Ndacha mungu akubariki sana yaan unajua bibilia na quani mpka umewashida hao wanajita wakubwa na wanasoma vikaratasi ee hakika nakuombea kakangu mungu akulinde
@emmanueltoroitich8244
Жыл бұрын
This guy ndacha must be God's sent servant, be blessed man
@frankkikambako9281
Жыл бұрын
Mtueleze Uislam umetajwa kwenye vitabu gani vya zamani. Acheni maneno mengi.. Ndacha umetufungua macho, masikio na akili. Nakuombe kwa Mungu azidi kukupa umli mrefu zaidi. 🙏
@saumodzumbo9671
Жыл бұрын
Kwani huna maskio toka ianze hii madha ulikua wapi
@countercheck887
Жыл бұрын
Mwalimu Ndacha Mungu akubariki na akulinde
@rosemutinda3076
Жыл бұрын
Sijawai Ona Mwenye kiti Muislamu mngwana Kama Huyu.Inshallah atabatizwa
@ezekielmwamba9106
Жыл бұрын
Mwalimu Ndacha Roho wa Mungu aendelee kukuongoza na ninaendelea kukumbuka kwa maombi. Mafundisho yako yanaeleweka vizuri sana
@DavidBarasa-jo9kt
3 ай бұрын
ubirikiwe sana mwalimu ndacha wafunze wajue.
@rashidgona1808
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha unafaa ubaki mwezi mzima Mombasa utaokoa wengi sana
@beyondsavanna6028
Жыл бұрын
Natamani Kua kama Ndacha walahi..!
@kananisarafe8582
Жыл бұрын
Na mimi pia nataka kua yeye.
@deuseden9787
Жыл бұрын
Ndacha mungu akubariki 🙏
@ZachariaOino
Ай бұрын
Kwa kweli mungu akutende mema kwa kazi nzuri unayoifanya ndacha pia nimembarikiwa tu sana❤❤❤❤🙏🙏🙏
@navokisembo
Жыл бұрын
Ndacha Mungu akuweke yaani how you knoe biiblia and u are beyond amazing how you can devower quraaan like lion devowering the beast!!!!!
@jacknicksrepha1553
Жыл бұрын
Ndacha amekula both Bible na quran
@obedkipchumba8182
Жыл бұрын
The gent had sufficient time
@robertomoi7386
Жыл бұрын
Asante ndacha kwa kazi hunafanya kwa kutumia mungu, hepo kujeni Eldoret estete ya kipkaren hutubirie neno la bwna
@obedkipchumba8182
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu nyingi ufanye kazi yake Bwana Ndacha.
@obedkipchumba8182
Жыл бұрын
May God lead and protect your ways.
@eunicebaya1378
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha Mungu akubariki akizidishie umuri uzidi kulimisha watu
@isaacwafulah1530
Жыл бұрын
Nimempenda mwenye kiti jinsi anavyoendesha mkutano.. Naomba siku moja tukutane mbinguni
@hayman9
Жыл бұрын
NDACHA NATAMANI KUKUONA KESHO HAPO FERRY THANK YOU VERY MUCH WAFUNZE HAWA WATU.
@calebsagwe1149
Жыл бұрын
Pia mimi kesho naja
@mpmp3195
Жыл бұрын
Eti debe😂😂😂😂🇧🇮 yesu yesu nagupenda wakristo.tujuuane🌹🌹🇧🇮😂😂😂❤️
@chimamy6071
Жыл бұрын
Mungu akubariki mwalim ndacha
@Kaveke15
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha njoo lamu
@denisnyambane4378
Жыл бұрын
mwalimu ndacha tunaomba utufundishe neno sehemu nyingine pia angalu wakati mmoja juu nakufuatilia sana
@theophilwhiteheart1997
5 ай бұрын
Mwenyez Mungu akujaalie maarifa zaidi mtumishi wa Mungu ndacha🙌🏽
@monicahnguta135
Жыл бұрын
This is very peaceful. 👍
@nathanch7766
Жыл бұрын
Waaaah! Ndacha ni heavy weight💪💪....Huyu sheikh ameona moto imebidi referee aingilie Kati.😂😂😂😂
@saumodzumbo9671
Жыл бұрын
Mashaallaah watabarakaallah allah awaongoze vyema ndugu zangu waislamu ❤❤❤❤
@mimbamimbz3990
Жыл бұрын
You are an inspiration Mr Dacha,God bless you
@DavidBarasa-jo9kt
3 ай бұрын
mwenyeki tunakukaribisha kua mkristo
@rashidhemedi7630
Жыл бұрын
Mwenye Kiti kazi mzuri, huyo mwAlimu wakislamu sijamkubali mbona anatuangusha?
