
Ай бұрын
Kunawatu sio fani yao siasa mnawachukua watu kutukanana ndani ya baraza mnaona nchiyenyewe inatoka katika migogoro ilifika wakati watu walikua hawazikani leo imetokea salama mnaanza tena chokochoko zanu tena komesheni fitina
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Apo umetaja vichwa vitupu na aooo wote ni watu waliokua na uzalendo ndani ya nafsi zao ukifuatilia hassa historia yao na maisha yao
@user-ks6rn1ir1j
Ай бұрын
Kwan yule nadir yupo Jimbo Gani man pia ni waziri ila hata sisi waunguja katuudhi saanaaa..anajikuta elimu tukutane 2025,.
@MohammedBwanga
Ай бұрын
Kuna watu c wa kujibiwa coz hawana hoja Za kujjibiwa ni kuwapuuza tu sehhem km baraza la wawakilishi sio sehem ya kuongea mipasho ni pahhala kuongea. Massala ya wananchi na nchi
@abuu-bakarshaaban6246
Ай бұрын
In shaa Allah sisi tutamuachia mungu tu
@omarbaabad2706
Ай бұрын
Poleni Sana wapemba kwa kutokujua wapi msimame,mlikuwa cuf,Leo mko act kesho hatutoshangaa mkiwa ccm, wapemba mumepoteza msimamo na hii kujiunga na suk ilikuwa hakuna budi Maalimu ilibidi ameze matapishi yake na ilikuwa ajabu na uwendawazinu wa marehemu Maalimu useful kuingia katika suk huku akijua hakukua na uchaguzi alifanya vile kuibeba act nani asiyejua Maalimu alikataa suk akiwa nawabunge wa kutosha na wawakilishi wakutosha kwa hiyo hayo yanayowafika nimakosa yenu
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Unavyo viongea wala haviusiani na huu ubaguzi malumbano na kutoelewana kisiasa kupo lakini sio ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe
@KhamisBakar-ge4sp
Ай бұрын
Kweli wapemba tunabaguliwa, mpaka ajira hatupewi wanatuletea watu wengine mbali , Sasa hawa viongoz wakuu wa Nchi wanatufanyia ubanguzi eti kwa sababu ya Upemba na Unguja. Mimi nawashauri wapemba wenzangu wote tuhamasishane ili tudai Kisiwa chetu. 😩😩😩!
@hajihassan5433
Ай бұрын
Hivi mnabaguliwa vipi jamani Makamo wote 2 ni Wapemba, Mawaziri kadhaa ni Wapemba, Makatibu Wakuu kadhaa ni Wapemba, Wakurugenzi kadhaa ni Wapemba, Ma DC, Ma RC ni Wapemba. 55% ya Wafanyakazi wa SMZ wapo Wizara ya Elimu, viongozi wote wa ngazi za juu za Wizara hiyo ni Wapemba, Walimu walioko Pemba 99% ni Wapemba lakini waliopo Unguja 30% ni Wapemba. Kinachoendelea kinahitaji kupuuzwa ni kwa sababu ni siasa, hivi hamjamuona wala kuwasikia Jussa na Othman Masoud wakimbagua na kumtukana Rais matusi sio tu ya kisiasa bali ni ya nguoni. Suluhisho ni kugawana visiwa miafaka yote tumeshaimaliza. Tukumbuke Mapinduzi 1964 ndio yaliyoifanya Wapemba na Waunguja kuwa wamoja, kabla ya hapo Wapemba walikuwa Pemba na Waunguja Unguja hata vyama vya siasa havikutambua kuwa Pemba ni Zanzibar mfano ZPPP, Zanzibar and Pemba People's Party. Hakuna Mpemba mwenye miaka 45 ambae Wazee wake ni Unguja na Pemba. Tugawane visiwa! Tuacheni siasa.
