Unaweza kushtuka kidogo ukisikia Waziri wa Mafuta wa Oman kaongea Kiswahili fasaha tena bila kuchanganya lugha nyingine yoyote... yes, imetokea leo IKULU Dar es salaam baada ya kukutana na Rais Magufuli, tazama hii video umuone vizuri.
Video kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano IKULU.
Негізгі бет Waziri wa Mafuta wa Oman alivyolonga Kiswahili kama Mbongo IKULU
No video
Пікірлер: 940