@junicnamuwenge6957
Жыл бұрын
Amina Bwana yesu asifiwe 😂🤣🤣🤣❤️🇸🇦🙏
@hellenfervord3285
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha all the way 💪💪💪💪
@SamuelngugiNjeri
Жыл бұрын
Wow I would like to join this time....may God open a way
@MarkoEvariste
Жыл бұрын
Asanteni sana kwa walimu wote wa pande mbili. Mwalimu wa ndugu zetu wa Waislamu, kuanzia kwenye dakika 53 (alipo karibishwa tena) Msomaji aliongea katika Biblia ikipatikana neno DINI atakuwa Mkristo na Mwalimu akakubaliana naye. Maandiko ni mengi ila nitachukuwa mawili tu, kuna 2 Timotheo 2:16 na Yakobo 1:27, kuna neno DINI
@chimamy6071
Жыл бұрын
GOD bless you mtumishi ndacha
@Last403
Жыл бұрын
Nancha karibu Tanzania huku wakina Mazinge wanatusumbua bado
@rachealnazi9115
Жыл бұрын
Yani huyo sheikh yua ropokwa ili amalize dakika zake na hakuna cha maana yuaongea 😁😁😁😁😁😁😁
@delicmkb9483
Жыл бұрын
msidanganyike enyi wakristo lijueni neno kwa kujisomea sura nzima ila isiwe mstari mmoja
@charlesmakuri792
Жыл бұрын
Ndacha uko juu mawinguni hao vi Islamic uchwara havina hoja kuusu uislam kuongea ndani ya quluan tu na ilianzishwa na mohamed na MUNGU hajawahi kuongenae wala malaika kuongea nae na hii ndioutaona anajipigia debe mwenyewe
@passlinemedia6657
Жыл бұрын
Sheikh hana direction aokoke
@mwambinguphilip55
Жыл бұрын
My people ndacha and paul may God be with you always
@japhetndoro6533
7 ай бұрын
Ndacha akosawa kabisa barikiwa sana
@muemastephen5980
Жыл бұрын
Mwalimu wa kislamu kazama , thanks to the chairperson for being good moderator
@aliabdallah8456
8 ай бұрын
Walimu wa kiisilamu Ndacha asoma qruani kwa ujanja ujanja na anatabia ya kutomaliza haya na anatabia ya kutafuei qruani kwa uongo kwanza ukristo siyo dini ubabaishaji tu
@husseinguyo4929
Жыл бұрын
Huyu kafiri ndacha anajua wazi kristo si dini kakini kwa vile analipwa hataki kufuata dini ya ukweli ambao ni uislamu, kama unaona ukristo ni dini leta andiko inayosema ukristo ni dini ya haki mbele ya mwenyezi mungu
@mosesmutharimi5837
Жыл бұрын
Mungu akibariki ,ulikuja meru siku moja afu ukatoroka
Mwenyekiti pokea salamu kutoka Oyugis Homa Bay.Wewe ni mtu mwema
@monicahnguta135
Жыл бұрын
Kwa YESU si Hami wale wanao fuatilia CHRISTIAN PRINCE kwa u tube waislam wanaokoka kila siku pale Yesu ni njia kweli na uzima.
@CollinsMurangiri-kc5zn
Жыл бұрын
Sda iko wapi likoni???plz
@johndeogratias2543
Жыл бұрын
Karibu Morogoro mwalimu ndacha
@john.waiganjo3737
Жыл бұрын
Mungu akubariki saana
@scholarahips
Жыл бұрын
Naunga mkono hoja
@markokadzenga5632
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha tunakualika mji wa malindi pale mahali ukaja hubiri wewe na paulo, tafadhali njooni kuna jamaa anaitwa mazinge kuja unamjua wewe Sasa hivi amehamia malind njoo unyoroshe uyu
@rosemutinda3076
Жыл бұрын
#MarkoKqdzenga,Mazinge hawezi kubali kudebate Ndacha.Ndacha alimnyorosha Tanzania akaogopa.
