Hao 2 si wazanzibar halisi, ni wazanzibaraaaaaa,hilo ulijueeer
@Naw89
10 ай бұрын
Subhaanallah
@QuranFirst610
10 ай бұрын
Nice but very short video
@adamaliali2206
9 ай бұрын
Wapo wa Zanzibar wasio juwa Quran Ila hao ulio wauliza sio wazanzibar
@salyali7807
10 ай бұрын
Wamejazana mijitu ya bara
@SalamaKhamis-un8vn
10 ай бұрын
Vibaya ivo tumia maneno mazuri wengine niwastaarabu kushinda wahapa
@batulialmass8914
10 ай бұрын
Acha roho mbaya hiyo ni ardhi 2 utaicha na hutojua nani atkuja kukaa hapo kuwa na kauli nzuri😊
@ismailmsangule1380
10 ай бұрын
Wewe Mzanzibari sawa je unahamasisha Uislamu usimame huko
@zenasalum2231
10 ай бұрын
Mijitu ya bara ni mambwa au umeyafanisha na nini acha kashfa huko nzn Nako wapo hata Quran hawaijui njoo bara pande za tbr kigoma ukutane na wasona Qur an
@Muslim-gs6rn
10 ай бұрын
@@SalamaKhamis-un8vnMasha Allah ❤ mwenye khouf ya Allah hujibu vizur ❤❤❤
@AbdullahAli-o8z
10 ай бұрын
Sidhani kama hao wamwisho ni wazanzibari
@UstadhAboubakar
10 ай бұрын
Ni wazanzibari halisi
@Nuru_ya_sunnah.official
10 ай бұрын
❤❤❤😂😂😂❤❤
@masturaabdul1007
10 ай бұрын
Hawa wazanzibar wamenitia aibu. Watu gani Hawa wasojuwa kusoma. Hawa si wazanzibar wanatoka Kongo. Hawa wakongo.
@mbeguofficial6646
10 ай бұрын
HII NI ELMU YA KWAMBA TUACHE DHARAU!!!
@rahmaabdallah4514
10 ай бұрын
Labda maadhura😂
@shamsahaji6202
9 ай бұрын
@@rahmaabdallah4514hahaha basi alikua aseme tu 😂 asijibu ovyo
Пікірлер: 24