Huku waziri wa uchukuzi Davis Chirchir akijipata pabaya baada ya kukosa kuwasilisha stakabadhi ya kandarasi kati ya serikali na kmapuni ya adani holdings inayopania kukodishwa uwanja wa JKIA kw amiaka 30, madai mapya yameibuliwa kuhusu kampuni hiyo kutoka india kumezea mate mashirika mengine ya serikali pamoja na mpango wa bima ya afya kwa wote - SHIF.
Негізгі бет Waziri Chirchir akosa kuwasilisha stakabadhi Seneti
Пікірлер: 43