WAZIRI ZANZIBAR AZAMA NA SUBMARINE HADI CHINI YA MAJI, AIZINDUA RASMI, NI KWA AJILI YA WATALII
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mheshimiwa Simai Mohamed Said amesema adhma ya Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ni kushirkiana na taasisi binafsi katika kuimarisha ukuaji wa Utalii na kuchoche uchumi wa nchi
Waziri Simai ameeleza hayo wakati akizindua Nyambizi (Submarine) ya kubebea wageni na wenyeji kwaajili ya kufanya shughuli za kitalii chini ya maji na kujionea mandhari ya bahari ya Hindi katika visiwa vya marashi ya karafuu Zanizbar
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Негізгі бет WAZIRI ZANZIBAR AZAMA NA SUBMARINE HADI CHINI YA MAJI, AIZINDUA RASMI, NI KWA AJILI YA WATALII
Пікірлер: 4