Yaan kama ni maneno yk toka moyon binafsi l wish cku moja muone na Daimond🤲🏻🤲🏻
@janethvalelian889
2 жыл бұрын
Sema kweli mdogo wangu
@neymunisy5935
2 жыл бұрын
I love you wema
@pekmacha6629
2 жыл бұрын
True love never dies if it's meant to be then someday it will trust the process ❤️
@MduduFreshiTz
2 жыл бұрын
Diamond Platnumz amjibu Harmonize
@FashionJr1
2 жыл бұрын
Nice 🙂
@fathmayusuf7445
2 жыл бұрын
Big up sisz
@millycentgati2541
2 жыл бұрын
Wema I love you Sana jamani you are my best lady and my prayers always no upate mtoto
@mariambachubiala7609
2 жыл бұрын
Nataman San mgekuwa mke na mme jamn mgenoga atar Ilove wema nakupenda me nakutaka pia ♥️♥️♥️♥️♥️
@bicharamohamed6681
2 жыл бұрын
big up
@mariamalongo8803
2 жыл бұрын
Ahaa Wema move on wewe mzuri Diamond ana drama nyingi
@yusrahkhassanmunguibarikis5333
2 жыл бұрын
Penda sana wema mungu akubark my dear upate mtt mpnz🙏🙏🙏
@husnaally-e9z
2 жыл бұрын
Mapenzi yakweli hayajifichi
@roseadede
2 жыл бұрын
Move on
@aminasalum2717
2 жыл бұрын
Gea habibu
@nazhakesi4974
2 жыл бұрын
True love never die
@dianarose9262
2 жыл бұрын
Hey mbona hupig
@carentemu9141
2 жыл бұрын
Nc
@minabuelysee8
2 жыл бұрын
Hahahaha napita tu
@user-ns4oj9cw1j
23 күн бұрын
Alichezea bahati yake kwa simba,,,,hakujua simba atakuwa tajiri hivi du,,,anajuta sana zilipendwa
@blackbedatz
Жыл бұрын
Nice
@janviermoise4428
2 жыл бұрын
Good
@lampadshigonko3006
2 жыл бұрын
hv wema kwa nini aliondoa umbo aiseeee😭😭😭daaaah
@benimanzekele9075
2 жыл бұрын
Amekuwa mbaya
@hezronmkepule3800
2 жыл бұрын
Work hard wema
@daudiadamu8338
2 жыл бұрын
Nakubali
@benjaminsaide1247
2 жыл бұрын
Benjamim
@MJ-rr6dy
Жыл бұрын
hicho kiapo cha insta au cha kwa mungu? kwani mwanzo nani aliachwa? na kuwa chizi itakuwa ni kawaida kwa wanaume ambao hawajafikisha miaka 40, kukupa uchizi ni lazima oaneni ijulikane cyo viapo vya insta
@nataliedayana9824
2 жыл бұрын
👌
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
Kwenye pesa ukweli unakaa pembeni kbs
@salmamrembo4360
2 жыл бұрын
Wema wewe sio msichana wewe ni mmama lazima tujikubali jamanu umri nao umeenda alifichiki hilo
@whimsymaverick3057
2 жыл бұрын
Wema sina shida NAE lkn anapoongea ajue kuwa yuko TANZANIA na wanaomsikiliza na Watanzania. Hizo mbwembwe za Kimarekani wateja wa hizo Pedi hawazielewi. Kina Rihanna na wengine ACHANA nao. Kwa ujumla BE REAL. Please!!!!
@bravomwazyunga4641
2 жыл бұрын
Dunia imebadilika hadi makonda ni wasomi mfano mimi Nauza mkaa nina degree Alafu watumiaji wengi wa pads nivijana na wasomi pia na hai affect kitu
@kassidpandu866
2 жыл бұрын
@@bravomwazyunga4641Degree ya kuuza Mkaa inapatikana chuo gani na wp
@bravomwazyunga4641
2 жыл бұрын
@@kassidpandu866 nina doubt na uelewa wako shame on you
@wahabmakame
Жыл бұрын
Wema katikisa kama wimbo wa lizo name tikisa
@patriciahkiio9692
2 жыл бұрын
Huyu nayeye
@Farajahelene23031
2 жыл бұрын
sepenga
@charleskisogole6482
2 жыл бұрын
Vinzur
@stefanokileo1294
2 жыл бұрын
Siwezi kuwasapoti Mana unacho andika sicho kilichopo
@daudiadamu8338
2 жыл бұрын
Ally
@shellybig1617
2 жыл бұрын
Mxiuuuuuu
@agwalubifaridah7079
2 жыл бұрын
Wivu
@SPU_Uncensored
2 жыл бұрын
Hawa warudiane..
@BongoPlus
2 жыл бұрын
ikiwezekana ...ila hawaendani tenah
@gaspergasper9830
Жыл бұрын
Ila uyo manzi kazeeka jaman na hana mtoto 😂😂
@hamissdada8084
2 жыл бұрын
Wema sepetu akiwa mujamuzito
@mrsinia3064
2 жыл бұрын
Wema ni mzur skatai ila tatzo lake hazai 🤔🤔
@scholasticajonathan2534
2 жыл бұрын
And so what if hazai are you God ???
