Wangine wanasoma quran kuliko usikilize unaongeya tu . Quran inasema hivi kwenye sura ya 7 ayat 204 ikisomwa quran kaa kimya uyisikilize huwenda unaweza kunemeshewa kwa kuyijuwa .
@MaryamAbbas-o1c
9 күн бұрын
Waabdishi mulivo fanya sio vizuri mungesubiri hiyo hitma ikamaliza ndio mkaendelea humuhoji
@aftapat5365
9 күн бұрын
Mimi nilimuacha Binti yangu akiwa na miaka 3 tu kwa sasa ana miaka 8 naapa Mungu anisadie nirudi tz nikamuone mwanangu japo mama ake ashazaa na wanaume wengine ila Binti yangu ni kama mama angu maana sisi tulizaliwa watoto wa kiume tu big love tz from 🇫🇷
@asmahassan5661
8 күн бұрын
Daa pole sn
@user-yb6wh1bk9d
7 күн бұрын
Pole cn inshaallah mungu atakusaidia tuombe uhai
@ZayyanaBamuni
8 күн бұрын
Hii sio sawa,Qur-ani inasomwa na wengine mnazungumza,mngasubiri iishe na mambo mengine yangefata
@florencemeza6540
9 күн бұрын
Sajuki kajizaaa
@siriyangu4724
9 күн бұрын
Pole da wastra kazi ya mungu haina makosa twaumia kweli tukiondokea lkn twasema alhamdulilai 😢
@saimongilala8938
9 күн бұрын
Jaman nimemc sana sajuki kipez chetu Mungu mpe kauli zabt
@zakamorash9210
9 күн бұрын
ni kosa inaposomwa qurani huku kuna sauti ya mahojiano inasikika mngekaa mbali na jisomo hicho, hiyo ndio nidham ha kisomo
@McT-m1m
8 күн бұрын
Pole sana wastara ulimpenda sana mme wako ila allah alimpenda sana
@zepinashatibu5149
9 күн бұрын
Huyu Steve japo wanampaka mabaya lakini kesho tutamkuta peponi najua ukiwa hai siyo wote watajua umuhimu wako
@RayWabrighton
7 күн бұрын
Mung akukuzie
@surusuru1994
8 күн бұрын
Masha Allah ❤🤲🤲🤲
@user-yb6wh1bk9d
7 күн бұрын
Kila ukihojiwa wastara unamsifiya mtt mkubwa kwanza utawatia unyonge wtt wk wengine wataona km unampenda huyo zaidi na pia utamtiya husda huyo mtt Kwa mdomo wk ww mwenyewe ht mzazi akizidisha kumsifu mtt cn unamtia husda please punguza
@dianajohnson7268
9 күн бұрын
Umepona wastara si juzi ulisema umevamiwa na mapanga?😢, Bora kama ukuumia sana
@stn4873
8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@TEDY-MTEMY24
8 күн бұрын
@@stn4873 kumbe mtu kuvamiwa ni dalili za kupona😅😅?
Пікірлер: 27