Hawa TRA wanaweka utaratibu wa kimtego mtego ili watengeneze mchongo
@ShabaniOnyango-gm3vz
Жыл бұрын
Nipeni maua yng niyanuse kabla sijafa Roma fursa nyingine hiyoooo my brother
@jacksonmrisho5650
Жыл бұрын
Jamani ingependeza sana kasim mjariwa Awe Rais wa Tanzania inchi ye2 ingekua vizur sana
@asteriashios1852
2 ай бұрын
Yaani ndo maana nasemaga nampenda sana huyu kassim anatufaa sana watanzania mungu kampa hekima busara anafaa kuwa raisi yaani ningekuwa nina mamlaka ya kumteua raisi ningempitisha kasim majaliwa mengine akina mkuu wa mkoa wa dat hakuwajibu vinzuri wafanyabiashara wa kariakoo anatishia watu haipendenzi
@hidayajuma7946
Жыл бұрын
Kama mtu akilala na mkewake akiamka anatunga Shelia yake kichwani basi hakuna viongozi katika taifa hilo basi kiongozi kabaki majariwa pekeyake
@abdulkareemchacha2625
Жыл бұрын
Safi sana Majaliwa......muongozo mzuri saana, wenye akili waufanyie kazi .
@GreceMwalende
3 ай бұрын
Waurize waziri nani amewai goma kuripa mapatoo
@daudkondo4069
Жыл бұрын
Tatizo watumishi wa TRA ni watoto wa vigogo wa nchi yetu ni vigumu kuwaadabisha
@NoelNick-z9v
Жыл бұрын
MW MUNGU AKUTUNZE BABA YETU WASAIDIE WATANZANIS
@daudkondo4069
Жыл бұрын
Vitenge vinapita Dar vinaenda Congo Kisha vinaletwa Dar Kwa matumizi
@deneagrofarms5884
Жыл бұрын
😅😅😅😅
@lailalaila8206
Жыл бұрын
yan tunajitafutia pesa zetu nch zingine hunarud nyumban ukazishe biashala ikukamue kimaisha mtu anakunyonya kod tozo mbaka mtaji hunakufa kama waritupa iyo pesa wao roho mbaya tu imezid kutokupendana sisi kwa sisi tz nch ya hovyo sana mbaka tunaogopa kufanya biashala kaz hakuna hamtuajiri na mtu akijitaid kujihajiri bado mnakandamiza nyie serekari ya haina gan
Dah! Siasa ni mchezo mchafu, Muheshimiwa hatutendewi haki nchi ni yetu lkn manyanyaso kibao, kazi tunafanya sisi kipato tunachokipata hakiendani na biashara zetu, pesa zote zinapelekwa TRA na RUSHWA tupu. Yaani! Hakuna kitu hapa tutahama nchi kwa misingi hii.
@reaganhassan156
Жыл бұрын
Wakiyaona maono yako lazima watakuuwa
@akberyuda5950
Жыл бұрын
MHESHIMIWA MAJALIWA TUNAKUTEGEMEA IKIBIDI PANGUA TRA MUNGU AKUBARIKI
@doricefrimat3125
Жыл бұрын
Asante mheshimiwa
@felisterjoseph4312
Жыл бұрын
Wewe kuna siku utakuwa Rais wetu yaani hiyo ni lazima👍
@severinatyphone6122
Жыл бұрын
Kila mtu alike hii comment ili iwe juu zaidi
@charleselijah-vq3hq
Жыл бұрын
Mweheshimiwa Waziri Mkuu Kasim Majaliwa na huo ndio ukweli siku zote kuna tatizo. Waziri wa fedha nae atumbuliwe haifai
@johndela7435
Жыл бұрын
Mnakula maneno tu hapo sheria zinabaki vile vile na zinaendelea kung'ata lakin saiv watang'ata kwa upole
@barnabaslushenshe523
Жыл бұрын
Kwanini mtu anafanya kazi TRA MIEZI 6 anakuwa na NYUMBA ZA KUTISHA NA MAGARI? AMEKOPA WAPI?
@mangashajunior242
Жыл бұрын
Asante mh majaliwa hawa watendaji wanatuchosha common wananchi kwa rushwa....
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Mungu akulinde Wazilimkuu majaaliwa. Mpenda haki kilanikikukumbuka nitakuombea Dua wasikuzuru maadui Na Mungu akufanyuewepesi kwenye utendajiwako wakazi ijitahidi kutenda haki. Mungu atakukipa sababu kuna mwishowakazi kabuliniiii. Allah atujaalie mwishomwema🤲
@jescasamson6060
Жыл бұрын
Hata mugambo anafanya ukaguzi tunaelekea wapi kama nchi ingekuwa daladala wengine tungeshuka twende nchi nyingine
@BundalahNgassa
Жыл бұрын
Hakika baba wa 2 wa taifa tutamkumbuka milele mungu ampumzishe vyema
@luganomgeni
Жыл бұрын
Kukomesha lushwa ni ku weka mfumo wa mpya waukusanyaji kodi. Zote uwepamoja .lakini mfumo uliopo ni kandamizi. Mtu a na lipia kodi zaidi ya 8. Zige wekwa pamoja sawa na maka kadilio.aliyo kadiliwe mlipakodi.
