Bwana mdogo:ukiona vitoto vya simba vinacheza cheza porini usivivamie angalia kwnz babake yuk wap.....😃😂
@gabrielmoses6860
Күн бұрын
Hiii tafsir Ina maaaana kubwa sana! Kuna mmoja Huku kasema Mpina ni mtoto wa Simba,,, Mtoto kaguswa Baba yake kaaamka
@emmanuelellymwakyusa2900
Күн бұрын
nimeielewa saaaana 😂😂😂🏃🏃
@henrymntangi7783
Күн бұрын
@@gabrielmoses6860 asee ndo maana tutawaliwa milele
@matwerangulichedr3985
Күн бұрын
😂😂😂Niewelewa
@ezekieljacob5795
Күн бұрын
@@matwerangulichedr3985 soma kabla hujatuma
@paulmadundo8084
2 күн бұрын
dah, wazee wametoka nje...vijana kazi kwao sasa. Wazee wetu wanachoka kuusikia uongo sasa
@kaponasalum3648
6 сағат бұрын
HAPA UKWELI HAUJAPATIKANA BALOZI KAZUNGUMZIA ZAIDI HOJA YA SUKARI ILIVYOWASILISHWA NA WAO KAMA WAFANYABIASHARA WALIANDIKA BARUA KWA WAKATI ILA VIBALI VILICHELEWA. SERIKALI INASEMA VIBALI VILITOKA KWA WAKATI NA TAKWIMU ZIPO UTEKELEZAJI HAUKUWEPO...! MZUNGUMZAJI WA PILI AMEFAFANUA UPANUZI WA UZALISHALIZAJI WA SUKARI IKIWA NI MIKAKATI YA WAKATI UJAO.
@user-ec8zv7lq8y
Күн бұрын
This is the greatest ever Tanzania parliament scandle.
@tumainikomba9008
19 сағат бұрын
Dah...shame of them😮
@shadyaomary
2 күн бұрын
Hivi hawa wabunge walikuwa wanamzomea mpina kwa ukweri huu watawadanganya nini wananchi ,.bado hawajui kuwa wanchi saizi wameamka , tulia pamoja na bashe wake wajiuzulu
@user-xl4io3or7r
2 күн бұрын
Wananchi gani wqmeamka? Hawa watazania, jidanganyee.
@yuzzomanboy
2 күн бұрын
@@user-xl4io3or7r kidogo kidg bro watu wameanza kujielewa m naamin
@AllyMaya-yj3xd
2 күн бұрын
Ndugu kama hujui sekta ya sukari kaa kimya.kama unataka kusikiliza na kuelewa fuatilia bajeti za bashe za miaka miwili iliyopita hawa waliingia mkataba na serikali hayati magufuli aliwaita kuwa nazuia watu wemgine kuingiza sukari mtakuwa mnaingiza nyie wemye viwanda kwa miaka 5 ila 2023 kusiwe na sugar gape mkishindwa hii sheria naifuta ila wakaendelea kukaidi mfano kagera sugar ili waendelee kuongeza uzalishaji magufuli alitoa bilion 25 kujenga daraja pia akamfuata azam kumpa shamba bure bagamoyo azalishe sukari.Bashe anatutetea sisi fuatilia last year bajeti yake aliwaonya ni mara ya mwisho wakifanya mchezo huo mwaka ujao kwa maana mwaka huu atabadilisha sheria ndicho alichofanya
@MsAggie5
Күн бұрын
Wabongo ni WA kuburuzwa tu, hii biashara ya sukari ni ya wakubwa ni mradi wao Ona wanavyomuonea mpina na tuko kimya
@hubertmroso1664
Күн бұрын
Kumbe hakuna wabunge kipindi hiking Tanzania, Maandiko yaanaanza kutumia kupitia Bunge hili
@user-oo1vz3zi1t
Күн бұрын
Inasktisha sana inamaana Bunge lote pamoja naSpika wao Mbunge makini ni Mpina tu ndoyuko makini kiutendaji nandokapewa adhabu kuonekana kadanganya Ole wenu
@sylviaaleuya8195
Күн бұрын
imagine
@MsAggie5
Күн бұрын
Yote mijizi!
@peterilimwa5754
Күн бұрын
tanzania ndio nnchi pekee ambayo tuna mbunge mmoja naye ni mpina tu
@husnakalumba2578
Күн бұрын
Mpina ndo Magufuli alitebakia
@amosdastan1006
Күн бұрын
Ndivyo ilivyo wakweli ndo huwa naumia
@user-jc8vt7ct9t
Күн бұрын
Ahsante baba msema ukweli Viongozi wetu hawa ni shida
@ericbalige1781
2 күн бұрын
Thanks Hon.Ami Mpungwe for clarifying.👍
@sylvestercameo6263
2 күн бұрын
"for clarification", I suppose!
@ezekieljacob5795
2 күн бұрын
For clarification
@ibrahimfassa1075
2 күн бұрын
Mama ona ukweli uo nilisema mawaziri hawa wanakukwamisha nashanga San spika kuacha ukweli kuhusujudu uongo Mambo hayo Sasa hazarani muombeni msamaha mpenda watanzania mh mpina ndo mwamba mh rais kazi hiyo bashe atumbuliweee ukweli huo sasa
@majidimussa8678
Күн бұрын
mpina apewe uwazir
@njemamehuna9821
Күн бұрын
Yeye huyo mama ndo tatizo,nakumbuka waziri mkenda alitukanwa na huyo mama yako kuhusu hili swala la kulinda viwanda
@zuberisalum2004
17 сағат бұрын
Tundu lisu anasema mwanae anauza vibali vya sukali naalimtaja jina.
@chandeyusufu9570
13 сағат бұрын
Mpina ni mkweli anauchungu na walala hoi
@shukurukihwelo3084
2 күн бұрын
Spika wa bunge letu unajifunza nini kuhusu mpina , sisi tunaona kweri ya mpin siku zote tunajua mpina haji bungenni kusifia watu na hakika anaumia kwa sababu ya watanzania .
@MsAggie5
Күн бұрын
Usipokuwa chawa wao wanakuumiza
@abdulhakeem959
Күн бұрын
BALOZI KAONGEA VZR SANA. ILA HIYO XTOR YA SIMBA NIMEIELEWA SANA MZEEWANGU. WA TZ TUAMKE KINYUME NA HAPO NCHI YETU TUIWEKE MIKONO SALAMA. WKT WZR MKENDA AKITEZEA VIWANDA VYA SUKARI KIONGOZI MKUBWA KABISA AKAMWITA "NON SENSE"
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Mimi nimeshangaa si kuelewewa. Huyu yeye si mwana familia ya wale simba wakubwa?
