Pole sana kijana mwenzangu sisi watoto wakimasikini tunapitia mateso mengi sana
@ChumanaSusi
2 ай бұрын
Kwani hangeuza mandazi ndiyo abebe madawa ya kulevya. Mtu wa madawa ya kulevya sina huruma na yeye kamwe. Kufia huko kwani ulipanga kuuwa wengi na kuharibu watoto wa watu na hizo madawa 🇰🇪
@theoriginals3240
2 ай бұрын
Hakuna mtu ana haribiwa bana.. kwanini wanatumia na wanajua yana madhara @@ChumanaSusi
@humphreyisah7038
2 ай бұрын
Hakuna Sheria inaruhusu mtoto wa maskini asafirishe dawa za kulevya
@kaditokenya6873
2 ай бұрын
Mama Samia najuwa unahuruma sana wanao wamekiri wamekosea basi naomba wasaidie jinsi uwezavyo Allah subahana wa taallah awe nawe kwa hili jambo...Mungu ni wetu site🫂🤲🙏
@TheGame-nz7um
2 ай бұрын
Wakitoka watauza tena madawa hawakomagi hawa, wanaharibu tu watoto wa watu...ingekua china wangenyongwa hawa.
@SilaMinanda
2 ай бұрын
@@TheGame-nz7umkabisa wanaojihusisha na madawa ya kulevya sawa na wauaji
@samniza1763
2 ай бұрын
Tusubiri!
@samniza1763
2 ай бұрын
Serikali ya Tanzania haijawahi saidia mtanzania yeyote anayeishi nje ya nchi akipata matatizo, hawako kama watu wa Ulaya na Marekani.
@DMB563
2 ай бұрын
Kama ni madawa ya kulevya Bora wabaki hukohuko Madawa ni hatari
@jumamohamedkidiaunga9224
2 ай бұрын
brother sky umefanya kazi kubwa sanaa hongera sanaa pengine watapata chochote kitu kutoka kwa Embassy
@israelkisaila8401
2 ай бұрын
Sidhani,kesi za madawa ni ngumu mno.
@allahisone6386
2 ай бұрын
Ndiooo_🤦🏿♀️ MUUMBA ATUKINGE NAZO
@mustafarashid2484
2 ай бұрын
@@allahisone6386toa hilo jina lako la Mungu.
@RukiaRashid-mb7qc
2 ай бұрын
Mwenyezi mungu atunusuru tuseme inshaallah 🙏
@dorcaskidoti249
2 ай бұрын
Amina Bwana Yesu nimwema utasikia vilio vyao 🤲🙏🏽
@user-dx4gj6sd5n
2 ай бұрын
Amin
@AhmadaHassan-gy5uj
2 ай бұрын
AAMIIN
@user-mu1uf2rl4x
2 ай бұрын
Inshaallah
@ruqaiamohammed345
2 ай бұрын
Inshallah 🤲🤲
@fakichum9947
2 ай бұрын
Unajituma sana sky Mungu akuongoze
@firdaussheikh4817
2 ай бұрын
Mungu amokoe yaa rabb. Mkono wa mwanadamu sio rahisi tena hawako home 🇬🇧
@OmanOman-bx5du
2 ай бұрын
Ndiomana waithiopia. Wengi wanamekondaa. Vyakula afifu. Wamezhoofika atali
@subrynerysegerow1323
2 ай бұрын
Mabalozi wanaowakilisha Tanzania kwenye nchi za watu ni uozo hawanaga msaada kwa lolote nashindwa kuelewa wanafanya nn kwenye hizo ofis maana simu hawapokeagi sasa wanabalozi nini wanakera ukipata tatzo nchi za watu ujuwe tu ni lako na family yako hakuna baloz wala waziri nakwambieni
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
Kila siku Mama SSH na PM Majaliwa hata wakiwa Nje ya Nchi lazima wanatusisitizie tuwe Raia wema huko tunakoenda, mambo yakishaharibika tunaanza kuambukizana huruma, tena mna bahati mngeshikwa Nchi za Kiislam wote mngeshatiwa kitanzi, kila Nchi huwa ina utaratibu wake , huwa tunawashika Wa Ethiopia hapa wahamiaji haramu tena hata madawa hawana na wao Tz huwa wanapita tu, leo hii Mungu ametuonyesha jinsi watanzania tunachokifanya Nchi za watu, Ushauri tu: Hakuna Mama SSH anaweza fanya mnachotakiwa ni kumrudia Muumba wenu na dua nyingi saaaana huenda huruma ya Mungu ikapita mkatoka, muda wa huu ni wa kumkimbilia na kumlilia Mungu wenu sio SSH, Mana yeye ni taasisi na akiingilia kati hilo suala litamgharimu saana ki mtazamo, najua ni huzuni lakini wengi wenu hata mkitoka huwa mnarudia tena saaana, Vijana wa Kiislam mlitakiwa muombe msaada muende mkahiji leo mnaomba msaada sababu mmeshikwa na madawa? ni aibu saana , kuna muda huwa Taifa kupoteza waaribifu haioni hasara kabisaaaaaaa
