Wimbo huu unaenda kwa jina la WE ARE THE SAME umeandikwa na mtumishi wa MUNGU Paul Clement na mke wake Anna Clement kutoka Tanzania, Na amewashirikisha waimbaji wenzake wa injili The Voice,Angel Magoti,Calvin John,Zoravo,Joel Lwaga & John Kavishe. Na pia walio itikia ni Rebeca Lyanga na Anna Clement.
Music arrangement imefanywa na Joel Alfred.
Na imefanyiwa mixing na John Marco.
Na imerekodiwa katika studio ya Fisher Records.
Video Imefanywa Na Sylvester Daniel.
Lengo la wimbo huu ni kutangaza na kuhamasisha Amani katika bara la Africa.#PaulClement#WeAreTheSame#xenophobia.
Негізгі бет Музыка We Are The Same - Paul Clement Ft J.Lwaga,A.Magoti,C.John,Zoravo,J.Kavishe and The Voice.
Пікірлер: 162