@ashayusuf8381
2 жыл бұрын
🥰🥰🥰
@gracekagoma3231
2 жыл бұрын
Wema ongea lugha moja usichanganye lugha
@sakayonsakihunga3496
2 жыл бұрын
Kasome wewe
@hawakiumbehawakiumbeissa6181
2 жыл бұрын
Nakupenda Sana wm
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Wewe umejikondesha mpaka unatisha uzuri wote kwaheri
@moodyzanzibar4336
2 жыл бұрын
Kwanza hawakuwa Couple WALIKUA WAZINIFU WAWILI TUU NA YEYE ASEME BADO ANAPENDA UZINIFU SIO anampenda Diamond yeye ni Malaya wa Danguro anayependa UZINIFU nakitabu chake CHA List ya Makahaba wezie aliye zini nao Sasa hay tumuachie yeye na MUNGU WAKE
@husnajuma8193
2 жыл бұрын
Wewe mama yako asinge zini wewe unge zaliwa usitulazimishe tuongee
@moodyzanzibar4336
2 жыл бұрын
@@husnajuma8193 WEWE NITAFUTE TUUU
@suzysam6002
2 жыл бұрын
MUNGU anakuona punguza maneno makali kwa mwana wa mwenzio huwezi jua uzao wako utakuwaje
@moodyzanzibar4336
2 жыл бұрын
@@suzysam6002 KWA HIYO WEWE NDIO UNAPEMBEJEA WAZINIFU NA MAKAGHABA WAENDELEE KUCHAFUA ULIMWENGU KWAKUA NI WATOTO WA WATU NANI MTOTO WA MBWA KATIKA WANAADAM????WACHENI KUPENDA DUNIA MKASAHAU AHEARA UMRI WETU NI HAFIFU SANA TUMCHE MOLA
@moodyzanzibar4336
2 жыл бұрын
@@suzysam6002 HAYA NI MAGENGE YA UZINIFU TUU ,HIVI NYINYI KWENYE DINI YENU MNAFUNDISHWA KUA UKAHABA NDIO UFALME WA MUNGU????
@sarahkussa1515
2 жыл бұрын
Ongea kiswahili
@aisharasi4640
2 жыл бұрын
See
@kazinja1tv922
2 жыл бұрын
Kama Huzijui basi ww humjui
@kazinja1tv922
2 жыл бұрын
Unadhani Hatukujui Tabia Zako?
@mesukanku6016
2 жыл бұрын
???
@agwalubifaridah7079
2 жыл бұрын
Mmmh
@rosemarymwakitwange6257
2 жыл бұрын
Yaani hawa ma Star w bongo biashara wanayoiweza ni ya mshoo tu? Hawaonekani kuwa na akili ya mambo mengine ni pedi tu? Wema Pedi, mobeto Pedi, Giggy Money Peddy wenzao kina Zarry wako na GSM furniture na mambo ya akili
@othmansalum4191
2 жыл бұрын
kwan zari hajawah tangaza pads amka ww kwa hio we waweza kataa ubaloz wa k2flan kisa kuna flan anatangaza kaangalie peps inatangazwa na mastaa wangap duniani na takriban wa tano ni wacheza mpira ie Messi nk
@othmansalum4191
2 жыл бұрын
ukipenda kosoa tafuta kosa sahihi sio unakurupuka... siku ukijua hujui ndio utajua
@kassidpandu866
2 жыл бұрын
Mama una Mbwembwe Sana za kuongea unasahau Kama wewe ni Mtz na lugha yako ni kiswahili Badilika
@halimasulaiman3229
2 жыл бұрын
Sasa wewe kinakuwasha nini kazowea kuongea kingeleza mwacheni
@faithvitieka1424
2 жыл бұрын
Tafta pesa tujue Real voice yako shienzii
@Glorydavid248
2 жыл бұрын
Panya buku wewe Fata biashara yako muache mwenzio
@ramlaramadhan8235
2 жыл бұрын
For Goodness sake Tanzania catch up. dunia ime endelea. Leo hi ata wa faransa, wa Germany 🇩🇪 na wa arabu pia wana zungumuza kingereza. Amkeni
@lucysolomon6689
2 жыл бұрын
Hii English nayo 🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆 stick to Swahili babe 😘
@beatabahati9491
2 жыл бұрын
Ako POA sana ....we nfio huelewi....from kenya
@freshamwangishow2117
2 жыл бұрын
Ako sawa kabisa from 254 kama huelewi kizungu muache mwenzako
@saidmadizi9152
2 жыл бұрын
Wema anajua kizungu we ndio kmekuchanganya
@lucysolomon6689
2 жыл бұрын
@@saidmadizi9152 you wish
@emmanueljulius4887
2 жыл бұрын
Kama kingereza kingereza sasa mara kiswahili unatuvuruga hapa tuko bongo wangine hatukusoma tulimaliza shule tu🤕🤕
@immaolui2956
2 жыл бұрын
ANGALIA HII CONNECTION DUUUUH WABONGO HATARI: kzitem.info/news/bejne/0IabnGytkKaFhII
@winniemwenda1595
2 жыл бұрын
Wema anapeda kuongea kizungu na hajui si utumie kiswahili dadangu
Пікірлер: 104