Waziri Jerry Silaa nakuombea kwa Mungu kazi nzuri unazozifanya kwenye Wizara yako . Unatenda haki haijawai kutokea kwa Mawaziri wote waliopita Wizara ya Ardhi changamoto ni za siku nyingi sana unazopambana nazo . Asante sana umeonyesha mfano wa kuigwa na viongozi Ninashukuru Mweshimiwa Rais aliyekuteua na kukuweka katika Wizara hii.Nakuombea kwa Mungu uzidi kuwa na afya njema .
@sabikamanji2521
3 ай бұрын
mpendwa Wetu slaa Kazi Anafanya Vizuri Sana tunampongeza Sana Tena sana sasa watu Wana Imani Sana tunampongeza Sana ❤❤❤❤❤❤
@MCNgakungaJunior
3 ай бұрын
MH JERRY SILAA NI HAZINA KWA TAIFA.TUMPE MAUA YAKE.
@charlesmwambinga4355
3 ай бұрын
Yaaani Waziri Wa Ardhi Tutajenga Sanamu lake Asante Mama Samia kutuletea Makonda, Silaa
@KassimHanga-xr7rb
3 ай бұрын
Mama ni Mama hongera Kwa hotuba yako iliyojaa huruma,upendo,amani,wosia,mafunzo ahsante Mama Mw, Mungu akujaaliye maisha marefu na yenye afya njema tunakuhitaji
@maimunakassim8413
3 ай бұрын
Mungu akupe umri wa kutosha mama yetu na akupe afya ya kutosha kakayangu jelly sirah
@moddy8744
3 ай бұрын
Kwa kweli hawa viongozi wawili Makonda na Sllah Mungu Awabarik wana huruma na wanatetea haki za wanyonge ni viongozi wazuri sana na hatuwezi kupata viongozi wazuri kama hawa good job
@lucykristensen7145
3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu Rais wetu Mama Samia pamoja na waziri wetu wa Ardhi Dr. Silaa. Kusema kweli tumepata mateso makubwa mpaka tumepata maradhi ya kila aina. Tunaishi kwa nguvu za Mwenyezi Mungu.
@ScopionScopion-zj9cd
3 ай бұрын
mama kwa huyu wazili umepata huyu anafanya kazi kweli kweli tuna shukull kwa hili Na usitoe kwenye hii wizala muache hapa hapa
@Allybinamour
3 ай бұрын
kweli kabisa
@ZaidHamasiZaid
3 ай бұрын
Waziri Silaa na RC Makonda kwa sasa ndio nyota katika Tanzania yetu bila kumsahau Waziri Mkuu Majaliwa, Rais wape Mauwa yao
@silverman6930
3 ай бұрын
Kabisa mkuu
@chire4574
3 ай бұрын
Majaliwa uongo
@MinskBelarus-il2tl
3 ай бұрын
Hapo kwa Majaliwa....... umefeli. Ana mda gani katika Wadhifa huyo,na amefanya mangapi katika mda gani????? 1.Slaa ,2.Bashe ,3. Makonda,4. Kwa mbaaaaali sana Chalamila anaanza
@MACHOYATAI-jk6fu
3 ай бұрын
Majaliwa hamna kitu watu ni hao wawili kweli slaa na Makonda
@dorahmushi-we6ts
3 ай бұрын
Majaliwa pia ni jembe, ni mtaratibu lkn anavyo vitendo
@ImeldaIsdory
3 ай бұрын
Big up sana Mheshimiwa Waziri Silaa. Matatizo yapo kila sekta wote wawajibike. Wananchi tuna shida nyingi.
@kayombotv9758
3 ай бұрын
Hongera sana Waziri Silaa Mungu akutunze na akulinde.