@abdulhakeem959
Күн бұрын
@@GodfreyOsward ila tuache utani.nchi inamegwa kisela sana.kila anayepata nafasi anachake cja kuchukua
@jonijotv9574
Күн бұрын
Toka nizaliwe cjawihi ona spika mpumbavu kiasi hili Bunge limepokwa mamlaka uongo unahalalishwa ukweli unafunikwa😂
@pauloagustine466
Күн бұрын
Watanzania wezangu tusimraumu sana Waziri Bashe ni mfumo ndiyo unamrazimisha kuwa hivyo ni Mpina pekee ndiye ameukataa mfumo huo tunaona kilichomkuta
@joycmsokile9220
Күн бұрын
Hi guy, mfumo gani?
@maryamtan682
22 сағат бұрын
Uko sawa kweri, mfumo gn?
@jiwekichwa2857
2 күн бұрын
Dah...Bashe anaua viwanda vya sukari, ni Mpuuzi sana.
@Mima-cl2im
2 күн бұрын
Bashe hauwi viwanda vya sukari pekee. Anawauwa wakulima kwa ujmują. Kenya wasomali wameuwa biashara za wakenya wazaliwa. Wazaliwa wameshituka, na kwa sasa kuna debate
@mzalendomzalendo2567
Күн бұрын
Huna habari ya kenya ww nyamaza, uchumi wa kenya wote umeshikiliwa na wasomali acha kuongea usiyo yajua huu sio ushabiki wa mpira
@walidmgonja3644
Күн бұрын
@@Mima-cl2imwewe ni mropokaji,Acha umbea huna unalolijua kuhusu Kenya
@abdisalamjamal2128
Күн бұрын
Wasomali kenya ni nchi yao ukae ukijuwa wacha ujinga.@@Mima-cl2im
@Mima-cl2im
Күн бұрын
@@walidmgonja3644 je wewe ni musomali?
@titonkwabi7430
Күн бұрын
Mpina ni shujaa.Mungu atakulinda kwa kuongea ukweli.Acha wakusulubu,Mungu anawaona
@user-zn5vu5yi1d
2 күн бұрын
Maaskofu walishasema bunge limeporwa ndo hiki sasa maana aliyesema ukweli kafukuzwa bungeni
@MsAggie5
Күн бұрын
Na wamepiga makofi kama mazuri.
@petersilas4234
Күн бұрын
Maaskofu wapi hao😅
@willydugilo3258
Күн бұрын
Kaka yangu gwajima wewe ni mtumishi wa mungu!! Kazi kwako!! Kwakuwa nilisikia mameno uliyoongea Kwa mpina kuhusu mh Bashe!!
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Sio wote wasemao bwana bwana watauona ufalme wa Mungu. Tena siku iyo wataniambia Mwl sisi tulitoa pepo kwa jina lako na kuponya wagonjwa kwa jina lako. Ndipo nikaposema ondoka kwangu siwajui ninyi mnakotoka. Yesu. Anayobaraka kama mchungaji wetu afungamani na kundi hilo hapo juu. Ambalo anasema atalitimua kwenye ufalme wa wake.
Mchungaji gani naye wa hovyo anamuhukumu Mh Mpina Sasa ukweli ni huu watasemaje???? Yeye Mh Gwajima amuombe msamaha Mh Mpina Usilopenda kufanyiwa baya usimfanyie mwingine
@NipaelPaul-gp9ip
Күн бұрын
Bashe ni mwongo sana hafaii kuwa waziiri wa viwanda ni mchumia tumbo lake amedanganya wananchi wataifa lake
@MamakwaMamaFoundation
Күн бұрын
Bashe ni waziri wa viwanda?
@hamisimwinzagu6624
2 күн бұрын
Natamani wabunge wote walioshiriki kumtoa mpina bungeni waishie sehemu mbaya
@faustinebahenobi3412
2 күн бұрын
Wafe kabisa mbwa
@ezekieljacob5795
2 күн бұрын
Kama wapi
@Mima-cl2im
2 күн бұрын
Watavuna walichopanda
@walidmgonja3644
Күн бұрын
@@faustinebahenobi3412ufe wewe kwanza ili ukawaandalie mazingira mchawi mkubwa
@MsAggie5
Күн бұрын
@@Mima-cl2imlini? Hii ni bongo. Spika nilikuwa namuona mtu lakini sasa kanitoka kweli, ni mwizi tu kama mijizi mingine
@edwardmbonika5102
2 күн бұрын
Apo ndio utaelewa lile bunge ni la kihunii
@awadhally1052
Күн бұрын
Kwel kabisa
@juliusmlula1658
Күн бұрын
Msomali Bashe Atumbuliwe haraka
@SarahShao-jw1up
Күн бұрын
Nani amtumbue na wakati chama chao na serikali ya chama chao kinawahitaji watu kama HAO?
@franksiame8441
Күн бұрын
Huyu musomali aludishwe kwao asituvulugie nchi yetu
@jofreyfungo1112
Күн бұрын
Dalali ameshika usukani
@husseinkarim7663
Күн бұрын
Hao wajanja wanazalisha na kuficha au kuzalisha kidogo sababu ya kutaka bei kubwa. Waziri Bashe aliwaweza, viwanda 7 mnashindwaje. Mkipata sababu ya mvua ndio sababu. Mlipewa vibali mlishindwa kuleta. Museveni alisema mnunue Uganda.
@djunction4127
5 сағат бұрын
Huna hoja endelelea kutetea tumbo lako
@EliudLikakali
Күн бұрын
Habari njema sana sana kuwa kufikia mwaka 2024 tutaweza kuzalisha Sukali kujitoshereza na kuwa na ziada hongereni sana.
