Allahamdhulla kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran Allah amuongeze amuongeze nguvu amulide ampe afya dawa iendelee Allahamdhullah barikiweni
@bashirmahero7021
Ай бұрын
Nampenda sana mandugu zangu
@Noorein-ws8wk
Ай бұрын
Ya rabi wajaalie ndugu zetu wakristo wakiona haki waifuate
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
Aaminayaarab
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
Takbiri Allahu Akbaru
@hamisiwesonga2496
Ай бұрын
amiri yusufu kujeni kkmega,
@bashirmahero7021
Ай бұрын
Ndacha wako wapi wajioneee nyota ya Muhammad mtume wetu
@bashirmahero7021
Ай бұрын
Saidi mwirigi 😂😂😂😂😂😂 hiyo nakataa sjai skia hiyo andiko😅😅😅
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
Mtihan wakristoHawasomi
@ufafanuzi4382
Ай бұрын
Bana unaitwaje hassan na wewe mkristo. Hasaan ntumie namba yako gurbaa we need to talk
@hassangalgallo8496
Ай бұрын
Kama sinagogi ni msikiti basi Quran ni uwongo Quran 22:40 Yohana12:42-43 Walakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi. 43 Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu. Yahudi-Sinagogi Wakristo -Kanisa Waislamu -Msikiti Yahudi ni dini sio kabila . Ole wenu waislamu mnaopotosha watu kama Yesu alivyosema katika Luka 17:1-2 Akawaambia wanafunzi wake, Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye yaja kwa sababu yake! 2 Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa.
@Nora-v1m3p
Ай бұрын
Ole wao wakirsto wanaokufuru kusema yesu n Mungu au mwana wa Mungu na kuabudu kupitia Nabii issa .nausimshirikishe Mungu nakitu chochote
@hassangalgallo8496
Ай бұрын
@@Nora-v1m3p if only you knew the secret in Jesus Christ
Пікірлер: 16