@MariamWiliam-z8k
3 ай бұрын
Hongera mama samia una majembe flan Sasa iv huangushwi ht kidogo
@CristinLyanga
3 ай бұрын
Mama Samia tafuta na wengine wachapa kazi kama Waziri Silaah na Makonda utulletee huku mikoani' hawa wateule wako wengine bado wameziba masikio kana kwamba hawaoni mfano wa kazi zinavopaswa kufanyika kwa Makonda na Silaah. Mama teua wengine tupndolee hizi kizunguzungu huku mikoani.
@masoudalriyamy6298
3 ай бұрын
Mungu akusaidie mama mungu akuvushe na kila adui wanje na wandani nimtihani wizara ya aridhi ni dhuluma kubwa sana
@SophiaKamgunda
3 ай бұрын
Yaani Mama ktk Serikali yako kea Jelly Silaa na Makonda tumepata Allah kawateuwa
@omarybakunda2554
3 ай бұрын
Samia piga kazi
@afraeliazaelayo
3 ай бұрын
Asante Mh. Rais,Mama Samia Suluhu Hassan,kwa kuona Uwajibikaji wa Mteule wako huyo. Kuna wengine kama watatu wanne,nao wake mama yao. Matumaini ya Wananchi kwa Serikali yao yanarudi kwa kasi kubwa. Sisi tulioko huku mitaani ndiyo tunaosikia na kuona. Mungu Azidi kukupa Maono ya kuwateuwa wengine watakaokusidia.Mungu Akubariki sana Mh. Rais Asante.
@janekapinga6793
3 ай бұрын
Hongera sana Waziri wa Ardhi
@MariaChiwaligo
3 ай бұрын
Kweli kabisa mh. Tunanyanyasika sana shamba letu limechukuliwa na mbabe moja... Tusaidieni jamani
@shariffsagaf2305
3 ай бұрын
Mheshimiwa,tunaomba ziangilie na mahakama pia
@cantiuskabyazirutachulikwa3312
3 ай бұрын
Waziri Jerry Silaa anafanya kazi nzuri kwenye Ardhi Kila Watanzania tunaona .
@rashidkapile
3 ай бұрын
Napenda Kuanza neno,Mtukufu rais wangu Huyu wazili wa khardhi mchapa kazi wa uhakika Jinsi anavyo funatliya matatzo ya alidhi IRA wanao sababisha Sana sana baadhi ya wajumbe wamtaa yani nyumba10 na wenye viti wamtaa Wazo langu kira Mtaa hawa wajumbe selikali wapate rekodi zao
@Emmagmayemba
3 ай бұрын
Mama nashukuru kuwapa saport Silaa Jerry na Makonda Paul. I love you. @ samiasuluhuhassan
@Emmagmayemba
3 ай бұрын
Mama tunataka sabaya
@JUSTINPiniel
3 ай бұрын
Mama mahakama wakiacha rushwa hutakaa uone migogoro ya ardhi
@anoldamkumba3208
3 ай бұрын
Ni kweli kabisa,Mashamba yetu ndo zaidi kisingizio hifadhi
@mussaharun7257
3 ай бұрын
Mh. Jerry Slaa niliwahi kusikia ulisoma sheria. Hakika unatendea haki cheo chako na Mungu akulinde sana. Mh Rais ameeleza vema kwamba ardhi ndio msingi wa kila kitu. Mh Waziri naomba tumia kanzi data na IT kudhibiti uuzaji kiholela kwani ardhi pekee inaweza kuchangia robo ya bajeti ya serikali. Msaidieni mama Samia amewaamini na Sisi tunampenda
@pembemussa2804
3 ай бұрын