@Allybinamour
Ай бұрын
maoni yako ni mazuri sana, ila kama huujui ubaguzi ulofanywa hapo nikua; huyu nadir kazungumza akiwa ni wazir na tena yumo ndani ya baraza la wawakilishi hii ina maana alikua anaisemea serikali,jussa na mh makamo wanapozungumza wapo kwenye chama wao hawaiwakilishi serikali bali ni chama,na mh othman anapokua serikalini hazungumzi maneno kama anayoyazungumza kwenye chama.si unamuona mazurui na omar said shaban wanapompongeza rais wakiwa ni mawazir.
@Sheba4651
Ай бұрын
@@hajihassan5433Wapeni kisiwa chao tu, wapumzike kupigwa nyakati za uchaguzi. Huo uchambuzi wa viongozi unaowataja hauna manufaa na wao ikiwa kuna siku watauawa ama kupata vilema wakati wa chaguzi, si faida. Hata Nelson Mandela aliwaambia makaburu, minyororo ya utumwa si mizuri hata kama imetengezwa kwa dhahabu. Mimi ni mtu wa Unguja, babu yangu wa 6 amezikwa Unguja, nafurahia wapemba wakipewa kisiwa chao wapumzike madhila ya watanganyika na kupigwa na kuuwa, kisa madaraka. Mtaenda kuchomwa nyie siku ikifika.
@bakarsuleiman3989
Ай бұрын
Ww mpumbavu sana jinga ww hii nchi asilimia kubwa wapemba ndio wameijenga pamoja na kutubagua kenge ww hukusoma sawa na huyo nadir
@MahmoudDouchi
Ай бұрын
@@hajihassan5433ndo umezungumza nini naona pumba tu waongea na ujinga wako uo mkisha kagawa visiwa faida yake nini. Kwn uongo wapemba hawajatengwa ilo mbn lipo wazi punguza uhafidhina wa kipuuzi uo.
@Aisha-lj8bu
Ай бұрын
Niuhayawani kabisaa hawajielewi kabisaa haohatawakilishwa mavi watakula ilimradi kuvhunga viti vyao
@nassirnassirtoby
Ай бұрын
munajidanganya 2 kwan ata awo viongz wenu pia ni ccm mtafte m1 2 kma upo nae alokua c o ccm ikiwa ata uyo malim seif alikua ccm tena awo wengne wanao zid kuwadanganya kwan nyinyi muna chama au muna kikundi cha kulma mua kma morogoro mtibwa
@KhamisiSalimu
Ай бұрын
Nadiri anyongwe, hafai
@user-jf7is4fk2v
Ай бұрын
ni kujitenga tu
@saidalhinai1131
Ай бұрын
Mimi nawashauri wapemba wakate hiyo mikarafuu yote na wapande migomba halafu wawatukane washenzi wasio na dini
@Rukaiya-lt3hm
Ай бұрын
Maccm yote mabaguzi
@hamidamussa593
Ай бұрын
Nadiri anasema nini muhindi yule na yeye aende kwao india akakate viuno km sharuk khan
@abuubakarjuma3230
Ай бұрын
😂
@MohamedAhmada-ie7ke
Ай бұрын
Kasema wapemba wote wapo unguja pemba wanarud wakat wa kura tu so huwezi unguja kufanya maendeleo sawa na pemba unguja watu ni wengi
@user-wx9or8rw4n
Ай бұрын
Tatizo makunduchi akiitws ivyo kawaida,mtumbatu aakiitwa ivyo hana shida,ttizo wapemba hamjikubali ndo mana kidogo tuu mada,hiini duniaa tuu,mnasahau mna haribu vitu vya jamii,mnadhulumu ila hamuoni kosa ,kosa kuambiwa hamtaki kukaa kwenu kufanya kazi?!
@mohdkhatib223
Ай бұрын
Kwani kilitokea nini? Sisi wengine hayo aliyoyasema Nadir hatukuyasikia.