@hajjiomary2383
2 ай бұрын
Brother umeongea fact auna baya
@josephkiwale374
2 ай бұрын
🙌🙌
@jaymwinyi6957
2 ай бұрын
Kweli kabisa umeongea maneno mazuri na mazito
@briankirigini
2 ай бұрын
kweli
@annaphi2427
2 ай бұрын
Mara nyingi ukweli Huwa mchungu huu ndio ukweli kabsaaa Saaf👏👏👏
@ayshasaid1547
2 ай бұрын
Kazi kubwa brother daa mungu akusaidieni waisophia wana roho mbaya sana wao tunawabeba sana wao kazi yao kisingizia kesi
@scolamusa1226
2 ай бұрын
Watanzania mnapendanasana
@khamismgunya4519
2 ай бұрын
Kwann
@FunnyClownfish-uc6ye
2 ай бұрын
Kwa nn dada
@allahisone6386
2 ай бұрын
ISHI NAO TANZANIA IKIWA WEW NI RAIA WA RDCONGO & BURUNDI UTAWAJUA VIZURI KUA WANA PENDANA AU LAAAH
@juniorsonofgod5675
2 ай бұрын
Una maana Gani ndugu?@@allahisone6386
@bizomenyimanaelias5455
2 ай бұрын
@@allahisone6386Hawa viumbe nihatali kaka ukiwa kwao Tanzania wanakushika vipaya hata kama unavitambulisho wa tz wajifunze kuishi nawatu wengine
@MuniraShughuli-kc7vj
2 ай бұрын
Wamenigusa kweli duh😭Mama Samia wamekosa Tayari Hawaa bt pia waangalieni kwa jicho la pili hakuna aujuae kesho yake🤲🌙
@daudysanga8492
2 ай бұрын
Kama kwenye family yenu alishawahi kutokea mla unga my friend hutamtetea mtu mtu yoyote muuza unga
@ChumanaSusi
2 ай бұрын
Lakini madawa ya kulevya ni no no 🇰🇪 Hapa hakuna cha jicho pili ila kifungo.kirefu au risasi tu. Tafakari wakiingiza watoto wako kutumia hizo dawa. Utakuwa na watoto? Utakuwa na family? Usiwaonee huruma kamwe
@twalebleboss9687
2 ай бұрын
OOOUH ...Poleni sana ndugu zangu.... Mwenyez Mungu ataleta wepesi na mtatoka kwenye MTIHANI HUO, Ila nitoe pongezi zangu nyingi kutoka moyoni mwangu kwa SNS ....kwa kweli MMENISISIMUA KIUTENDAJI WENU KIKAZI...... mpewe mauwa yenu katika kila kona mpo na mmekuwa ni sehemu kubwa katika kuhabarisha walimwengu mambo muhimu sana yakiwemo haya....MUNGU AZIDI KUWABARIKI NA AWAPELEKE JUU ZAIDI..Hongera bro..💯💯💯🙌🙌💪💪
@ChumanaSusi
2 ай бұрын
Wepesi wa nini. 🇰🇪 Wacha wapewa kifungu kirefu na kazi ngumu gerezani na viboko 50 kila moja. Hawa na wauuwaji hakuna tofauto watakapo finishing mtoto wako hizo madawa na kufanya mtoto wako umpendao kuwa useless zezeta wa madawa ya kulevya. Watu kama hawa ni kupiga rusasi watuondokee kabla hawaja haribu familia zetu
@jumakasim8784
2 ай бұрын
Pole sana kaka na ningekua kama mim baba lazima nitimize wajibu wangu nifanye jambo lolote hata kama ni baya kwa ajili ya familia yangu
@omarswaleh6082
2 ай бұрын
Wewe ni moja wao hawa sio watu wakutetewa hawa ni kuuliwa tu kwani hawa vijana wanao toka na mapanga kukata watu na kuuwa sababu zi ni hizo drugs
@jumakasim8784
2 ай бұрын
@@omarswaleh6082 wew bado unaishi kwenu huyajui majukum ya mwanaume
@rafiaahmad168
2 ай бұрын
Kaka sky wasaidie jaman Hadi nimelia😭😭😭😭 mtu akijutia nafasi yake anapaswa kusaidiwa kikubwa wamejutia jaman fikisha ujumbe kwa wahusika🙏🙏🙏🙏
@mandyfitnesstv6738
2 ай бұрын
Ethiopia my second home. Poleni sana ndugu! Hakuna masikhara hapo. Selam!