Ukiyaangalia haya yanayofanywa na Mh Jerry slaa waziri wa Ardhi wa Sasa Unajiuliza wale watangulizi wake wakina Mh LUKUVI walikua wanafanya kazi gani?😢
@MinskBelarus-il2tl
3 ай бұрын
BINAADAMU 😢😢😢😢😢😢Tulimtukana saaaaaaana MAMA SAMIA, leo Allah "ANATUUMBUA"
@MehmetMtonga
2 ай бұрын
Kweri kabisa yupo vizuri naamwonei mtu
@omaryyusuph7877
3 ай бұрын
Yaaani mama kwa waziri slaa umeupiga mwingi sana namuekewa sana huyo waziri
@RomanMwinyi
3 ай бұрын
Ivi mueshimia laisii kwa nn ume ajilii viongoziii jelii sila na makonda kwa nn viongozii wengine awa fanyii kama awa watu nao niviongozii kama wao tatizoo nn mama watoe awa viongoziii wa ovyoooo
@josephmoses5406
3 ай бұрын
Tatizo la Migogoro Tz Kwa sasa kubwa zaidi ni Rais Samia
@halimaa9367
3 ай бұрын
Mungu ibariki tazania
@gracekaboigora189
3 ай бұрын
Ila na safari zinakuangusha, unasafiri Sana sana
@MrishoHussein-oz9nr
3 ай бұрын
Mh Jerry silah pambana mmungu atakulinda elekea Bagamoyo Kuna zulma kubwa sana ya ardhi Yani huko Bagamoyo manyangau wapo wengi
@komboomar8275
3 ай бұрын
*Waziri amejaliwa hekima, heshima na huruma Allah ampe afyah njema huyu ndie waziri bora wa hii wizara kutoka tanzania ijulikane duniani*
@Allybinamour
3 ай бұрын
huyu wazir anatekeleza wajibu wake inavyotakiwa hasa, mama namuomba mama awambie mawazir wengine waige mfano kwa wazir huyu
@husseinshabani1637
3 ай бұрын
Mama angalia kuna watu Wananunua ardhi na kujenga kwa bidii Sana na kwa jashoeletu kuna Sisi tulio nunua na kujenga kupitia hizo hizo hati za umiliki na uuzaji na tumejenga kwa nguvu zetu na kwa jasho letu tuangalieni pia
@AngerusLijuja-bg6sb
3 ай бұрын
Mama KWA HAWA VIJANA umerenga sahihi
@dorahmushi-we6ts
3 ай бұрын
Mama usimsahau pia Makonda Chalamila, Happy na Waziri mkuu Majaliwa, kuna mkuu wa Wilaya mmoja namuona ameanza kazi ....uongozi ni kazi sio kusinzia ofisini
@piusmaduka
3 ай бұрын
Toa waziri mkuu hapo labda wa enzi za jpm ila sio sasa
@sabikamanji2521
3 ай бұрын
Mpendwa Wetu 0:00 God Blees You All ❤️❤️❤️
@saidmpunga-en6pf
3 ай бұрын
mama kazi hiyo anaiweza makonda anafata haki pia anawasikiliza wananchi wenye kipato cha chini watendaji wako wa ngazi za chini hasa madiwani na wenyeviti wa mitaa
@ballackenock
3 ай бұрын
Nyinyi Rai TV,mnatupostia habari za zamani ili mfaidike na nini?,tunatumia bando,ridhikeni na mpatacho
@SaidJangoli-hr7ww
3 ай бұрын
Na pemba pia Yako hayo njooni mupite mitaani wanyonge hawana sauti huku plz sera ya chama Cha mapinduzi isikamie kote tunataka
@nsiamasawe4578
3 ай бұрын
Sasa mama kama hamna kuongeza kijiji, ranch ya Ruvu mbona tumegawiwa na hela tumetoa siyo ndiyo tutaishia kuzulumika?
