U can imagine been stuck in the ocean indeed God is so faithful.
@aheudit
3 ай бұрын
Praise to the almighty. But raw fish is called sushi 🍣
@Alex.Godchild
3 ай бұрын
Mungu mkubwa aki
@mamakekhubeiby4206
3 ай бұрын
SubhanaAllah nliona movie kama hii story Netflix poleni Sana ALLAH AWAIFADHI YARABIII
@muzafarsharif9465
3 ай бұрын
kina james ndio wasimamizi wa wavuvi lamu ,,hii ni maajabu 😂😂😂😂
@Khalid-mf3iu
3 ай бұрын
Watu hawako serious wallahy
@menradmwaliko3661
3 ай бұрын
Wewe unataka nani awe msimamizi?
@mohamednyuni2631
3 ай бұрын
Wanati@@menradmwaliko3661wanati wa Amu
@AdamBilal-sd8uv
3 ай бұрын
Imagine walahi ata kuogelewa hajui labda😂😂
@janaleokesho8374
3 ай бұрын
Kwani lamu iko wapi
@joycewafula935
3 ай бұрын
Eeee upepobwa kushi n mkali ulifanya board yenye alkuwa imepepa wanafunzi wa YESU karibu wazame n yeye YESU mwenyewe analala🤔
@Datiuspp
3 ай бұрын
Kwahiyo serikari ya kenya imeshindwa kuwasaidia kuwarudisha kwao pamoja boti yao? Maana nimesikia eti boti liuzwe wapewe ela ziwasaidie😂😂😂😂 Dah..!!! Kenya...🙌🙌
@nyembomajid1262
3 ай бұрын
nimesikia eti boty liuzwe ki vipi kwani walikuwa wanakuja Kenya ao walipotea
@margaretnamubi4565
3 ай бұрын
😢😢😢 hizo ni drama za kenya
@hatibbaraka3956
3 ай бұрын
Wamepotea ila process za kuirejesha boti Comoros itakua ni kubwa ndio maana wameona bora iuzwe wapewe pesa,ili wakifika wakapange mengine kama kununua mpya au kula Bata na familia. Ubalozi utawasafirisha kurudi nyumbani kwao ila kwa boti itakua ngumu.
@Allybinamour
3 ай бұрын
subhanallah allah awafanyie wepes
@izack95
3 ай бұрын
Its when am learning of a country known as comoros😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@faimstech
3 ай бұрын
It's wabichi not 'wambichi' bro
@NagromAlaka
3 ай бұрын
Sad story of disaster at sea
@kazikazini1042
3 ай бұрын
Nani huwaandikia vichwa? Makosa karibu kila andiko. Hapa ameandika wambichi
@micaangote2138
3 ай бұрын
God is great
@josephwairimu6222
3 ай бұрын
Glory to God
@kimanga0014
3 ай бұрын
Wambichi??
@margaretnamubi4565
3 ай бұрын
😢😢God's good
@kennethmurage3625
3 ай бұрын
They have discovered a new DIET !!!
@johnonyango6069
3 ай бұрын
Ati intarogation Na MTU ako malnourished 😢😢😢 hmmm
@margaretnamubi4565
3 ай бұрын
Ajabu Sana..hamna utu
@am_theman
3 ай бұрын
Lazima movie itoke juu ya hii story
@sabinamukonyo6518
3 ай бұрын
JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS JESUS 🤲🤲🙏😭
@DjcrysysGospel
3 ай бұрын
NEXT TIME BEBA CHUMVI LIGHTER NA VEGAR
@reubenmbudhia3289
3 ай бұрын
It's samaki wabichi not wambichi 😂
@benjaminosura7665
3 ай бұрын
Wewe hujui kiswahili rudi shule citizen tv is correct 😅😂
@Ben-fb8he
3 ай бұрын
God is great
@fatmahnoor3717
3 ай бұрын
Kenyans are generally Good people🙏God bless kenyans..i really feel bad when i see foreigners wakidharau wakenya..
@Kipkoech_Andrew
3 ай бұрын
Kwa baraka za Mungu wakala sushi bila kulipa chochote 😂
@dylankanyubi3700
3 ай бұрын
Baada ya hospitali, wapelekwe kwenye mkahawa halafu wapatiwe vyakula anuwai ili warejeshe nguvu zao mwilini. Asante kwa wale Wasamaria waliowaokoa baharini.
@sundaymebur2584
3 ай бұрын
Vyakula anuwai!
@JulixYung-kw2tr
3 ай бұрын
Boti ya kwa sasa imeweza kuharibika...haikuharibika ikiwa baharini ilipofika ukingo mwa bahari ikaweza kuharibika
@fawziaabdurrahman2251
3 ай бұрын
Thought sushi was also raw fish 🤔
@naima5220
3 ай бұрын
Sushi
@sohrabtajadin3402
3 ай бұрын
MUNGEWACHA WAVUVI WENYEWE WAONGEE. SASA NINI HIVI?
@RukiaSalim-y5l
3 ай бұрын
Aki wakenya ni wakarimu sana
@barmenbarmen2917
3 ай бұрын
Samaki wambachi???
@thirdworldrebel
3 ай бұрын
Eti 'wambichi'
@goodlifeke
3 ай бұрын
samaki wambichi some media houses need to be serious with their jobs
@kibetyegon6281
3 ай бұрын
😂😂😂shida ni gani
@eyanlenjorin4566
3 ай бұрын
Wabichi
@eyanlenjorin4566
3 ай бұрын
Mbichi-wabichi
@alextercisio
3 ай бұрын
Si bora umeelewa vile wanasama wacha ufala
@thirdworldrebel
3 ай бұрын
Ni wakikuyu, elewa manze
@reubenmbudhia3289
3 ай бұрын
Murifee 🏃🏃🏃
@Biithedomnic
3 ай бұрын
Wambichi?
@wanjiruwanganga5707
3 ай бұрын
Ghai woi 😢
@Shakur_Pac
3 ай бұрын
Need to do some online live news Citizen..... we're tired of covered news we want live shit.
Пікірлер: 68