@Complex_tz
2 ай бұрын
Duh poleni Sana brother
@frankotembo
2 ай бұрын
Dah aisee mungu awape nguvu
@judithkirenga9977
2 ай бұрын
Kaka SNS napenda sana interview zako, God bless you
@jayotv2024
2 ай бұрын
Walisha kubali makosa yaho Viongomzi sadiheni haho vijana sikiheni kilio chaho wana hangahika sana msipuhuziye mjui kesho yaho hitakuweje 😢😢😢😢😢😢😢
@abuumussa2390
2 ай бұрын
Kwa nini watembee na madawa ya kurevya
@user-mu1uf2rl4x
2 ай бұрын
Sawa umetoa ujumbe mzr lkn jifunze kuandika vzr,mfano umeandika YAHO badala ya YAO,HAHO badala ya HAO,CHAHO badala ya CHAO,hichi ndio kiswahili sahihi
@pqolak7443
2 ай бұрын
Asante sana baba kwatupa tairifa nzuri
@MinaMasha-ep3ft
2 ай бұрын
Mwenyez Wahurumie Wa Tz wenzetu, kweli wamekosea lakin wamejutia Makosa yao. Mwenyez Mungu Wafanyie Wepesi ndgu Zetu🙏
@user-ux3jl9cl4w
2 ай бұрын
Sns muwafatilie ao watoke mtafanya jambo zuri sana
@Hassan.Nassoro
2 ай бұрын
Weka namba yao tuwatumie pesa sky
@hilmialiomar1983
2 ай бұрын
Unahuruma kaka Mashallah
@Hassan.Nassoro
2 ай бұрын
Yeah kukosea kupo leo yeye kesho sisi hivyo kama kuna nafasi ya kumsaidia mtu tumsaidie tusiangalie makosa yake maana sote wakosefu katika nyanja mbali mbali hakuna alie kamilika
@winnieamanya665
2 ай бұрын
##Sky Ndugu weka no.yao tuwaytumie kitu kidogo..wtz wenzetu tuwasidie Hawa ndugu zetu ..kesho ni fumbo jamani😢😢😢
@yahyaubwahassan8547
2 ай бұрын
@@Hassan.Nassoronaomba tuwasiliane
@gibsonjosephat6352
2 ай бұрын
Yawezekana na wewe ni muuza Madawa ya kulevya.
@balicharo1339
2 ай бұрын
Duh so sad brother sky 😢😢
@NassorTwahiru-kf8fo
2 ай бұрын
Serikali tafadhali sana wasaidien hawa vijana,hawa vijana ni umaskin ndio umepelekea yote hyo,nyie watoto wenu hawaijui shida so mtawalaum tu hawa vijana so please naomba muwasaidie najua hamshindw,au mnataka mpka wafanywe wanawake 😭😭,
@dotnatajoseph2620
2 ай бұрын
Kaka honger kwa kupaza saut za watanzan wenzetu mwenyez mungu akulipe inshallah 🙏
@theoriginals3240
2 ай бұрын
Dah! Sema bro sky mungu akubariki
@lotimwansule5017
2 ай бұрын
Mama Samia mshaulini huyo barozi japo awe anawatembelea kwa wiki mara mbili vinginevyo wafanyeni transifer mbona wafungwa wasomali wapo hapa wabadilishane ,kile chakula nakifahamu sana ,hakifai
@mishigwan6598
2 ай бұрын
Hiko chakula ni Mbaya Mnooo Jamani Embassy ya Tanzania iende Kuwatembelea Japo Wamefanya Makosa Na Nyie Maboss Wenzenu washapata Matatizo Msiwatelekeze Wenzenu Jamani Muwaangalie kwa jicho la Pili😭😭😭
@user-rn6pi1xt7v
2 ай бұрын
Dah poleni sana ndugu zetu allah awajalie mtoke salama
@ZXL_013
2 ай бұрын
Wanatia huruma lakini jamani madhara ya madawa ya kulevya kwenye jamii yetu ni makubwa mnoo. Yoyote hapa ambaye ndugu na familia zake wameathirika na janga hili wataniunga mkono kutowaonea hawa jamaa huruma. We unataka umsaidie mwanao lakini hayo madawa yangefika salama yangeathiri watoto wa wenzako wengiiii mnoo. Umasikini sawa lakini kuna njia nyingi zakutafuta kipato....uroho wa utajiri wa harakaharaka madhara yake ndo hayo. Nawatumia madawa huwa wanaanguka na kufa pia...na familia zao zinasota sanaaaa WAKATI MNASAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA MLIMTAFUTA BALOZI??