@FrolaMkolo
3 ай бұрын
Ila makonda ndo anakusafijia njia usimufumbie macho mama watanzania wanaona
@sabikamanji2521
3 ай бұрын
Very True
@abdallahomary515
3 ай бұрын
Baadhi ya hao watendaji wanakuchafua mamaetu, sasa kua mkali kidogo, wape maagizo usiwaambie kama nawaomba mkafanye hiki,
@kostajoseph5811
3 ай бұрын
Rais wetu UNATOSHA hongera kwa timu nzr uliyoiweka kazi inafanyika chini ya uongozi wako
@Teddy-z4i
3 ай бұрын
Wew mshambaaa
@kostajoseph5811
3 ай бұрын
Dhibitisha ushamba uko wap
@abuilmailma3534
3 ай бұрын
Mama kama hujataja ya Makonda tunanungunika mama.maana nikama hujaona anacho fanya huko Arusha jaman
@martinabayyo9982
3 ай бұрын
Amemtaja ila tu kwenye kichwa Cha habari hakuandikwa, makonda na jery ni shida wengine wote walala hoi na walarushwa
@davidbochela1441
3 ай бұрын
Agizo la mama ni makini,tatizo ni Papara kwenye maamuzi.....
@christopherclement4159
3 ай бұрын
Mama nimekuelewa mama pongez sana
@gracekaboigora189
3 ай бұрын
Mama slaa ni chaguo sahii kwako
@lawrencegwerino1656
3 ай бұрын
Muheshimiwa viongozi wanaofanya makosa wasihamishwe kuperekwa mahala pengine.wafukuzwe kazi na wafunguliwe mashitaka ..
@Emmagmayemba
3 ай бұрын
Waongezee ulinzi Silaa na Makonda
@joscamwoshezi2986
3 ай бұрын
Hakuna nchi hata moja inayogawa hela mfukoni,kazi ya serikali ni kutengeneza miundo mbinu watu wapate urahisi wa kufanya kazi na kuboresha maisha yao. Na ndicho kinafanyika.
@FrederickThadeo
3 ай бұрын
Muheshimiwa raisi mwanasheliya mkuu jaji mkuu wameshindwa watafutie kazi Zanzibar kwenye utali Wana hela
@mahijayusuph8186
3 ай бұрын
Tukilima ngombe wanakula. Tukilima tunauziwa mbegu na madawa feki ya kilimo mtihani mama tunao
@johnmichaellukindo21
3 ай бұрын
Kama anavyofanya makonda
@elizabethmassi7327
3 ай бұрын
Mama hapana walisema wasio na furaha Tanzania ni ya 4 kwa wasio na furaha ,sasa wewe unasema wenye furaha rudia kuisoma tena mama.
@TitoRufizi-xb2ub
3 ай бұрын
Rais hayo maelekezo unayo wapa viongozi wakitoka hapo yameishia hapohapo,huwawajibishi ndo maana wanafanya wanavyojisikia
@FrolaMkolo
3 ай бұрын
Mama Sasa nakuelewa kipita maelezo kura nakupa na ntakufanyia kampeni Hadi mtaani kwangu mama kweli wewe ni mzazi
@gracekaboigora189
3 ай бұрын
Mama jitahidi, uwe unachunguza kwanza, angalia mtu wa simiyu, uwe na historia ya mtu
@FahmiNassor
3 ай бұрын
Jerry slaa amekuwa mtetezi wa aridhi,sasa mama mteuwe makonda viti maalumu umpe wizara ya afya sababu imejaa rushwa mtu wakuimudu hiyo wizara hakuna kama makonda
@sikitujuma4866
3 ай бұрын
Uyo komba ni tapeli miaka mingi
@gracekaboigora189
3 ай бұрын
Wengine walikuwa wapigaji
@gracekaboigora189
3 ай бұрын
Kiasi kwamba tanzania unaijenga nje
@maharagendondo
3 ай бұрын
MAMA, HAYA YAPO MBONA MENGI TU WABABE WENGI WANATUONEA NA HUKO JUU NDIO HAOHAO TU RUSHWA
@UmmuJauzan
3 ай бұрын
Unampongeza sawa lakini mama tunakujua utambadilisha asahivi kwa maslahi ya watu, kama ilivyokua ka suleiman jafu tamisemi alimudu sana gaf A mkamtoa, mana unakiri mwenywe migorgoro nimingi ya ardhi, aje huku kwetu mkuranga haisemeki nawenywe viti wa mitaa vitongoji ndo wanasababisha, huyu slaa amevaa uhalisia hasa,
@AhmadaHassan-gy5uj
3 ай бұрын
Wakuu wa mikoa mingine mmesikia? Mnamuachia makonda na silaa tu
@gracekaboigora189
3 ай бұрын
Mama tunaomba umwache slaa hata miaka 10
@AbdulmujibAhmed
3 ай бұрын
Tunafuraha gani mama maisha magumu
@Mumewangu
3 ай бұрын
Enzi ya magufuli yalikuwa rahisi
@awatifalghanim1106
3 ай бұрын
😂😂😂 Kishakufa sasa unasema enzi ya Magufuli maisha rahisi. Wacha uongo. Sema ukweli au nyamaza.
