Karibu kutizama watu walivyo msifu Mungu wakati wa Mkutano wa Injili uliofanyika katika viwanja vya kanisa la Pentekoste Imani Kuu Karagwe kwa Askofu Daving Geofrey.
ilikuwa ni siku ya kwanza ya Ufunguzi wa mkutano wa Injili ambapo mamia ya watu walihudhuria, kuombewa na kupata Uponyaji.Aliyesimamia kipindi cha sifa ni mtumishi wa Mungu Askofu Daving Geofrey akishirikiana na Mchungaji wa Kanisa hilo kutoka Kayanga Jairosi Sichona
Негізгі бет WATU WAPONA BAADA YA KUMSIFU BWANA
Пікірлер: 4