@user-ef2ln1mx3s
2 күн бұрын
Kwani tangu kini bunge letu likasema ukweri lao ni makofi TU na kupingana na wananchi na wabunge kuwafungia vikao kwa kusema ukweri
@georgekimasa7393
Күн бұрын
Mzee kaeleweka kumbe mpina aliona Watoto wa simba wamezagaa akaenda kuwagusa asijuwe Mama yao yuko wp😂😂😂😂😂😂
@kakak1245
Күн бұрын
😂
@janethpallangyo3855
Күн бұрын
😂😂😂😂
@rwizadiocles
17 сағат бұрын
😂😂😂😂
@ibrahimfassa1075
2 күн бұрын
Sasa wabunge wamakofi hapo inakuaje ?? Nimjifnza wabunge wengi wao wanaskiliza hawapend kusoma , duuu Mambo haya Sasa ukweli wote uooooo , bashe jiuzuru tu kuliko kumbuliwa , pia spika futa ukum ya mpina wapiga makofi ndo wasihuzulie vikao 15
@FelicianSimon
2 күн бұрын
Mpina ataendelea kuwashitak spika na wenzie ila hukumu ipo pale pale maana imeshatoka
@MsAggie5
Күн бұрын
Tatizo hakuna haki hapa tz ingekuwa Kenya kingeeleweka huko mahakamani, simu moja ya raisi hakuna kesi
@awadhally1052
Күн бұрын
Kwel kabisaa
@GodfreyMwamaso
5 сағат бұрын
Hongera sana wawekezaji wa viwanda vya sukari chonde chonde CCM kama nchi imewashinda wapisheni watu watu wengine siyo lazima muendelee kutawala wananchi na huku mkiwakandamiza hatuki watanzania waingie barabarani kama wakenya achieni ngazi ili watanzania wapate unafuu wa maisha mmewakandamiza wananchi vya kutosha kumbe mpina alikuwa mkweli
@kabelwasalim6305
Күн бұрын
Ni kweli ivi viwanda vimeleta ajira nyingi saaana kuanzia level ya mkulima mpaka wakazi wanaozunguka maeneo ya viwanda nasehem nyingi,ila wakuu ni sisi tunatumia hela zetu kununua product zenu,sukari kufika 4500 wakati zambia ni 2500 kwa wakazi wa tunduma pale sio sawa wakuu,mungeongeza production ili tuishi vyema ila aya mambo yaishe wakuu,natamani tufike siku kwa kilo ya ifike kilo 1500
@ramalimo3411
2 күн бұрын
Yule msomali anatumaliza kwa kweli,wa2 wameka na maumivu wee sasa wameamua toka vichakani😂😂😂 mpina kiboko yao
@Mima-cl2im
2 күн бұрын
Wawaulize wakenya, Kenya imekuwa Mogadishu
@MsAggie5
Күн бұрын
@@Mima-cl2im😂
@awadhally1052
Күн бұрын
Kwel kabisaa msomali ni mwizi
@MirajiMbolile
2 күн бұрын
Tulia ni mhuni tu
@rubenlengai7195
Күн бұрын
Tuambie sukari kilomoja inazalishwa kwa gharama gani mbona tanzania sukari ipo juu kwenye inchi zingine ambayo hawana hata kiwanda ipo chini hizo porojo
@chedielimrutu6955
Күн бұрын
Pia watuambie kwanini hawakusema hapo awali hadi yalipotokea haya ya Mpina na Bunge
@colmanmushi
2 күн бұрын
UKIWA UNALIMA UTAGUNDUA BASHE ANA SIFA YEYOTE YA KUWA WAZIRI WA KILIMO
@Burner_Acc
2 күн бұрын
Ana au hana? Ukisema ana sifa unamaanisha anazo sifa za kuwa waziri. Jifunzeni Kiswahili nyie mitanganyika
@Brunn-mh2bq
2 күн бұрын
@Burner_Acc Asante kwa kumjulisha huyu. Watanganyika wamekuwa waropokaji kwenye mitandao bila kujali usahihi wa lugha wanayotumia na maudhui ya wanachokiandika pia. Aibu kubwa kwa taifa linalosemekana kuwa ni la Waswahili. Sasa Kiingereza hawawezi na Kiswahili chao pia hawawezi. Shule mwasoma nini? Kamusi hamtumii? Baada ya kuandika hamhakiki maandishi yenu? Mnajiaibisha ninyi, waalimu wenu, wizara ya elimu, na taifa lenu. Zingatieni.
@personpeter2221
2 күн бұрын
@@Burner_Acc hzo ni typing errors
@Burner_Acc
2 күн бұрын
@@personpeter2221 sio typing error either hajui au hajali. Katika comments 10 online 9 zina makosa ya uandishi sahihi wa lugha. Hili ni doa na serikali pamoja na jamii tunawajibu wa kurekebisha. Angalia comments za Kenya hata wakiandika Kiswahili huwezi kuta mtu kaandika kalibu, ongera, tayali, ana vs hana, ajui vs hajui. Bado tunashangaa kwanini wanachukuliwa kufundisha Kiswahili bongo tunaachwa, lugha yetu wenyewe hatuijui. Angalia comments hapa utaona makosa hayo hayo yanajirudia.
@prnkrtq
2 күн бұрын
@@personpeter2221 sio typing error, jaribu pitia comments tofauti na tofauti, ndipo utagundua kuwa kuna tatizo kubwa sana kizazi hiki katika kuandika lugha ya kiswahili.
@edimundrevelian1246
Күн бұрын
Very professional and smart presentation ❤
@user-cz5oy1od5d
19 сағат бұрын
Tumechoshwa na hizo professional+smart presentations, Tunataka sukari period!.
@simonnaivasha6393
21 сағат бұрын
Hongera Balozi Ami Mpungwe ,wape madini hawa vijana wadhani wanajua,!Vijana somoni kupata maarifa waulizeni wazee wa busara na u,oevu mkubwa !Prof. Adolf Mkenda alisema biashara ya sukari ni sawa na madawa ya kulevya!! Bashe fanya kazi ya umma!😮 Mheshimiwa Mpina atakuwa shujaa kwa wananchi, tumeskia serikali inasema UONGO KUPITIA BASHE.
@nurunewz103
2 күн бұрын
Bashe hajui Economy ni mpigaji tu.
@MsAggie5
Күн бұрын
Unafikiri hao walioagiza sukari kupata vibari na msamaha WA Kodi hivi hivi Tu? Ni ulaji WA wengi, hata waziri WA fedha na wengine wamo, raisi yuko kimya kama hayaoni na hayamuhusu
@janethpallangyo3855
Күн бұрын
Mmm
@frankraphael7546
2 күн бұрын
Mama samia sisi niwatanzania fika mahali wanaokupigia makofi sana bungeni nakukusifia sana awakujengi mama awo kina kibajaji , mskuma , nawengine awakujengi ila mpna anaekosoa msikilize sana utajifunza kitu
@falakangesa5886
Күн бұрын
Kazkaz
@MsAggie5
Күн бұрын
Sio shida zake yeye Chura kiziwi hasikii 😂
@sylvestersamwel8210
Күн бұрын
@@MsAggie5😂😂😂😂😂
@hamisimwandu5675
Күн бұрын
Bado wlameshikiria bomba kumwona mpina ni mwongo ila serikali yangu hii wabunge na wote na bunge kwa ujumla halina maana kabsa isipokuwa mpina peke yake na mpina atapigwa majungu sana na wapigaji
@kisinza6077
Күн бұрын
MPINA MPIANA, nakuita Kwa mara nyingine MPINA! Shida iliyokuponza MPINA ni kwamba; mfumo uliokomaa katika Chama Cha siasa CCM ni kubebana na kutokupinga lisemwalo na mkubwa, kiutawala serikalini na siyo kwenye chama. Mliambiwa katiba isimame na imdhibiti Kila mtu bila kujua Nafasi yake. Hizi huruma ni interest ya mtu tu, mkinohewa hamsemi kama ku wizi, ila mkitemwa manaanza kusema siyo haki. Ila yote Kwa yote, MPINA umekuwa peke Yako kama MBUNGE wa wananchi. Big up kwako.