@rashidhemedi7630
Жыл бұрын
Mazinge yupi bro?
@jamessadick5793
Жыл бұрын
@@rashidhemedi7630 wewe wamjua yupi?
@kijanamwepesi6997
Жыл бұрын
😂😂😂😂 mnamtambua mazinge vzri nyny🤣🤣
@dadamuebrania1539
Жыл бұрын
@@kijanamwepesi6997 Mazinge comedian
@BingwaWote
Жыл бұрын
Waafrica wanajiona waarabu 😂😂😂😂
@ptechn6184
Жыл бұрын
ndacha ndacha ndacha 🤣🤣🤣
@obedkipchumba8182
Жыл бұрын
Man of God. May he live to proclaim it
@mishiathmani6055
Жыл бұрын
Ndacha kiboko yako ni Athman mazinge Allah mjalie umri na afya njema
@kijanamwepesi6997
Жыл бұрын
Ameen
@ejensonjohnson5209
Жыл бұрын
Mazinge humuweza ndacha kwa kelele na sio kwa hoja
@saphinalutaha9077
Жыл бұрын
Ndacha Leo amewapata wasiokuwa na elim anawaonea😂😂😂😂😂
@kibweesperant9590
Жыл бұрын
uyo mwalimu amekwepa swali
@KelvinMwongera-b6o
Жыл бұрын
🎉Mungu akulinde
@aggreyomusikoyo
Жыл бұрын
Aky c huyu shekh ametapakatapata ndeche ubarikiwe sana kwa kutufunua macho
@paulduke6712
Жыл бұрын
Hasnt ko elimu ndacha MUNGU akubariki
@sirajiatibu3232
Жыл бұрын
Jesus is the way also Muhammad is the way Surah 12:108
@kibweesperant9590
Жыл бұрын
Lakini nimeona mwalimu wa kiislam hajatuliya bado
@saphinalutaha9077
Жыл бұрын
Ndacha acha kupotosha watu wapi mlipo ambiwa msali j mos sio kla anae muita mungu baba ety ni baba yake 😂😂😂😂😂
@yvonnesarah3534
Жыл бұрын
JESUS IS THE WAY
@janaleokesho8374
Жыл бұрын
Strong 💪🏿
@STEPHENAUNGO
4 ай бұрын
Kwani Refaree amebet hapa? Mwenyekiti sasa anawasaidia Waislamu kuuliza swali
@frankkikambako9281
Жыл бұрын
Mutueleze walevi wa zamani kabla ya Adam ni kina nani acheni maneno mingi hapo..
@francismuriki7851
Жыл бұрын
Mwenye kiti mungwana huyu nimempenda
@jimmasieka6859
Жыл бұрын
Mwenye kiti ni wa haki na abarikiwe. Natumai atakua mkristo siku moja
@mwanashagladys4581
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hajuwi kusoma walae
@mosesmutharimi5837
Жыл бұрын
Jibu swali aki shee
@saphinalutaha9077
Жыл бұрын
Mtume anahaki yakusema hajui kwasababu mitume hawafai kujsfia 😂😂😂😂 ndacha hauwez kuushnda uislam ukrsto wenyewe umewashnda kuuweka sawa mtauweza uislam mara j2 mara jmos 😂😂😂😂 mnamusgzia masih hajawafundsha ayo
@vincentkitiya3020
Жыл бұрын
👏👏👏
@mwambinguphilip55
Жыл бұрын
Yani hata huyo si mwalimu Ana mwalimu wake pia waaah
@johnwamuti2210
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha ulitoka kwa wasabato unawaita babeli na Mungu alisema kamwe kanisa lake lisiitwe habeli...unafunza ya kwamba hamna trinity ilhali iko! Ndacha chunga usifunze vyema hivi mwishowe kapotea ..mimi ni mu SDA
@obedkipchumba8182
Жыл бұрын
Ndacha anaweka wazi ,,
@kennedywekesa6013
Жыл бұрын
Ndacha umezamisha feri la Muslim kabisaa hata manusura hawapo
@hassanimouigni6648
Жыл бұрын
Ndasha una wadanganya wenzako
@walugoivan
Жыл бұрын
Pr ndacher atafadhali naonba ukuje ug
@georgemayuya2127
10 ай бұрын
Jenye nimepata Leo Islam unapatikana kwa Mohammed pekee. Mana bii hawakuutambua
@issackabdi7001
Жыл бұрын
Mungu anauwezo wa kuokoa ndacha katika jahanamu
@samutykuntathebantu8402
Жыл бұрын
We enda uwokolewe toka kuwa mwislamu wamajini wewe
@issackabdi7001
Жыл бұрын
@@samutykuntathebantu8402 yesu sialijaribiwa na sheitani mpaka akafunga siku arobani😂😂😂 ...leta andiko moja ukiristo dini ya mungu
@passlinemedia6657
Жыл бұрын
Huyu ref ameingia kwa kiwanja kucheza lakini anapayuka sana
@halimaomar3280
Жыл бұрын
Na wewe ndacha unajua utakachofanyw a si ni Mungu tu ajuae
@kiumbekiumbe4711
Жыл бұрын
Fix the mic
@danielkiberi5255
Жыл бұрын
Shee Rudi shule kindly
@samwelsamiji6593
Жыл бұрын
KWAIYO WALE WANAZALIWA NA VIDOLE VITATU SIO WAISLAMU.