@ismailaebecha3884
Жыл бұрын
Kero yangu ni kuusu reseni ukienda kukata reseni unaombwa nida mpinga kura hawataki
@charleselijah-vq3hq
Жыл бұрын
Waziri wa fedha atumbuliwe anausiku achunguzwe na hafai anatngeza ubadhirifu ndani ya Ujenzi wa Taifa letu la Tanzanian. Ni mbadhirifu s Atoke anatafuta hela ili kesho na keshokutwa agombee Urais. Hatoke Waziri wa fedha.
@erastojhn
Жыл бұрын
Tatizo kuu sio wazir ni ccm na viongozi wake
@frederickmaringo8014
Жыл бұрын
Vikao vya pamoja na elimu ya haki ifanyike kupunguza mlundikano wa matatizo miongoni mwa wafanyabiashara na Serikari yetu. Ashante kiongozi Mkuu wetu kwa kuyatambuwa mengi ya matatizo walionayo wafanyabiashara. Tunawatakia mafanikio ya haraka ili tusimuudhi Mama yetu wa Kazi. Ashanteni saana.
@allykarupa1411
Жыл бұрын
Mweshimiwa waziri nasisi madereva tunanyanyasika
@swaibuiddy1502
Жыл бұрын
Mh shimiwa waziri mkuu unafanya mkutano Mahali ambapo wakamataji wa pikipiki na bajaji wanapo kamata wanazileta sehem hiyo anatogo sasa iyo ijumaa tano wape sehem yakuweka pikipiki na ukiweza zungumzia kuhusu uwo mladi wa mtu binafsi umekaaje
@lailalaila8206
Жыл бұрын
mungu hamlemu magufuri toka hafe yye nch imekuwa ya hovyo ya watu wachache wanajifanya haunijui mimi nan imerud na rushwa kwa wazi tushachoka waray, we waziri mkuu mungu hakubariki sana na uje kuwa rais wetu in sha allah biashala bila ya kina mama bado wapo wanauza chakula maisha magum jmn msione nyie mnakaha kwa exi wananch wanapata tabu aisee kod mnashindwa kuwabana wagen na wanaoiba madin yetu iri mpate kod mnawabana wananch wa hari ya chin nimefurah sana wafanya biashala kwa mamuzi mrio ya chukua viongoz wa sasaiv hawafanyi kaz mbaka hakishen ifanyike mgomo ndio viongoz wanafanya kaz aisee ni shida sana waziri tatuweni kero izo huchumi unanyumba jmn
@alitwaqwa739
Жыл бұрын
nyinyi watu waserekalini sisi wavuja jasho ndio mabosi zenu
KATIBAAAAA MPYA NDO ITAWEZA KUREKEBISHA HAYO YOOOTE NCHINI.
@josephcharles6315
Жыл бұрын
2025 hatuwataki madarakani
@4hestatecompany20
Жыл бұрын
Umepndz sn kua rais
@omarihussein6945
Жыл бұрын
Huyu mwamba mungu aendelee kumuweka
@nurukimu7368
Жыл бұрын
Tuangalie na sisi wamachinga
@beatusraphael-gq2lu
Жыл бұрын
Katiba mpya
@udiabdullah5261
Жыл бұрын
Kwakwel raha😂
@majebelemathis9991
Жыл бұрын
Hii nchi inasitaili iwe na Rais kama magufuli wafanya kazi wengi wa serikali ya huyu mama ni majizi yote
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mweshimiwa waziri mkuu kwa sasa hivi hapa tulipofikia nchi hii ni pabaya sana kwanza wenge mfukuzisha kwanza kamishina wa t r a theni mengine yafate la kama ataendelea kubakia hapo itakua shida ni ilele shida kubwa iko kwenye makadirio sasa utmkuta .mtu yuko t r a ajawahi kuhuza ata maji
@abdulmdamu-fz8pn
Жыл бұрын
Tra Inaongoza kwa Rushwa
@monicambossa4937
Жыл бұрын
Mimi nilikuwa naumwa nikamwagiza kijana apeleke hela TRA Mafinga,afisa 1akamwambia mtoto wangu kuwa yet hapokei hela mpaka niende mwenyewe,siku nilipokwenda akanitoza faini eti nimechelewa kulipa Kodi,hivi huyu afisa hajaikosesha serikali mapato
@juliussuleiman3999
Жыл бұрын
Majaliwa ww ni watu wawili kasorobo, big up Mungu azidi kukulinda
Пікірлер: 51