@janethpallangyo3855
Күн бұрын
Kweli
@danielmwandenga5369
2 күн бұрын
Mh rais mambo hayo , hapo waziri wa fedha , kilimo , na uwekezaji wote chini, na wazir wa kilimo kalidangany bunge kweli mlimchukia mpina lakni mambo hadharani hayo sasa mpina Shuja kwelikwelii
@MsAggie5
Күн бұрын
Hamna kitakacho badilika. Na waandishi wako kimya hamna anayeona mpina kaonewa. Biashara ya wakubwa hii
@RamadhaniMokola
Күн бұрын
Bashe yupo na walaji mpina yupo na wafanyabiashara chunguza vizur hapo.
@MsAggie5
Күн бұрын
@@RamadhaniMokolanaona mpina yuko na wenye viwanda vya ndani na wakulima WA miwa? Sio wafanya biashara, hangesema wamepewa vibari wasio qualify kuagiza sukali nje
@MathewNathan-yb2bz
Күн бұрын
@@MsAggie5mpina kaonewa
@MathewNathan-yb2bz
Күн бұрын
@@RamadhaniMokolabashe yupo na mafisadi,mpina yuko na watanzania walaji na mzalendo.
Wabunge wote 2025 tunawasubiri sana maana kazi yenu nikufuatilia mambo nakutoa ushauri, lakini wazarishaji wa sukari mtuambie pia kuhusu kupanda kwa bei nini kinasababisha.
@DivNg27
21 сағат бұрын
Sure..watuambie sababu ya kupanda bei,
@wta_Tanzania
Күн бұрын
Raisi wa Kenya alisema Bunge la Tz limekamatwa makende walah mm sikumwelewa ila soon ntaanza kumwelewa
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Mambo na maisha jamii ni changamoto sana. Mfalme alimwomba Mungu ili ampe uwezo wa kwenda kwa watu na kutoka salama. Rais leo atasema nini tena?. Nyani alioni kundule?
@tasenimgonja8626
Күн бұрын
Wabunge wetu wengi niwa kuitikia sio wakusiliza wananch niwatu watu wa kusifia tu serekali kusimamia haja za wananchi wao walio wachagua nikusifia vitu ambavyo hata haviendan na uhalisia wa maisha ya watanzani walio wengi
@josephlorri431
2 күн бұрын
Tulia bunge lako likoje... parliament of owls 🦉
@AMENMUSHI-wt4li
2 күн бұрын
Mungu yupo
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Mwl Nyerere. Nasikia watu wanilaumu kwamba niteuwa viongozi wenyewe uwezo mdogo serikalini.wakati wa uchaguzi ni kama unatuma mtu kuchota maji kisimani, na kumtumgia sheria. Kwamba atumie hayo hayo maji yaliyomo kwenye ndoo. Prof Lumumba unachagua chui achunge mbuzi si akila mbuzi zako unalalamika. Wabunge ni sisi hatuchagui viongozi hûwa tunachagua mihemuko tu ya watu au si sifa za kiongozi
@ostenmwakasita6960
2 күн бұрын
Hivi nyie wakina Msukuma mnasikiliza hii Taifa maana mlimshambulia sana Mpina
@mwaimumaumba4172
2 күн бұрын
Alilipwa
@MsAggie5
Күн бұрын
Msukuma Yuko kwenye ligi yao, alikatiwa chake basi! Kwenye madudu yote lazima wamkatie wanajua ni msemaji lazima wampoze
@sylvestersamwel8210
Күн бұрын
Msukuma alishanogewa na asali ya DP WORLD.
@seifkassim5872
Күн бұрын
Wasukuma ni wakweli sana.sijui yule ni msukuma wawapi yule kashiba madalaka elim ana ajui chochote analopoka lopoka tu.ila tunashukulu ukweli tumeupata wanafki wamejulikana
@wennceslausmushi2356
21 сағат бұрын
Endeleeni na chama yamsingi kuhusu maisha yenu hayawahusu ingekuwa Kenya pangechimbika
@infodigtechforcommunityemp4103
2 күн бұрын
Mlimuona Mpina hafai haya sasa Si aibu hiiii jamani kwa CCM
@ezekieljacob5795
2 күн бұрын
Ccm haihusiki na bunge
@lelekilele2
2 күн бұрын
@@ezekieljacob5795ila kuna wabunge kutoka chama cha CCM au inakaaje ?
@jumamangombe6493
Күн бұрын
@@ezekieljacob5795pimbi
@amosmwampamba
Күн бұрын
Nimemwelewa sana mzee, kitoto cha simba ni bashe, nyuma kuna spika, waziri mkuu na rais. Rais hajachukua hatua zozote kwa bashe, spika kamrarua mpina
@awadhally1052
Күн бұрын
Kwel kabisaaaa
@zuberisalum2004
8 сағат бұрын
Niaibu Sana'a IPO SKU mungu atakasilika IPO cku
@sadikidaudi460
Күн бұрын
Mama angalia hoja zawatu inaonyesha Bashe anajua kuongea kuliko uhalisia Mpina anahoja asikilizwe Bashe anajua kuongea kuliko kutenda
@salehmattal9805
2 күн бұрын
Though press imeishia kati but napata hisia yakua kundi la "wafanya biashara" linatengeneza syndicate fulani. Tulianza kuyasikia ya wauza Sukari kupitia Mpina, juzi tukaona Mgomo wa wenye maduka na Leo tukasikia ya wafanyabiashara ya utalii nao wametoa conditions Pandisha sehemu ilobakia Michuzi.
@sylvestercameo6263
2 күн бұрын
No syndicate symptoms in this case. This is a stainless fact which needs no substations!