@ivankadaudi8161
2 ай бұрын
Umaskin mbaya sana wanajutia wasaidiwe wamekua wawazi nakukiri makosa
@user-zw6xv1vt1p
2 ай бұрын
Kazi zipo ukijituma tuu unatoka siyo kubeba madawa wala kupita njia ambazo sisahihi Allah atupe ridhiki za halali na mwisho mwema
@siasia5469
2 ай бұрын
VIJANA WENZANGU AMBAO MLIOZAMA KTK JAMBO HILI CHUKUENI SOMO&MUNGU AWASAIDIE MUACHE KUUZA MADAWA. 🤲ALLAHUMMA AMEEN🤲
@hawakiza6067
2 ай бұрын
Kweli kabisa
@hamidaalhabsi8568
2 ай бұрын
Subhanaallah yaarabi tunusuru na watoto wetu wote na tamaa ya duniani
@rose_Winchester86
2 ай бұрын
Ubalozi hauwezi kuwasaidia kwa hizo issue poleni sana
@kubwaichebestfriend8673
2 ай бұрын
Balozi za Tanzania hazisaidii kwa lolote hata kama sio madawa
@user-ux3xu9gs8d
2 ай бұрын
Pole sana ndugu
@allymtunge5530
2 ай бұрын
Kaka sky ongera mungu, akuongezee, majukumu yako ya kusaka habar
@msowamhokole7714
2 ай бұрын
Jamaa walikuwa wanapita tuu transit sio wafungwa wenu waleteni kwetu
@MohamedAhmed-ns5mi
2 ай бұрын
Brother sky hawa jama wasaidike namatatizo
@Aida-qh3jq
2 ай бұрын
Subhanna alla samia uko wapi wahurumie wanachi wako
@aediayumgo8546
2 ай бұрын
Goes Around comes Around Hao waethopia wakipita hapa tunawatesa hivyo hivyo SEMA ubalozi uwasaidie🙏
@YAHYAMAALIK
2 ай бұрын
Duh mtihani
@user-vo7ij7gf5u
2 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu Mungu awe nanyi daima na milele
@issamatola2031
2 ай бұрын
Aise we sky ni noma,unafatalia sana vitu ,
@godfreyally-ps3fo
2 ай бұрын
Noma sana
@malugukushaha6764
2 ай бұрын
Pole sana bro, ijapokuwa umefanya kosa lakn naomba mwenyezi mungu awafanyie wepesi walau mpate ridhiki ya chakula.
@FunnyClownfish-uc6ye
2 ай бұрын
Kwann
@shukurumgaya5950
2 ай бұрын
Polee sanaa kka Mungu mwema
@jojigeorige1056
2 ай бұрын
Dah wanetu wanatubu vibaya sana. Inaumiza kwa kweli. Halafu Ethiopia pana ubalozi wa Tanzania pale. Balozi asiwachukulie hao wafungwa kama mifugo, wakitoka nje ni raia wema kabisa ni vile shida za maisha zimewasukuma huko. Wasaidiwe.
@MojamojaMojamoja-lw2ph
2 ай бұрын
Sana maisha yana siri nzito
@isayahlesurwa307
2 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu kwa matezo hayo
@jsabood
2 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu. Maombi yangu mupate faraja kwa uwezo wa mola wetu. Matatizo ya kutopata msaada kutoka ubalozi wa Tanzania linataka Wizara yenye mamlaka iingiliye kati na kutatuwa. matatizo haya yanahusu balozi zote za nje, sio tu za Ethiopia. Hata simu haipokelewi ubalozini!!!
