Kupitia mashindano ya kuhifadhi Quran tukufu kimataifa kwa wanawake watazamaji kuzawadiwa gari, Bajaj na pikipiki.
Hayo yamebainishwa leo 26 Agosti 2024 na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Bin Zubery Bin Ali mapema hii katika mkutano wake na waandishi wa habari ikiwa lengo ni kuvutia watazamaji katika mashindano hayo yatakayofanyika tarehe 31 mwezi huu katika uwanja wa Benjamin Mkapa.
Mufti amesema zawadi hizo za ziada ni kwa wale watakao wahi kuingia mapema na kubahatika katika viwanja hivyo vya mkapa hivyo amewataka wapenzi wa Quran tukufu kuchangamkia fursa hiyo kadri wawezavyo.
🛑 Sasa Tumekufikia
🛑Tutahakikisha kila siku unapata habari za ukweli na uhakika.
🛑Ahadi yetu kwenu kuwa watumishi wa kihabari kwenu
🛑 Kama una tukio la Kihabari tupigie +225 767 580 313
Негізгі бет WATAZAMAJI MASHINDANO YA QURAN KWA WANAWAKE KUZAWADIWA GARI, BAJAJ NA PIKIPIKI MPYA
Пікірлер: 1