@NescharlesMalando-xm6lg
2 күн бұрын
Viva mpina!!
@mickgeofreyjoachim1580
9 сағат бұрын
Safi sana mzee kuuweka wazi ukweli
@mathiasbulima4466
15 сағат бұрын
Kuna wabunge walikuwa na sifa Nchi nzima lakini sasa Mungu anawaaibisha.wanatetea Serikali kukandamiza wananchi badala ya kutetea wananchi.Kwenye Bandari wametajwa kuhongwa lakini pia kwa sukari wakamkandia Mpina. Mungu anawaona.
@fidelfidel-jz4iw
2 күн бұрын
Nchi za ulaya hawana kabisaa vuwanda vya sukali lakini hawana tatizo la sukali kamwe lakini sisi ni wazalishaji hapo kuna mchezo hebu muogopeni mungu lazima libomolewe hilo kongwe la usili mchezo mchafu siri itajulikana nani ana fanya yote hayo kuna kitu nyuma ya pazua inayofanya yote hayo.
@ThomasfrancisMvella
Күн бұрын
Nadhani wengi wao wanatumia sukari za kutengenza....ila katika hili swala la sukari ni wazi kuwa kuna Dalili ya kila aina ya michezo michafu kutoka upande wa waziri. ...takukuru inapaswa kuchukua hatua, . ..
@RamaKimbeu-tw4po
2 күн бұрын
Nguzangu yote mnayosema ni sawa mwananchi WA kawaida ANATAKA KUJUA KWA NN SUKARI ipande BEI na nani amesababisha au amefanya hivyo
@MathewNathan-yb2bz
Күн бұрын
Ulitakiwa umuulize mbunge wako au diwani wako ndio atakupa majibu.una mbunge na diwani badala ya kupeleka kero yako huko na kuuliza maswali kama haya ya msingi umekaa kimya kama msukule.
@daniellyimo378
2 күн бұрын
Ahaa! Kwa sie wa zamani Hawa watu tunajua historia yao.big up for mama.
@MsAggie5
Күн бұрын
Wazamani wapi gen X big up mama ako yupi? Machawa ndo mnafanya tunaonewa
@rafaellyapembile2792
Күн бұрын
Unajua ukiagiza sukari ni wakulima wangapi wataumia kwa kutopata soko la miwa Yao.
@mashakakwembe7482
Күн бұрын
Hongeraaaaaa mpina ingekua sio ww tusinge jua ukweki haya sasa tulia na bashe na maccm mliobungeni jitokezeni mbishe tena
@gasparlubaga5866
14 сағат бұрын
Hawa ndo wenye viwanda na ndo wanaomtetea,Luhaga Mpina,bunge linatakiwa lijitafakali sana kuhusu na haya mazungumzo,ukweli usio pingika Bunge lilimuonea Mh.Luhaga Mpina
@allyshaban406
Күн бұрын
Ughali wa bei ya sukari hautokani na wazalishaji, ni serikali kuwa na kodi nyingi kwenye hilo zao. Mfano, mafuta, lita 1 inakodi zaidi ya 7. Hiyo ndio ccm.
@birianination7097
Күн бұрын
Taja hizo kodi ambazo zipo kwenye sukari
@worldherotv
2 күн бұрын
Acheni maneno mengi, kwa nini SUKARI YENU ELFU NNE KWA KILO wakati sukari ya msumbiji ELFU MOJA MIA TISA KWA KILO???
@shabanirajabu2002
2 күн бұрын
Hakuna sukari ya msumbiji
@shabanirajabu2002
2 күн бұрын
Sukari yao inatoka brazil
@ScopionScopion-zj9cd
2 күн бұрын
sasa hapa kwenye upigaji tulia utakosaje kumtaja
@MsAggie5
Күн бұрын
Yumo asilimia mia. Mpina kasema hata msamaha WA Kodi Kwa hao walioagiza ingebidi Bunge ndo liamue 😂, hapo hadi waziri WA fedha yumo
@johnfani9380
2 күн бұрын
Tuna spika mjinga tanzania
@salmanmagwe2612
2 күн бұрын
Mmhh wafanyabiashara wetu kuwaelewa ni shida,mbona kila mwaka mnaleta mauzauza tu ya bei?na siku zote hizo bado hamjajiweka mkaeleweka?kulikuwa na sababu gani kwa viwanda vyote kusimamisha kazi wakati mmoja?na kwa nn iwe tu ni sukari?
@modestusernest5098
2 күн бұрын
Wezi wakijitetea waendelee kuiba,swali why zambia na msumbiji bei nafuu
@danielmwandenga5369
2 күн бұрын
Mvua kaka mna kilimo n science tupu
@danielmwandenga5369
2 күн бұрын
@@modestusernest5098nchi tofauti mkuu. Na kodi tofauti kabisa , Zambia ukifungua duka fanya biashara bada y mwaka ndo unanzakulipa kodi , tz jee ikoje iyo
@user-us4tk2tk3c
2 күн бұрын
Kwakweli hata mimi binafsi wala siwaelewi. Nadhani wakienda hivi sio sahihi maana hawajibu hoja za Watanzania ambao wangetamani kuona bei ya Sukari inashuka. Wamwache Mh. Waziri na Serikali itekeleze mipango yake ili waisaidie nchi na Watanza kupata unafuu wa Sukari. Halafu leo ndo mnasemaeti mtazalisha zaidi baada ya Serikali kuja na sheria ya sukari ya 2024 ili kuondoa tatizo na mmegundua kua mtabanwa na sheria.
@FelicianSimon
2 күн бұрын
Ww subri inyeshe mwishoe tuone panapovuja
@abuuramadhan8093
Күн бұрын
Nyie wazee ndo mnasababisha vitu kupanda bei haiwezekan sukar iuzwe 10000 lazima serikali iagize sukar
@kakorejrboyz6447
Күн бұрын
KODI NDIO INAONGEZA BEI SASA JIULIZE KODI ANAKATA NAN?
@deuskigus4284
Күн бұрын
Ulinunua lin sukar elfu kumi huku kwenye mambo yamsing wanatakiwa wacoment watu wanaojua kureason na wenye uchungu wa nchi
@MathewNathan-yb2bz
Күн бұрын
Kwani maelezo hapo juu hujayasikiliza?mtoa mada hapo juu kaeleza kila kitu.Tatizo ni serikali yetu.