@FestoKalenga
3 ай бұрын
Mtu wa maana kabisa
@kilogreekachananawatuwasio4054
3 ай бұрын
WATU MISHIPA YA ULUMA NA YA AIBU AWANA KABISA MATAPELI WOTE WEZI WATUPU 😂😂😂
@ImeldaIsdory
3 ай бұрын
Mheshimiwa Rais. Watu wako tuna shida sana, watu tunadhurumu tukidai tunaambiwa twende Mahakamani. Wenye pesa zao hawana utu.
@AlAl-sd9pl
3 ай бұрын
Mpaka sasaiv mama bado moyo wangu unavuja damu kiwanja changu mwaka wa 5.huu nazungushwa na mimi ni single mother nahangaika kwa ajili ya watt wangu nisaidie mama nipo tanga
Mama yangu aende nani akasimamie wewe mama amka jalibu kuwatembelea wananchi wako wanalia zuluma nyingi mabalabala mengi hayapiteki kama balabala za kimara kin,gongo niaibu tupu haifai kuse sasa wewe mama yetu umelala tu huku sisi wananchi wako tunalia na mengi
@MACHOYATAI-jk6fu
3 ай бұрын
Umeisha uza kilakitu maliasili zote umenyang'a masai ardhi sasa unawajaza ujinga umechukua mikopo korea umepeleka zanzibar tulipe tanganyika MUNGU anakuona wewe jiongeleshe tuu
@kakaaignas3675
3 ай бұрын
Big up
@MACHOYATAI-jk6fu
3 ай бұрын
Bora Makonda awe raisi yaani kila kukichamaliasili za tanganyika zinauzwa!!! Kunajengwa zanzibar
@tanzcanmediatv4473
3 ай бұрын
Sasa wewe si ndio rais yaani unanichekesha unawaachia hao
@maclaudismail6606
3 ай бұрын
Ubongo wako mdogo
@hassaniabdi3991
3 ай бұрын
Mama wachapa kazi wanao tatua kero za wanachi hapo kwa hapo ni Jerry slaa na paulo makonda awoo ndiyo majembe.wengine akuna kitu zaidi ya kusema tunaunda tume.sasa wataunda tume ngapi nchi zimaa.mama weka wachapa kazi imara sioo wakaa ofisini.angalia umemuondoa makonda uwenezi ivi sasa CCM imelala.elewa kua Kuna wengine wana vipaji vya kuongea na raiyaa
@emmabrownmissana6996
3 ай бұрын
Mapichapicha
@saiditasher8362
3 ай бұрын
Tatizo wewe mama autoshi
@Mumewangu
3 ай бұрын
Kumamako hakutosheka mama yako kwa baba yako akatoka nje akazini akakupata wewe.
@komboomar8275
3 ай бұрын
Muongeze na mama yko
@EdnaMbowe
3 ай бұрын
@@komboomar8275😅😅😅😅😅😅😅
@fatmaabeid1155
3 ай бұрын
@@komboomar8275umejua kumjibu ndg yangu umenifurahisha na jibu lililojitosheleza haswaaa umemkomeshaa
@omarybakunda2554
3 ай бұрын
Mama yako hata mm nilimpima kina chake ni kweli hatoshi
Пікірлер: 117