@user-oj8bk5xn8n
Ай бұрын
SioAllah atahukumu huyu inatakiwa achukuliwe hatua natunasubiri tu ajepemba tutakulanae sahanimoja uyonishoga tu nashoga kuongea ujinga ndio kaziyake ikosiku tutakutananae
@johnabdillah9531
Ай бұрын
Wacheni siasa za huruma huruma jamani tufanyeni kazi, hakuna mtu alitukanwa
@HajiYussuf-bv5eb
Ай бұрын
Huyu naadir ni mjinga tu
@kitosio
Ай бұрын
Inategemea huyo muombaji msamaha kama ana tabia za wema. Kama alilelewa ktk khulka zile msipoteze Muda hatatibika. Anayoyaficha ktk nafsi yake ni makubwa zaidi. Tumshukuru sana Raisi Mwinyi pamoja na kuwa watu aina hiyo bila shaka wanamsumbua ama watamsumbua sana. Raisi kadri anavyopambana na chuki bado uchafu wa Mahasidi haumalizi. Ndio watu wanasema Kiongozi wa juu hana tatizo lolote, shida walio chini ni majanga matupu. Solution kwa vile zanzibar ni Nchi Ndogo basi ni afadhali mambo muhimu yote ayafanyie kazi yeye mwanzo_mwisho, Hapo maendeleo hayatarudishwa nyuma.
@aliferuzi1537
Ай бұрын
Kwa kuongea Sasa matabaka mkubwa yapo Zanzibar kwa jumla. Na hayasemeki lkn KUNA MATABAKA MAKUBWA TENA YA WAZI WAZI KABISA. UBAGUZI UPO NDANI KWA NDANI YA VISIWA KTK JAMII. HII NI HATARI KILA TUKISONGA MBELR
@AbdallahSeif-cp3ul
Ай бұрын
Alla ampe lakumpa
@Pemba680
Ай бұрын
Alaaniwe Nadiri
@feyxalbarry4595
Ай бұрын
Mtume ameingiaje kwenye chama na siasa acheni kuinasibisha dini na Chama
@suleimanmalik8878
Ай бұрын
Allah Atawalipatu Hao mathwalimu wakubwa wameshazoea kula Mali za umma hususan Hao wanao tubaguwa wa pemba besa zetu zinawatia kiburi ila Maisha mafupi punzi zisiwahadae
@ConfusedBalkhHound-on2mx
Ай бұрын
Ni wasenge hao
@jumajuma4337
Ай бұрын
Yusuf huna mpya ww nyi nyi ndowabaguzi
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Ume baguliwa wapi?
@user-fj5hk5kp7p
Ай бұрын
Kube ukweli unauma cn stahamilini kidogo
@mohdkhatib223
Ай бұрын
Ukweli upi huo? Halafu wewe tukujue asili yako?
@salyali7807
Ай бұрын
Huyu nadir kila akifungua mdomo aulizwe yuko wapi Juma wa Juma? Ataweka akili yake kama kasahau
@alimohd5564
Ай бұрын
Wapemba tusimameni na ALLAH kwani o Peke yake Allah ndie mwenye nguvu sisi wapemba ni waja wadhaifu
@MohamedKassimIdrisa-gg1oe
Ай бұрын
Kwani alichokiongoa uongo hamkai kwenu kweli mmejaa miji ya watu hata mkasema kwenye vyombo vya habari lkn ukweli umeshasemwa hamkai kwenu Pemba rudini Pemba mkajenge Pemba yenu ukweli unauma
@RajabQassm
Ай бұрын
Hatuondoki na hamuna uwezo wa kutuondoa mtaishia kusema tu, ikiwa viongozi wetu wapo Unguja sisi tuende pemba tukafanye nini
@hamidamussa593
Ай бұрын
Ww unakujua kwenu? Pia yawezekana ukawa kharamu la uko Pemba unakokuchukia
@RajabQassm
Ай бұрын
Hatujakuchukia mkataa kwao mtumwa mimi wazazi wangu wote wako pemba na ndugu zangu wote Unguja tumekuja kutafuta mtu hachumi kwao mpuuzi we
@RajabQassm
Ай бұрын
Ndo maana Mungu, wapemba kawatajirisha we utabaki ivoivo me kwetu ndijani nitatoa machungwa ndijani nipeleke sokoni, we safiri mtu hachumi kwao.