@dostovan5142
8 сағат бұрын
Bashe mvivu wakufikiri au kilimo cha kutegemea mvua tuto ua nchi😊
@jovinusmutabuzi4647
Күн бұрын
Bashiru kakulu alisema sentensi moja akitoa TAARIFA. Nchii ni nchi ya ujamaa na KUJITEGEMEA. Nimemuelewa sasa. Kama serikali ina hisa kwenye makampuni basi nayo imeshiriki kutuhujumu.? Hoja ya wabunge na spika ninini? Nadhani mahakamani tutajua kwanini bashe alitengeneza makampuni.
@MsAggie5
Күн бұрын
Ujamaa gani? Ujamaa ulikufa Nyerere alipotoka madarakani. Hiyo kesi haita enda popote
@GodfreyOsward
18 сағат бұрын
Ujamaa na kujitegemea ni Maono ambayo hakuwai kuoaribiwa au kuhiasiwa kufikiwa. Mipango yetu siku zote aionyeshi kujitegemea. Kama unalenga kujitegemea, kwa nini tunalilia kila kukicha kwamba vijana hawana ajira?
@mikwendemakala3933
11 сағат бұрын
Pole kaka Mpina always truth reigns
@healingsschool4630
Күн бұрын
Mmekumbuka shuka kumekucha, bei ilipanda saana Bashe akatumia busara, Mpina ashaadhibiwa na bunge lilishaahirishwa woga wenu utawaponza. . ... Imeandikwa waoga nao motoni tu
@tashone7884
Күн бұрын
Tunahitaji bidhaa ziwe chini kwa muda mlioachiwa bado bidhaa yetu ya sukari inakuwa juu sana. Pia utaratibu wenu wa Ugavi siyo mzuri kwa mfano mikoa 11 supply ni mmoja tu yupo mwanza takriban watu million 30 wahudumiwe na mtu mmoja ilifikia hauzi chini ya mifuko 100 na ununue batteries daah. Biashara ya sukari mmejengewa monopoly na serikali imefika wakati mpate ushindani lengo wananchi wanufaike.
Ndio ujue kuwa serikali ina mifumo dhaifu na mibovu.wenye dhamana na hili ni serikali na sio hawa wenye viwanda.
@sebastiansalamba313
Күн бұрын
Bashe anadharau sana ,angekuwa magufuli asingekuwepo,,lkn eee mvumilie
@MsAggie5
Күн бұрын
Sana
@awadhally1052
Күн бұрын
Kwel kabisaa
@rosetreffert4179
2 күн бұрын
Aibu kubwa kwa bunge letu mnazidi kuumbuka kazi yetu kukonga madwati tu
@infodigtechforcommunityemp4103
2 күн бұрын
Kweli Kabisa
@titonsimbazi5532
Күн бұрын
Mpina yupo sawa kabisa, sema tu kwa ufupi bunge letu halina uchungu na watanzania wanajitazama wao tu. Hii nchi imeuzwa msemo wa ndugai
@user-so3gy2io8l
Күн бұрын
I will stand with Mpina
@MathewNathan-yb2bz
Күн бұрын
Even me
@gaspermsunga8686
Күн бұрын
Basshe ajiuzulu sio mpina.MPINA YUKO SAHIHI.
@Kisinzarobert
Күн бұрын
Bashe atahitaji kuajibika kwa hili ni kweli kudanganya umma na bunge la spika
@juliusakilimali9424
2 күн бұрын
Tunawashukuru sana kwa kutuelimisha juu ya jambo hili la changamoto ya sukari!! Hapa nagundua UZALENDO uliwekwa pembeni ili baadhi ya wabunge waipotoshe serikali na itatugharimu lazima Bashe na wenginewe wachunguzwe.
@mzalendomzalendo2567
Күн бұрын
Hawa miaka yoooote sukari huwa inaadimika leo sukari imepatikana ndio mnapiga kelele, hawa si ndio wauza sukari miaka yote mie ninavyo ona ufisadi wao mirija yao imekatwa sasa wanapiga kelele, BIG UP BASHE hizo kelele za chura zisikukoseshe usingizi
@MsAggie5
Күн бұрын
@@mzalendomzalendo2567Acha uchawa. Wamesema walijua sukari itaadimika na wakaripoti serikali ilichukua muda kurespond ndo ikafanya iadimike zaidi, na sheria ilitaka wao ndo waagize nje Kwa nini huyo Bashe avunje sheria kuwapa wenye stationary waagize sukari nje bila kulishirikisha Bunge, na hiyo msamaha ya Kodi? Ufisadi tupu!
@shijamlanda7477
14 сағат бұрын
Tunashuru sana Mzee ❤
@kingmichael1234
2 күн бұрын
Bashe hafai kuwa waziri tena atumbuliwe haraka sana. Hana uchungu na watanzania
@amaniabdi9755
2 күн бұрын
Wewe ni Mpumbavu,unataka uuziwe Sukali elfukumi,Bashe anapambana ili sukali iuzwe bei ya chini wewe unataka atumbuluwe.Huyu mzee wakati sukali inauzwa elfu nane alikuwa wapi.
@aaaaaah290
2 күн бұрын
@@amaniabdi9755 Kuna kitu hujajua,,, bashe ni fundi wa maneno yaliyopangiliwa kisomi, yanavutia kusikiliza, BUT FILD ZERO
@allymusira2153
2 күн бұрын
@amaniabdi9755 na kweli walikuwa wapi sukari ilivyopanda kwanini wasijitokeze na kuwaeleza wananchi
@mwesigwamuhingo5660
2 күн бұрын
Sasa Bashe kafanyeje? Mbona ukiwasikiliza hawa hawa tu, unagundua wanafanya uhuni, Ila Bashe anawatoa kwenye confort zone zao ambazo hawataki kutoka. Wanataka waendelee na business as ussual
@KelvinConorard
2 күн бұрын
Nashangaa mtu ambaye amuelewi bashe ujue miemko inamuendesha
@user-rs4vz2vt9z
13 сағат бұрын
Wazalishaji wa sukari nchini,Mpina ni mtetezi wenu pamoja na wafanyakazi wenu,Waziri anaua ajira na viwanda vya sukari nchini pamoja na wakulima wetu,hii haikubaliki.
@King_186
Күн бұрын
Luhaga Mpina ni mwamba na mtetezi sahihi,,ameadhibiwa bure ukweli unatoka sasa
@MsAggie5
Күн бұрын
Too late. Na bado wamemfungia Bunge. Waandishi wamekalia uchawa wala hawapigii Debe haya
Broo. Mbn unawatetea watenda dhambi uogopi mungu tatizo lasukar alijaanza Leo wkt wakikwete lilitokea nawamiliki viwanda vyasukali walilalamika sana
@user-yz1xq8xo8s
11 сағат бұрын
Duuuuu kweli mzeee kumbe eeeee heeee nimelewa sana nchi hii inawenyenchi na wananchi
@birianination7097
Күн бұрын
Kwa hiyo Zambia, Malawi, na Zimbabwe ni kama pumba huko😂😂 maana sukari huko sio 4000 ni 2300 tu.
