Ma shaa Allah anajitahidi sana. Viongozi wangefanya kama afanyavyo huyu Wazir tungekuwa vizuri sana. Allah ajalie asibadilishwe
@consorathajames2693
3 ай бұрын
Nduguyangu mh waziri sijutii kupoteza bando langu kwenye hutuba zako Mungu akulinde zidi ya mijitu yenye roho mbaya
@johnmalembo6464
3 ай бұрын
waziri wangu.....Mungu asikuache..... Kuna mengi najifunza kwako....kesho Yako ni njema.....iwe heri hata uwe Rais
@user-ee9my3ye2o
3 ай бұрын
Jelly? Ni nani huyo 😢
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
@@user-ee9my3ye2ojery😅😅😅😅😅 sio jelly😅😅😅😅😅
@HassanNdarama
3 ай бұрын
Silaaa kweli 😂 big up ❤
@personalitiesan9806
3 ай бұрын
After mama Samia kustaaf huyu jamaa anafaa kuwa president wetu
@thomastemu3332
3 ай бұрын
Kabisa akachukue form kura atapata na waziri mkuu awe bashungwa.hawa mawaziri wanajituma sana
@shabansumaiya4770
3 ай бұрын
Uraisi sio lele mama
@khamisjuma1278
3 ай бұрын
God bless Jerry slaa
@idrisadalluc4498
3 ай бұрын
Waziliwangu slaa uko vizur sana na unapendeza kua rahisi WA taifa na Kuna sifa ya Kila kitu nakwambaaaali kama mwalimu nyelele
@user-uh7to2kw2z
3 ай бұрын
Nakuombea dua miaka ijayo Uwe Rais wetu 🙏♥️
@muhsiniissa8151
3 ай бұрын
Watu wanaonewa Sana,,sisi tulivunjiwa mbogo Yani nchi hii Kuna watu hawamuogopi Mungu
@thomastemu3332
3 ай бұрын
Jamani maguful amerudi Jerry slaa.. anafanya kazi nzuri sana
@RamadhaniRamadhani-yd4hq
3 ай бұрын
Jamani jery slaa atakuja kua rais was nchi tumuunge mkono hana janja janja ananyooka vizuri
@brigethsauzand3926
3 ай бұрын
Waziri Jerry Mungu akuepushe na wabaya umeheshimisha serikali na aliyekuteua
@user-ff1pj3wx9t
3 ай бұрын
Mungu alinde waziri wetu
@ullymwaipopo398
3 ай бұрын
Hongera Mkuu wa Wilaya kwa maana umepata wasaaa wa kumwambia huyo binadamu ambaye ni kiongozi wa watu. HAKIKA ANAMTENDEA HAKI MTU ALIYEMTEUA. Busara zake ni za hali ya juu.
@jeanmusamba8448
3 ай бұрын
kazi nzuri Jerry mwanasheria ninaye mwamini kasema uko sawa,good job sir keep it up,I
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Hata lukuvi alifanya sana akiwa na magufuli
@dismaslalubare4196
3 ай бұрын
Slaa mauwa yote Tanzania yakatwe apewe.....kama mtu anabisha anyooshe kidole
@susananyasani6526
3 ай бұрын
Hongera sana msemaji munayo haki ya kuishi mnavyotaka nyingi ni Watanzania
@NardhisMhagama-sy3eq
3 ай бұрын
Bunge Lina KAZI gani mbona hamueleweki Kuna bunge kweli mtakosa NCHI harafu mtajuti tutakosa wooote
@NardhisMhagama-sy3eq
3 ай бұрын
Ipo siku hawa wanao lalamika na nyinyi MTA walalamikia gem litageuka hamta amini
@emanuelmaraki9758
3 ай бұрын
Jamani nchi hii Kila mahala kilio Cha arithi tatizo ni nn
@Amageneousmedia
3 ай бұрын
tatizo ardhi
@nassercurtis9579
3 ай бұрын
@@Amageneousmedia😂😂😂
@nassercurtis9579
3 ай бұрын
Tatizo tamaa uchoyo na ubinafsi.
@salimmalaka256
3 ай бұрын
TATIZO DHULMA WANAONA SIFA.
@lukomanomaliki5442
2 ай бұрын
Huyu dada ni kiongozi mzuri.Anaonekana ana hofu ya Mungu.
@user-gn8zs4qx2y
3 ай бұрын
Huyu jamaa tuache siasa ni mzalendo kweli
@NardhisMhagama-sy3eq
3 ай бұрын
Ccm ndio Wana uza harafu wanajifanya Wana suruhisha
@mejamiela7436
3 ай бұрын
Piga kaz kaka
@kilogreekachananawatuwasio4054
3 ай бұрын
Watu wa Alizi majambazi wa mueza Hutashangaha walibifu wezi baada ya kufukuzwa Watabadiliswa mkoa kuedelea na wizi na Ujambazi 😂😂😂
@mrnassorali667
3 ай бұрын
Mh waziri upo vuzuri ila magodani kuna iyo shida tangia 2017 na magufuli alsema wapewe ardhi yao akipo kufa tu wamepora kwakweli ukawasaidie washauliwa watu wengi na wengine ni wakemavu sasa kuna muekezaji ndo amewazulumu ivo
@shabansumaiya4770
3 ай бұрын
Tatizo laviongozi kama hawa mawaziri wakishaapishwa wanaanza vizury baadae huaoni
@George-jz3jg
3 ай бұрын
Bwana Jerr slaa huku kwenye aridhi upo vizuri ila nakuomba ukafute utetezi wako wa uuzwaji wa bandari zetu kwa Dp Word
@salehesalehe2967
3 ай бұрын
Pimbi wewr
@adanfarah2080
3 ай бұрын
DP World is owned by emanates, it controls many ports including Yemen, Bosaso & Berbera, Djibouti etc, their biggest objective is to undermine their growth so that they don't take business away from Dubai, Dar is lucky because in other countries they corrupt officials and at times use violence, in Yemen and Somalia they have formed mercenary armies made up of Chadians, Colombians etc
@hildagabriel1003
3 ай бұрын
😂😂
@zebedayokatamaduni9676
3 ай бұрын
@@salehesalehe2967. Na wewe pimbi
@raphaelonyango703
3 ай бұрын
Heri yako mkuu wewee unawatetea wanyonge wakuu wengine wanapambana kumkabili mnyonge mfano makala na gondwe wanajua ni wapi na mbunge wetu kashindwa kututetea wapiga kura wake tutakutana mbele ya safari.
Пікірлер: 47