@user-jj7nl2xo5j
Ай бұрын
Kweli kabisa
@user-sf3mm9xe3p
Ай бұрын
Lakini ninauhakika sikuhile mh SULEIMAN wa jimbo la ziwani hakuepo pale kama anglikuepo pamoja na kua yeye ni CCM lakini upuuzi hule aisngali ikubali hata siku moja
@AbuubakariKhamisi-mt4cz
Ай бұрын
ww siompemba umpemba twakashifiwa ww hata hujui kwa ujinga kukutawala hujui hata maana yakutukanwa hamaku mkubwa we
Huyo mzee idirisa unae msema hata hao waunguja walimkataa na ndio mana akaamua kujiuzulu
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Sasa jamani sisi tumesema kua wao wanakauli mbaya kwetu, mbona tena na sisi tunaasema kua yeye ni mbwa vp teeenaa sisi tueke hoja t wananchi watatuelewa
@user-lb8gz5pt3u
Ай бұрын
Tusomen Dua kubwa pemba
@mohamedsalimmsabah5691
Ай бұрын
Yupo mchangiaji mmoja amefananisha wananchi na rais kwamba viongozì wa ACT wanamtumkana rais na kwa nini wapemba wasitukanwe. Kwanza akumbuke kwamba wananchi hawawezi kupanda majukwaani na kujibizana na kiongozi yoyote, lakini viongozi wanapowatukana wananchi wanawakosea sana. Hivyo tuwaache viongozi watukanane wenyewe kwa wenyewe, lakini si vyema kuwatukana wananchi kwani mwisho wa siku wanarudi kwetu kuja kuomba kura. Aidha kiongozi anapowatukana wananchi anamaanisha nini wakati hapo walipo kama si wananchi kuwapigia kura asingeweza kufika hapo alipo. Kwa maana nyengine wakumbuke katika suala la biashara mteja anakuwa mfalme na kwa hapa mwananchi anafananishwa mteja ambae ndie anaeitwa mfalme. Cha msingi hapa viongozi wetu waache dhana ya ubaguzi wa aina yoyote ile kwani hausaidii isipokuwa unaikandamiza nchi husika. Usishangae wale wote wanaowatukana wapemba wakawa wamekuja hapa zanzibar kwa mshindo wa beni na sio wazanzibari halisi wa baba na mama, sasa wanapata wapi nguvu ya kuwabagua wazanzibari tena walio kindakindaki
@rashidally1149
Ай бұрын
Kwani makamo wa pili sio mpemba? Mbona kashindwa kukemea ? Hakika hao kina nadir niwakufukuzwa lakin wakuu wanapenda wapemba kutukunwa
@user-sf3mm9xe3p
Ай бұрын
Nadir mjinga yule
@w4058
Ай бұрын
Kuna watu hupenda kujitia hamnazo CCM hawatukanwi CCM ila wanatolewa makosa yao khasa katika ubadhirifu wa fedha na hilo linjulikana tusichanganye maji na tope
@salmahaji5198
Ай бұрын
Mmmmh
@nassirnassirtoby
Ай бұрын
wewe ulokua c mshenzi je unaijua pemba au unasma 2
@sasha-ri7tf
Ай бұрын
Tutakwenda kuziuza kenya karafuuu. Na wenye kuziuza karafuu (ZSTC) tusikubali hata gunia moja la karafuu kusafirishwa Unguja, njia pekee ni kuchoma motooo (🔥🔥🔥) maghala yote ya kuhifadhia karafuuu yote Pemba .
@TunauzaSimu-fn2ff
Ай бұрын
Tuczichome. Wajinga wataona japo cku
@AaAa-vm8bb
Ай бұрын
Tukiuliza wzhusika hizi siasa za Europe zinakua na matusi na kejeli kama hizi zetu ?