@mariamfritsi4943
2 ай бұрын
Tanzania iwasaidie raia wao, wamekiri makosa yao, wasamehewe kwa kweli, mbona waethiopia wengi wanakimbilia Tanzania na wanasaidiwa. Serikali iingilie kati. Nawasikia nikiwa Switzerland. Poleni sana ndugu zetu. 28.03.24.
@user-ob9nu5dp1s
2 ай бұрын
Pole Sana Kaka
@user-to6pu1ze4x
2 ай бұрын
Daah pole sana inshallah Mungu atakufanyieni wepesi
@JosephFrank-zp3ft
2 ай бұрын
Mungu awatete ee
@omarikinyory5785
2 ай бұрын
God blessed all travellers playing far from the home
@user-ii6gs2jg4g
2 ай бұрын
Yote na yote ni utafutaji wa maisha. Pole sana kaka
@Nasbu-tb6cs
2 ай бұрын
Dah serikali toeni msaada
@daudysanga8492
2 ай бұрын
Usiombe atokee mla unga kwenu utatamani hawo jamaa wanyongwe fasta
@ashurajengela3926
2 ай бұрын
@@daudysanga8492 Kabisa aiseee yani wanaharibu sana vijana 😢😢
@user-zm4mm4eb5j
2 ай бұрын
Poleni sana sana ndugu zetu ni kweli mna makosa lakini huduma za kibinaadam ni muhimu sana nadhani tumewasikia
@mwazanimnyamani8493
2 ай бұрын
M/mungu tunakuomba uwaepushe watoto wetu na balaa hili mana hali halisi.ya hii kazi ya ubebaji wa madawa ni ngumu sana
@maheitumdintunya2928
2 ай бұрын
huyo jamaa nimempenda sana aisee nimkweli ninge kua nauwezo ninge sema atolewee tuuu hapa naomba raisi awasikilize hawa watu wanawezakufa mana wamekiri makosa yao😭😭😭😭 ubalozi ufanye kazi yake
@gibsonjosephat6352
2 ай бұрын
Hakuna hao ni wauza dawa za kulevya wafie hukohuko ndio maana wametengwa hapo magereza mazuri tu .
@gideonmwaweza8177
2 ай бұрын
Poleni wapambanaji Mungu atulehemu
@godfreychristopher6758
2 ай бұрын
Kupambana kufanya biashara zinazoharibu vijana zetu, shenzi kabisa
@b.3940
2 ай бұрын
Mlicheza karata na uhuru wenu mlipoamua kujihuzisha na ubebaji wa hiyo sumu. Tanzania haendi popote mtatukuta nchini hata kama mtakuwa mmezeeka sana sana.
@suzanne9517
2 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu watanzania
@iHeizar
2 ай бұрын
Ubalozi wetu wa Addis unahitaji management mpya, watu wetu wanateseka sana. I hope serikali yetu itabadili mwenendo..
@suntzu8959
2 ай бұрын
Sasa ubalozi ufanye Nini?
@godfreychristopher6758
2 ай бұрын
Management mpya kivip, ili kutetea biashara ya madawa ya kulevya
@bwittozmjomba7019
2 ай бұрын
Tanzania katika swala la Mabalozi Kiukweli Hatuna Yani Ni vivuli tu wanakula pesa za Bure lkn awafanyi kazi yyte
@pinheirorazaq2842
2 ай бұрын
Pole sana
@zamalisaide3209
2 ай бұрын
Pole san ndugu zetu watanzania
@jamilaathumani5481
2 ай бұрын
Duu pole Sana kaka..mungu atakusaidia na mama Samia suluhu atasikia kilio chenu
@hamsikrasheedi1796
2 ай бұрын
poleni sana ndugu zetu watz 😢
@allykalaile-ek3zg
2 ай бұрын
poleni sana allah atawasaidieni
@barrynzeyimana6270
2 ай бұрын
Tanzania kwahio wanafungwa vizuri? Kipindi cha Magufuli alitoa amri kua ukishikwa na madawa ya kulevya ufungwe na ufanyiwe chochote kutokana na sheria za nchi husika. Kwahio kuna uwezekano sheria Ile na tamko lile lipo hadi sasa
@@gilliardgodfriend5745huwezi kuvunja sheria za nchi za watu
@officiallnobystar
2 ай бұрын