@nasibuabasi4701
Күн бұрын
Watanzania wengi hawataki kufanya uchunguzi kazi yao kubwa ni ushabiki bendela hufuata upepo
@kabelwasalim6305
Күн бұрын
Comment ya kwanza yenye akili nyingi nimeiona
@kabelwasalim6305
Күн бұрын
@@nasibuabasi4701fact
@DivNg27
20 сағат бұрын
Comment yenye tija kabisa,ila WaTz bhana,wanawasuport hao Wajomba na kumuona mpina shujaa eti..kwa kutetea wachache😂😂😂,sasa ngojeni Serikali ifute vibali vya kuagiza sukari halafu muone mtakavyouziwa sukari 5000 😂,halafu kulialia tena
@nashirkamugisha9425
Күн бұрын
Watanzania bwana eti leo mnawaamini hawa! Kumbuka sukari ilifika 12,000@kilo. Waseme sukari haitazidi 2500/=
@paulmteki8196
Күн бұрын
Tukuamini wewe chawa
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Wazalendo wanasema hawa hatuwapingi na pia hatufungamani nao.
Brazil ni world exporter how come unakosa meli ya usafiri. Plus how come sukari Tanzania inabei kubwa ya sukari Tanzania. Kama mna experience kubwa kwanini msiwe na reserve kabla
@GodfreyOsward
Күн бұрын
Wengi tuliguswa na mjadala, sukari bungeni. Kwa nini usijiulize kwa nini. Haikujitokeza hoja pale bungeni Ya ni lini Tanzania itakuwa MSAMBAZAJI MKUMBWA WA SUKARI duniani. Kwa nini hoja kama hiyo hakuna?.je haiwezekani?. Wakijitokeza viongozi wa mawazo kama hayo tunawaita majina mabaya. Mfano neno mchoyo wa madaraka. Neno hilo ni kansa ya taifa hili. Kwa nini hazipo kamati za bunge za kupaisha inchi yetu. Tunataka viwanda vingapi vya sukari, tutumie utaratibu upi kuvijenga?. Kwenye hali yetu ya amani tunaweza kupaisha nchi yetu kwa kiasi gani?.bungeni na serikalini hakuna hoja ngumu za maendeleo? Ndio maana kwa kukosa hoja na mambo magumu ya kutekeleza tunaishia kushughulikana. Tungetemea Bashe na yule wa Viwanda kuja na mkakati wa kupunguza kuagiza ethanol toka nje. Mfano kwenye bajeti angeweza kutenga fedha za hisa za serikali kuanzisha kiwanda cha ethanol kule Kagera sugar au popote pale bado tuna ardhi ya kutosha. Ingesaidia kupunguza matumizi ya fedha ya kigeni. Itapungu hawa wasomi mitaani, tunaowabeza kila leo. Mikakati nyepesi tu na ya ulaji.
@nestor384
22 сағат бұрын
Nchi hii inachezewa sana maaninah! Mtu mmoja kisa tu anacheo anaamua kufanya biashara ya wizi na kutoa vibari kwa vikampuni vyake mfukoni apate pesa Bashe and allies were supposed to in jail.
@AbdilahiMriri
18 сағат бұрын
Nyinyi watu wa Sukari ni zaidi ya miaka Kumi mnatuonea tu kwa kutuuzia Sukari bei juu zaidi ya Nchi yoyote Duniani. Mbali na hayo mnashirikiana na watu wa Serikali kuadimisha Sukari, na elnino ni kisingizio tu. Kwa sasa sisi kama Wananchi tulikofikia ni aidha mjivue gamba wote mpishe wengine na kisha Mawaziri wa Kilimo na viwanda japo wabadilishwe tu Wizara.
@yusufmohamed8874
Күн бұрын
Bunge dhaifu sana @ Mzee ASADi
@castorymhoja6050
2 күн бұрын
Anika mpina kaonewa
@jumahabibu6151
2 күн бұрын
binafsi nampingeza sana waziri kwa intervation yake Kama gap sugar imeshuka toka tani 140000 kwa mwaka 2015 Hadi tani 30000 kwa mwaka 2023 Sasa kwa nini bei za sukari zinazidi kuongezeka siku Hadi siku.suala tu sio kuongezeka kwa uzaliahaji Ila bei ya sukari nxhini ni kubwa mnoo ukilinganisha na nchi jirani kama uganda na nchi nyengine
@Williamstozzo
2 күн бұрын
Unampongeza kwa lip?
@KazunguMathias
2 күн бұрын
@@Williamstozzo safi kabisa maana haelewi anachokitetea hajui chanzo cha yote anayoyatetea ni serikali kuongeza tozo na kodi hali inayowapelekea wao kuongeza bei kingne ni kukosa ushirikiano wa serikali na wawekezaji wa sukar nchini kwa kuongeza kodi tu halafu vya kutoka nje wanawafutia kodi ivi linakuingia akilin hlo
@davidsimbeye1548
2 күн бұрын
Tatizo la watanzania ni kushabikia wanasiasa, Kuna tofauti kubwa sana kati ya watanzania na ndugu zetu wakenya, na ndiyo maana mzee Lowasa kwenye kampeni zake alisema vipaumbele vyake vikubwa vinne vitakuwa ni elimu. Nadhani huyo aliona mbali sana. Sisi tunashabikia watu na siyo hoja. Yaani kama mtu unampenda uko tayari kumuunga mkono kwa lolote bila kujali lina madhara gani kwako. Nimewasikiliza sana hawa wafanyabiashara ki ukweli sijaona mahala ambapo wamejibu hoja za Bashe. Bashe aliwatuhumu kwamba walipewa vibali na serikali vya kuagiza sukari ili kudhibiti uhaba wa sukari hawakufanya hivyo, na wao wamekiri kwamba ni kweli walipewa vibali swali je ni kwa nini kulikuwa na uhaba wa sukari wakati wao walipewa vibali hivyo kwa sababu uwezo wa viwanda vyao wa kuzalisha sukari ni mdogo? Mnawashambulia wabunge kwa sababu gani? Je hamkushuhudia kilio cha uhaba wa sukari kilivyokuwa kikubwa?