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Yule ni mwanaharamu wa Kihindi!na la kushangaza ni kwamba ndani majumba yao wanao ndani ya majumba yao!kwa mfano huyo mwanaharamu Nadir ni hivi karibuni tu alimtafutia mke(Mpemba)na tujiulize mbona hakumtafutia mke Makunduchi au Matemwe?na shahidi ni huyo Spika kwani na yeye alihudhuria ktk tokeo hilo lililofanyika Mskiti wa Kiembesamaki!
@AaAa-vm8bb
Ай бұрын
Asie kua na damu ya Africa hawezi kuacha tabia yake Muhindi ametok kwao akapata tonge ya bure si lazima atawatukana wapemba hana maumivu nao ingekua wapemba ni mabohora asingeli toa mneno machafu kama hayo na wapemba baadhi yao wakafurahia hilo jee hao ni wazima kiafia?
@muhammednassor3569
Ай бұрын
Huyu karagosi wa kibaniani katumwa
@user-fn8on5lf8m
Ай бұрын
Huyo mkundu ni muhindi ajana nae
@hamidmussa838
Ай бұрын
Matusi Mmeanza nynyi Marehemu Dr.omar Juma mlmwita kidonge cha Lami
@MohamedKassimIdrisa-gg1oe
Ай бұрын
Msituletee nyinyi kwenye mikutano yenu ya ACT muda wote mnamsema Rais Mwinyi leo amesema mtu mmoja wa CCM mikutano na Waandishi wa Habari kwa hiyo kumbe nyinyi mkiambiwa ukweli mnanuna basi nuneni na mtazidi kununa wala bado
@wadhhasuleiman2621
Ай бұрын
Hujielewi ww na sio mzanzibar itakuwa
@w4058
Ай бұрын
Haha Binadam asojuwa tafauti na matusi na kukosolewa basi hana haja ya kuishi ila MMungu hamuondowi mja muovu haraka anakuwekeni hai labda mtatanabahi mutake maghfira lakini wapi madahli wanaongwa na Christian church movement CCM huwa ukweli wenye ucha MMungu hawautaki Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah inatosha
@Kokhaako
Ай бұрын
Hapa mumefanya la maana na tunawaunga mkono kwa asilimia mia moja. Lakini waulizeni je!! Wapemba tukiomba kujitenga kutokana na wanayotufanyia tutakuwa na kosa gani? Laiti hatuheshimu ndugu zetu wa Unguja ambao wanatuunga mkono basi maamuzi yetu yangalikuwa mwengine. Tafadhali waliopewa madaraka wakijuwa kuwa wao ni sehemu ya wageni Zanzibar waheshimu ugeni wao.
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Na tukimdadisi Sana Nadir sidhani kama babu yake Tu ni Mzaliwa wa Zanzibar!sasa anajifanya ana maumivu sanaaa Kwa Zanzibar!mwehu yule
@MohdRashid-qk6hd
Ай бұрын
Jibuni hoja, Mh. Nadir hajawatukana wapemba ila kaeleza ukweli kua musiseme uongo kama pemba hapafanywi maendeleo, mm mwenyewe mpemba na maendeleo nayaona, pemba ya leo sio ya jana, jibuni hoja msilete midahalo, pia unguja watu ni wengi na magari ni mengi mara 50 zaid ya pemba, hivyo miundombinu haiwez kua sawa!.
@user-gk3wz8wb3t
Ай бұрын
Ww huna akili na nahisi sio mzaliwa wa Pemba nadhani labda umekuja tu kulelewa kwa iyo usiitetee serikali ya Ccm mzee tumia akili
@KhamisBakar-ge4sp
Ай бұрын
Sisi hatutaki Hoja, tunataka Kisiwa chetu cha Pemba tupewe wenyewe tushachoka na ubanguzi 😢😢😢
@cath-ef7wd
Ай бұрын
We msenge pemba hakuna msenge kama wewe na akili zako mavi
@salyali7807
Ай бұрын
Naona kama kunzaliwa tu .. huna asili ya upemba
@lusakaone7782
Ай бұрын
Ukome
@HAMADHAMAD-lk3ms
Ай бұрын
Nabiri hana lolote yule
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Wana mtukana mpaka mufti wa zanzibar maana nae ni mpemba
@user-wl8ng3pj5r
Ай бұрын
Kweli
@ZuenaSharifu
Ай бұрын
Yule ni mkundu ulio funikwa😅 hajielewi na hafai kuepo Zanzibar mungu ampe laana mbwa yule
@jumakapilima7295
Ай бұрын
Mbona nyie pia mnawatukana CCM na Rais wao?
