Waziri wa Kilimo Hussein ametembelea Shamba BBT Ndogowe lililop[o Wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma ambapo amesema kuwa Vijana wanaomaliza mafunzo ya BBT mwezi Agosti watakwenda JKT kwaajili ya mafunzo ya uzalendo kabla ya kupelekwa mashambani
Waziri Bashe ametoa kauli hiyo leo Alhamisi, Julai 27, 2023 ambapo ameongeza kkuwa mchakato ujao wa kuwapata washiriki wa mafunzo hayo ya BBT Wizara itashirikiana na JKT kwa awamu zopte zinazofuata.
Негізгі бет Waziri Bashe atinga shamba la BBT; Afunguka MAZITO
Пікірлер: 6