Ahsante Mheshimiwa / Cheikh kwa ufumbuzi yakinifu, lakini pia kwa mapendekezo sahihi.
@mosiabdul
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana sheikh wetu
@allyhassan7169
Жыл бұрын
Shekhe upo sawa kabisa ni haki yako kusema kwasababu mambo yapo hadharani
@zubedabunto1296
Жыл бұрын
Tena wanakera sana sana hawa majirani zetu ila wanazidi kutuchokonoa kwa kweli
@omarbuud-tc4jj
Жыл бұрын
😂😂😂Shekhe wanajua ndugzetu Kwan hawajui 😂😂😂
@mzavafadhili7488
Жыл бұрын
Hawatakua radhi nanyi mpaka mfuate mila zao Allah akulinde na maadui inshaallah
@hammytototundu9292
Жыл бұрын
Masha Allah
@magidalenarauya4286
Жыл бұрын
Wewe mchochezi,yatakurudia wewe na kizazi chako mpaka Cha tano,tumia nguvu hizo kuhubiri watu wamrudie mungu
@edsonkahesi8603
Жыл бұрын
Mimi niliomba kipande ambacho mzee alisema ivyo..ila sijapata, labda nilichokiona kwa kufatilia hotuba zake ni pale aliposema nchi hii bado ina dosari ya ukabila akasema ktk mkoa anaotokea wa Mara ikifika kipindi cha uchaguzi wagombea wengi mkoani humo hujinadi kwa makabila yao akasema hii bado ni dosari, akaongeza dosari nyingine ambayo inatakiwa ikemewe ni udini..siyo kiongozi anaingia kweny nyumba ya ibada anajitambulisha au anatambulishwa kwa cheo chake badala ya kuwa kama muumini tu.. kitu ambacho ni kweli..Sasa huyu sheikh naona ana ajenda zake pengine na watu wake anayoibua ambayo kama watanzania hatupendi..kwa hoja zake huyu sheikh inaonekana amekuwa na kinyongo tokea awamu ya kwanza na naona ataamsha ambayo tulikuwa hatuyawazi. Mimi ni Mkristo ila nakubali mawaziri wengi Waislam waliopo serikalini kwa7bu ya uwezo wao
@geofreyjosephat8031
Жыл бұрын
Lakini mimi nadhani ilikuwa busara pia kwa huyo shehe kucha kuamsha hisia hizi za kidini. Kama kweli Warioba aliongea hivyo (sijamsikia), alikosea, lakini kosa halihalalishi kosa jingine. Binafsi mimi ni Mkristo lakini namkubali Sana Mh. Rais Samia na Serikali yake. Sio sawa kuanzisha hii mizozo. Na naamini hata viongozi wa Kikristo (Maaskofu) wanaukubali Sana uongozi huu kuliko pengine hata uliopita. Naomba tupuuze hizi hotuba kwa wanasiasa na na hawa viongozi wa dini mithili ya huyu, tukae wamoja
@geofreyjosephat8031
Жыл бұрын
Hebu mwenye hiyo hotuba ya Warioba akiishambulia Serikali na aiomba nijiridhishe kabla ya kuhukumu mtu. Naomba hiyo hotuba niisikilize wadau
@sheikhrajab6429
Жыл бұрын
Umeanza udini sasa, kwanini hukumwambia Mstaafu asizungumzie huo udini?
KAMA UMEMSKILIZA MWANZONI UTAELEWA WARIOBA NI ICON AKISEMA JAMBO KAMA HILO LINACHUKULIWA KWA UKUBWA HIVYO KUMJIBU KAMA HIVI NI MUHIMU SANA
@fedrickgeorge290
Жыл бұрын
Hawa waislam akili yao n ndog sana
@shuaybukitwanga7644
Жыл бұрын
Nyie ndo akili zenu finyu
@omarijuma5007
Жыл бұрын
Huyo warioba ni msaliti wa serikali haulizwe na ndio maana makonda all mkata kibao
@mzeemzee7503
Жыл бұрын
KIUWAZI UISLAMU UMEKUWA NITISHIO KILA PAHALI NAWENZETU HAWAPENDI KUONGOZWA WANATAKA TUWE CHINI YAO INAWAKERA NAFSI ZAO SASA KULETA UDINI NISIYASA MBOVU WAMEKOSA LAMSINGI .
@abdubakar5428
Жыл бұрын
Ahsante mziwanda wangu
@zubedabunto1296
Жыл бұрын
Wakumbushe huenda wamepotoka
@esterpaschal6080
Жыл бұрын
Nyie n wakimbiz tu kwenu uarabun
@ahmedmassoud8758
Жыл бұрын
ss wakimbizi nyie wasagi na wafiraji sio watoto wa wazungu
@yahayaally9193
Жыл бұрын
Wewe ndio mkimbizi zikuzako zinahesabeka sikiliza point
@hajimasoud1544
Жыл бұрын
Laaana za allah popote ulipo zikushukie mja wa laana popote ulipo amin 🙏 allahumma amin
@martedimohamed6327
Жыл бұрын
Nyie ndo wakimbiz kwasbb sisi ndo tulofanya harakat za uhuru kwa Taarifa yako ndo maana tukaiita DAR ES SALAAM kwa lugha ya kiarabu mnaipenda Dar esa salaa lkn hamjui maana yke mnakimbia kulima mnakuja kujazana mnatembea uchi
@ahmedmassoud8758
Жыл бұрын
kazi zenu kutembea uchi2 kama mbwa mungu amewaumba vzr mnaiga wamagharibi kwasabb wamewaletea dini ya kufoji na mungu wa mabox
@franciscomasungulwa3575
Жыл бұрын
Shekhe chochezi sana...
@saidsalum523
Жыл бұрын
Ni mchochezi kwa sababu ya kusema ukweli tu,,ivi nikuulize kwani kuna uongo gani apo?
@hamidudongo1879
Жыл бұрын
Chochezi..,.... Yaani anatoa data za kweli unasema uchochezi? Au unafikiri hayo mambo waislam hatuyajui? Tunajua sana kuhusu haya mambo. Sema Waislam hatuna uwoga uwoga tu. Tanzania ni nchi ya kikristo kwani watawala wake kwa asilimia zaidi ya 80% toka 50 iliyopita ni Wakristo. Waislam tunajua sana na waislam wanajua nini kinaendelea pale Baraza la elimu. .wewe tulia Sheikh wa Bakwata kwa mara ya kwanza anashusha NONDO. Je, kama Waislam wangefika hata asilimia 40 kwenye utawala si mngeleta vita nyinyi?? Ujue wailsma tunajua hata mambo sana sema tumeamua kunyamaza ila watu kwanza wanapashana habari.
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
Hakuna Cha Sheikh Cochezi Ukweli Usemwe. Tulia Dawa Iingie
Пікірлер: 53