@estherkiptoch3329
Жыл бұрын
The Muslim teacher is very sketchy, anaongea Hadi anaishiwa maneno, good presentation though
@danielsaimoni9140
Жыл бұрын
Nataman kua Kama dacha
@imakubari-ko8du
Жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@issackabdi7001
Жыл бұрын
Hakuna nabi mkiristo 😂😂😂😂
@JamesOdhiambo-wu2pj
10 ай бұрын
Nacha ulimeza maandiko
@jamesbirya9824
Жыл бұрын
Njoo hubiri huku malindi
@dullahrashid3321
Жыл бұрын
Ndacha anawapoteza sana kazi yake ni vichekesho tu lkn hajatoa sehemu yoyote kudhibitisha kua manabii walikuwa dini ya kikristo kwa biblia mwalimu wakiislam yy ametoa na kudhibitisha manabii wote walikua waislam kwa ushahidi wa Qur'an hebu jaribuni kuelewa mada sio kushabikia mtu ambaye anawapoteza
@bilo1106
Жыл бұрын
Na ndacha anavuruga wasio na elimu tu..lkn wasuburu wafee ndio watajua na tena watajua.
@abubabakartsuma5678
Жыл бұрын
Huyu jamaa hajibu maswali anapoulizwa
@erickmaisha4773
Жыл бұрын
Toa andiko amesoma vibaya,mwanzo shetani wenu na kasilimu na yeye mwongo 🤔😂😂😂
@abubabakartsuma5678
Жыл бұрын
@@erickmaisha4773 Toa andiko shetan kuwa ni muisilamu
@obedkipchumba8182
Жыл бұрын
Hukuisikiliza Na kufuatilia ndugu
@issackabdi7001
Жыл бұрын
Ndacha ....Ramadhani kuria
@hellenfervord3285
Жыл бұрын
🤣
@muemastephen5980
Жыл бұрын
Mwalimu wa kislamu hajieliwi kabisa hivi wanaume na wanawake si sawa not unless huhesabu wanawake kama wanadamu na ndio shida ya kusoma koroani peke yake na kukataa science Kwa sababu wanaume Wana mashimo saba yanayo onekana Lakini wanawake Wana mashimo nane yanayo onakekana besides that the skin got millions of holes called pores through which sweat comes out Sasa mashimo saba Kwa mwili wa mwanadamu ulitoa wapi, Quran is a crap book misleading Muslims
@rashidgona1808
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha unafaa ubaki mwezi mzima Mombasa utaokoa wengi sana
@abubabakartsuma5678
Жыл бұрын
Hakuna kitu anajuwa ni ubishi tu,
@samwelmugweru7653
Жыл бұрын
NGAI too Akurathime nakuhe ugii wama Pastor NDACHA
@saumodzumbo9671
Жыл бұрын
Labda aokolewa yy maana C kwa hali hiyo
@samkabayiza6212
8 ай бұрын
@@abubabakartsuma5678alibisha wapi mbona alitowa andiko ubishi uko wapi ?
Пікірлер: 130