Pole sana luludiva kwa kuondokewa na mama...ila nimependa sana hamisa na wema vile wamekua jaman kama mtu na dadaake wa damu ...I just love them
@annaumugisha5642
2 жыл бұрын
wema muzuri bwana.. pole sana lulu
@ashayusufu1284
2 жыл бұрын
Wema sweet mrembo 💥💥🔥🔥🔥
@mikyfosikama8752
2 жыл бұрын
Mashallah wema, hamisa mobeto yani kama ambae amkotongozwa na mume mmoja hogereni sana
@baimarrajahbuayan6237
2 жыл бұрын
Mashallah umoja ni nguvu Mobeto, sepetu safiii kabisa
@tatyanamousa9736
2 жыл бұрын
Amissa mzur bwan pol sn lulu div mung akupe moyo wasubra nimempenda wema anamfarij lulu div San mung awape upend wadaima allah amlaze mahal pema mama yet allahumma amin😭😭🤲🤲mtagazaj onger
@joselinecherotich4067
2 жыл бұрын
Rip mum my condolences from Kenya pole diva be strong enough
@nurumanyota416
2 жыл бұрын
Bila makeup ni wazuri sana ila makeup wana kuwa kama wazee
@kochamelleh2906
2 жыл бұрын
Umeona, kweli kabisa
@batulimabewa6953
2 жыл бұрын
Hawajiamini cjui kwa nini
@jocelyneinarukundo3655
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@shakylahamad8326
2 жыл бұрын
🤣😂
@faithjonathan3845
2 жыл бұрын
Mbona hawa wadada wazuri sana bila makeup jamani???🤨🤨Hamisa kazuriiii..wema kazuriii..waache vipodozi🥺
@leaherasto929
2 жыл бұрын
Wema mrembo sana
@ashayusufu1284
2 жыл бұрын
Tena sana🔥🔥👑
@helminaanthony1447
2 жыл бұрын
Pole da lulu kazi ya mungu hainana makosa,ila kweli wema anamoyo wa pekee sana nampenda sana wema
@samyranykadogo2684
2 жыл бұрын
Bila unafki wema ni msichana mrembo sana
@rizikiruwa7116
2 жыл бұрын
Pole lulu diva kwa msiba
@teresiamutua4487
2 жыл бұрын
Mungu amtie nguvu wakati huu mungumu luludiva
@omanss268
2 жыл бұрын
Hamisa ni mzuri Sana bila mekup
@queenandchill91
2 жыл бұрын
Mtu amefiwa...wapumbavu wako busy kuangalia kama amepaka make up au hajapaka.....wakati wa majonzi na kuhitaji faraja...Ndo watu huonyesha upumbavu wao...si lazima kusema lolote linalokuijia kichwani kwako...mengine mfunge midomo kama hakuna jambo zuri la faraja la kusema....
@asmaswalleh822
2 жыл бұрын
jaman Wema mzuri sanaaa
@ukhtyrayyan7884
2 жыл бұрын
Katika uzuri hana labda iyo sauti
@asmaswalleh822
2 жыл бұрын
@@ukhtyrayyan7884 ninasema mimi ni mzuri snaaaaaaaa. no Filter no makeup
@abokrarshamsan7963
2 жыл бұрын
Mm binfsi nimefurah kuwaon pamoja wadada wzur kama hv, mungu awape upend zaid🙏🙏🙏
@millionsofreasons9806
2 жыл бұрын
Kumbe mtu akifiwa uwa anacheka sometimes!? Msinitukane Mie nilikua sijui maana sijafiwa, mie nikadhani mtu uwa analia mwanzo mwisho mpaka kichwa kinauma
@hadijamwinyihija6465
2 жыл бұрын
Mwenyezimungu n mkuu ameumba kusahau,na pia ni kukufulu kulia mda ote kwasababu tunaamn mungu hakosei,m niliifiwa na mamaangu sikua nauzuni saana siku ya mcba coz sikua naamn ila cku mbl mbele ndo kma nilikua nmetoka kupewa taarifa ya mcba yan jnc nilivyokua nalia lia kila wskt
@zainabukabis2510
2 жыл бұрын
unalia lkn wale wanaokufariji pale kidogo nawewe moyo unapata faraja sasa ngoja urudi kuzika watu wasambaratike mbaki wafiwa tu hapo ndo msiba unarud upya nakumba kwa baba yangu alipofariki ndo ilikuwa hvy
@kochamelleh2906
2 жыл бұрын
Make up uwakosea sana,wadada warembo naturally
@emiledanieli185
2 жыл бұрын
Iv uyu diva ana sura ngap mehata simuelew
@gadilunga9307
2 жыл бұрын
Poleni wafiwa wote
@carineniyera7788
2 жыл бұрын
Hamisa mzuri sana
@josephinajosephu6859
2 жыл бұрын
Wema huwa ana utu Sana ila baadae hawakumbukag baadae
@bettyokito774
2 жыл бұрын
Wote ni wazuri❤️❤️❤️
@neemamarwa672
2 жыл бұрын
Mungu awape upendo wenu udumu jan
@azizaidd1998
Жыл бұрын
❤❤❤jaman hamisa nawema
@lynneamolo2777
2 жыл бұрын
No make up doh!.. Poleni sana
@rahmambwana1204
2 жыл бұрын
Amisa mrembo mashaallah kwa kifup wote warembo
@anitanahimana2115
2 жыл бұрын
Pore sana. Sisi wote njonjiya
@shakilamohamed546
Жыл бұрын
Am very sorry to hear about your mom lulu I didn't know you but I just saw ur mom am sorry
@salomecaroly5534
2 жыл бұрын
Shilole sio kila sehemu kuropoka jmn
@magdalenapeter419
2 жыл бұрын
Jamani steve nyerere kasimama ktk shimo mbona leo namuona mfupi sana
@HalimaHalima-id2cb
2 жыл бұрын
Poleni sana lulu wema nawote mliofiwa poleni sana inna lillah wainna ilaihi rajiuon
@zulachama1067
2 жыл бұрын
Dar to Tanga how many kilometer?
@shukurubucumi3236
2 жыл бұрын
Amisa nimulembo bilakujipodowa polesana lulu
@ukhtyrayyan7884
2 жыл бұрын
Jamani huyu lulu nilijua muwarab kumbe ni mekap tu heee manaa uso unawesi wakujichubua hatari
Пікірлер: 47