@@gilliardgodfriend5745Kabisa Kuna Watu Wanacoment Bira Kujua Matatizo Ayaitwi Na Akuna Anae Penda Kufanya Vitu Vibaya Ni Maisha Tu Sasa Kama Huyu Jamaa Mwanae Ni Mgonjwa Kajalibu Kila Mishe Pesa Amna Akaingizwa Kwenye Huo Mtiani Na Mtu Alie Mkopa Pesa Unavikili Yeye Alipenda Kuuza Madawa Mungu wasaidie Viumbe Wako Na Mtie Moyo Rais Wetu Japo Awarudishe. Waje Watumikie Kifungo Chao Uku Kwa Ndugu Zao😭😭
@corrolesscps
2 ай бұрын
Tena Tanzania baadhi ya jela mpka na Tv. Taasisi za Dini baadhi ya Jela zimepeleka Tv wafungwa wanangalia Tv. Lenge ni wake watu wema Kama Tv za maombi na wanangalia Taharifa mpaka ya Habari
@pesaspy_tv
2 ай бұрын
Life
@user-vf8mw6eu9w
2 ай бұрын
Duh!!! Mtihani poleni sana
@ChristinaWengae-ps5jr
2 ай бұрын
Poleni sana ndug zang
@nasrahassan7346
2 ай бұрын
poleni sana ndg zetu watz mungu awafanyie wepes kwa mwezi huu mtukufu mama yangu mh samia wasikie watt wako wapo wanateseka pia wamekili wamekosa wasaidie mom wangu
@omarswaleh6082
2 ай бұрын
Piga wao risasi hao sio watu wakiishi ni wabaya kwa jami
@user-rt6th9eq5j
2 ай бұрын
Dah inauma Sana poleni
@user-ot3tw3uq9o
2 ай бұрын
Aisee mungu hawalinde😢
@ms123ru
2 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 tutulie umesikia shida izo za nchi iyo
@pizowed1583
19 күн бұрын
Sisi watoto waki maskini tunafanya mambo ambayo ni magumu sana kufanya KWAKUWA ni ugumu wa maisha TU😭😭imenigusa sana kweli daaah eeeh mungu wangu izi changamoto zitaisha mpaka lini kweli😭😭😭
@user-vu1bf3rn6m
2 ай бұрын
Allah Atawaidiya inshallah
@Magrethbuchumi-iy9pc
2 ай бұрын
Polen sana mungu atawatia nguvu mtatoka salama
@soamShs-cp4dl
2 ай бұрын
Poleni sana ikitokea mmetoka iwe ndio mmejifunza mara nyingine kupitia mitihani ni sehemu ya kujifunza
@Farida-jc3cq
2 ай бұрын
Jamani poleni sana jamani mungu hangu
@makamekhalfan5968
2 ай бұрын
uyo wa pil ni mzanzibar anaongea kikwetu kabisa
@saumsaid1966
2 ай бұрын
Hata mie niliwazaa
@reubenshaban6488
2 ай бұрын
Hawa ni wanaume walio enda Jando Mungu awalinde awatunze mna thamani kubwa sana Mbele za Mungu hongereni kwa kupambana wanaume
@vincentmokenye4465
2 ай бұрын
Sky nomaaaaa kweli
@user-kd6xn7ux4v
2 ай бұрын
Dah aisee
@Barakakny
2 ай бұрын
Poleni sana😢
@user-cv1nn6rc8g
2 ай бұрын
Waaaa
@user-mu1uf2rl4x
2 ай бұрын
Oooh asante Mungu maana tayari umeonyesha njia mpk kufanya mawasiliano ya Tanzania mtatoka ndg zetu
@user-zv2ng6ov2k
2 ай бұрын
wasaidiwe atachakura basi plz tz
@ColinMhema-ne3lz
2 ай бұрын
Nchi yetu hainaga mpango na watu wao walio nnje ya tanzania balozi utamuonatu pale kiongozi akienda lakini kwa raia wa kawaida hawana habari
@mesaidikazungu4299
2 ай бұрын
Poleni ndunguzetu Allah awafanyie wepesi muvuke ktk hyo mitihani.
@user-lj5eq8tn5l
2 ай бұрын
Yani mpaka machozi yamenilenga jmn hata mungu husamee ninauhakika sauti hizo zimesikika na serikali yetu ya mama yetu kama itakuwa imesikia wasaidieni hata Kwa chakula tu, mwenyezi mungu atawabariki sana, na ombi lao la kurejeshwa nchini kwao na kuendelea kutumikia kifungo chao,,
@abdulhamis9825
2 ай бұрын
Balozi Wetu Wa Tanzania Wanaenda Katika Nchi Zote Walizopangwa Kuvinjar Maisha Tu Na Sio Kushuhulika Na Ndgu Zetu
Пікірлер: 687