@VenanceMinde-tj5ng
2 күн бұрын
@davidsimbeye154I8 Ukweli ni kuwa waliomba vibali lakini hawakupewa kwa wakati mwafaka,walicheleweshewa,imesemwa na hao wenye viwanda kuwa wauza simu,vocha na stationery,walipewa vibali mapema wakati mtaji wa kuagiza sukari toka nje hawana. Kuagiza sukari toka nje mfano toka Brazil hadi Tanzania kwa njia ya meli inahitaji muda wa miezi. Hapa WIZARA ya kilimo na Bodi ya sukari Tanzania hawakufanya KAZI yao ipasavyo kwani hawakutoa vibali mapema mara baada ya kuombwa na wenye viwanda vya sukari nchini.
@VenanceMinde-tj5ng
2 күн бұрын
Hali mbaya sana ya hewa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi ndivyo vimeleta uzalishaji mdogo kwenye viwanda vya sukari nchini.Mashamba ya miwa yalijaa maji na kusimamisha uvunaji wa Miwa.Bila miwa kuja viwandani huwezi pata sukari.Miundombinu ya barabara iliharibiwa sana na mvua za el nino na barabara zote za kwenye mashamba ya miwa ni za udongo,wakati wa mvua zinapitika kwa shida sana na wakati mwingine hazipitiki kabisa. Serikali yetu haitengenezi barabara hizi,wakulima kupitia makato yao ya mauzo ya miwa ndio hutengeneza hizi barabara.Kwa upande wa Bonde la Kilombero barabara hizi Zina urefu wa zaidi ya kilometa mia nne(400km). Kuna changamoto nyingi katika uzalishaji huu mdogo wa sukari hasa mvua zinaponyesha juu ya wastani kama msimu uliopita ambapo zilianza kunyesha kuanzia mwishoni mwa mwezi septemba 2023 hadi Mei 2024.
@bakermusa9033
2 күн бұрын
Lawama zote kwa chura kiziwi
@Jingu2
Күн бұрын
😂😂😂😂😂
@sylvestersamwel8210
Күн бұрын
😂😂😂😂
@mwalimumstaafu8529
Күн бұрын
😂😂😂😂
@mohammedbakar4142
Күн бұрын
Nanukuu kumbe Professor Mussa Assad former CAG, hakukosea kulita Bunge la tanzania ni Dhaifu linawaficha watoto wa simba. Haya sasa Mapapa na Maharami yamejitokeza @ luhaga Mpina yuwapi shujaa
@kilimanjaro695
Күн бұрын
Kila Mwaka mko hivyo hivyo. Namuamini Bashe kulikoni lobbyist wenu Mpina. Haiwezekani kuna upungufu wa sukari kila mwaka
@laurentraphael5470
Күн бұрын
Serikali dhaifu, Bunge kibogoyo. CCM ni janga la taifa namba moja.
@GodfreyOsward
17 сағат бұрын
@@laurentraphael5470 Sio kwamba mama dhaifu ujifungua mtoto dhaifu. Na siku hizi changamoto kuwa watoto wengine wanazaliwa na mgongo wazi na vichwa vikubwa. Maisha ya hawa watoto ni gharama kubwa kuwatunza. Kumbe afya mama mjamzito ni muhimu sana. Mfano huo unaelekea kufanana na uhai wa taifa au jamii. Bible.....watu wa Mungu wameihasi sheria na kulivumja agano. Africa ikiwemo tz, kidogo kidogo. Tumeasi agano letu la kudai UHURU. Tusishangae wabunge ni zao la mama Tanzania. Mama Tanzania pengine lishe duni, na watoto wake anaowazaa dhaifu.
@bennettmsovu2277
Күн бұрын
Ni aibu kubwa kwa Bunge na wabunge wote kumshambulia mtetezi wa wananchi.
@bonifacekalima5273
2 күн бұрын
Heee tulia na kamti yaako ya nidhamu keesho asubuhi mfwateni mpina nyuumbani kwaake mkamuombe msamaha
@MsAggie5
Күн бұрын
Thubutuuuuuuuuu! Wanamuogopa nini? Ngoja aende mahakani tuone kama mahakama ni muhimili unaojitegemea au bado unaongozwa na raisi
@gallegalleson4427
Күн бұрын
Bashe ni BASHA 😮anabashia kweupe !!
@AllyRamadhani-wl3um
Күн бұрын
Tuweni wakweli wAtanzania acheni unafiki sukari ikiuzwa Bei huu tunalalamika sukari imeagizwa kwa wingi ili Bei ishuke mnalalamika mnawasikiliza hao wafanya biashara wanaongalia masilahi yao hawatujali wananchi Bashe piga kazi
@husseinmkanga7794
Күн бұрын
Acha upumbavu wewe waziri na wao wanaongea bashe anataka kuuwa viwanda watanzania wakose ajira.
@birianination7097
Күн бұрын
@@husseinmkanga7794 sukari malawi 1900, sukari uganda 2100, sukari zambia 2300. Ila bongo mpaka 4000. Haya makapuni ni wezi, yani baada ya nchi kuamua kuweka mpango ya hifadhi ilikulinda bei, sasa ndio wanaongea. Watoe uwizi
@MsAggie5
Күн бұрын
Acha uchawa, kwani wakati sukari ilipoadimika wee ulininia kilo Kwa shiling ngapi? Kwa nini Bashe aliacha sukari iishe wakati walimuonya kutakuwa na upungufu Kwa sababu ya mvua? Kuwapa vibari wafanya biashara WA stationary na kupewa msamaha WA Kodi? Acha ujinga
@birianination7097
Күн бұрын
@@MsAggie5 mwaka jana makampuni yaliingiza tani elfu 73 kinyume na makubaliano ya tani laki 1 mia 8. Ndio maana bunge limepitisha sheria ya kuipa sasa nchi kuwa na hifadhi ya sukari ili next time wakileta mchezo serikali iweze chukua hatua.
@MsAggie5
Күн бұрын
@@birianination7097 walio agiza si hao waliopewa vibari na Bashe, nimesikia mpina akisema. Wameagiza zaidi ya mahitaji, sasa kama hawalipi Kodi Kwa nini wasiagize na kama hawa qualify wewe mwenye leseni ni stationary ananunuaje sukari?
@erickchaula5084
Күн бұрын
Tanzania hatuwezi kuuza sukali nje maana sukari ya Tanzania ni ya bei mno Zambia hawana umeme wa kutosha lakini sukari ni bei ndogo kuliko Tanzania
Пікірлер: 819