@MahmoudDouchi
Ай бұрын
Nilijua tu lzm utakueopo kwenye Mada km hizi
@jumakapilima7295
Ай бұрын
@@MahmoudDouchi nashukuru sana kama ulijua hilo
@MwigaAdam
Ай бұрын
Nadir kajisahau kama yy ni chotara aliepinduliwa na kizazi chake kusambaratishwa anakunya Kwa mdomoni na kuongea Kwa mkunduni Kila anaposimama majukwaani
@user-et9vf2ro2k
Ай бұрын
Namkumbuka maalim seif alikua akituambia kua kuchokozwa, tutachokozwa laaakini laakini tusichokozekeee wakatutoa kwenyw mstari maana safari yetu ya MAMLAKA KAMILI inatia nanga hivi karibuni, Aliyasema hayo akiwa katika kongamano lake maalim nakufungua koongamano lake
@R10_Rajab
Ай бұрын
Mkuki kwa Nguruwe nyinyi mnavyomtukana Raisi kwenye majukwaa huwa hamuoni na mbona hamkemei?ila mkiambiwa ukweli ndio kama hivyo mnaleta siasa
@jumaseifjuma4185
Ай бұрын
Kweli ukamtukane rais hadharani nchi hii ? Loo...... uliza yaliyomkuta Bakar Shamte.
@R10_Rajab
Ай бұрын
@@jumaseifjuma4185 Kwa hivyo pale majukwaani Kina Jusa wakimtukana matusi Raisi Yale hayaitwi matusi au ,mnaachiwa tu msije mkaleta fyokofyoko maana hamkawii nyinyi ndio kama hapo kidogo tu mshaanza kuleta maneno maneno hahahha tukutane 2025 InshaAllah
@moa4122
Ай бұрын
@@R10_Rajab Raisi ni mtu anayeongoza nchi na pia anapofanya kosa ni wajinu wa wananchi kumkosowa lakini hakuna mtu yoyote aliyesema waunguja au wamkulanga. Bahati mbaya Nadir kataja wapemba na nadhani hakuwa na nia mbaya lakini ulimi hauna mfupa na bora kujikwaa dole kuliko ulimi. Mbona Nadir ana marafiki wengi wapemba
@R10_Rajab
Ай бұрын
@@Sheba4651 Au xio
@saidyussuf2291
Ай бұрын
@@moa4122 umezungumza jambo la kuunganisha sio kila anasema anakusudia ubaguzi , wote wa Zanzibar asijite mtu mpemba wala muunguja
@SalehSonda-bz3hl
Ай бұрын
Itabidi wapemba tubaki na Pemba yetu maana watu hawatupendi,tumekua kama wapalestina du,AllahuAkbar,one day.
@NoufelSalim
Ай бұрын
Nadir ni mbwa tu .Tena rais mwinyi watakao muharibia ni mbwa km Hawa, Tokea apo CCM hatuipendi ndo itazid kutuchukiza
@khamisjuma7616
Ай бұрын
nyie wapemba ccm hawaingii mawaidha msijihangaishe bure subirini 2025 tuwang,oe kwa kura wakileta janja tutawaondoa wanavyotaka kuondoka lkn mara hii ni final ujingaujinga wa malalamiko sasa bass
@user-ip4ie7pt6i
Ай бұрын
Hapo ulipo unanuka njaa unawashinfikiza viongozi wa ccm maisha tu usijitie upofu apa
@SabihaRajab
Ай бұрын
Yule ni mbaguzi tu hapendi watu weusi anajifichia kutukana wapemba lakini anawaona nyani wote humo barazani ila hawataji waunguja analinda cheo
Пікірлер: 152