Maandamano yaliyofanyika hapa Nairobi na hata jijini Mombasa kupinga mswada wa fedha yameonekana kutoa sura mpya ya wanaoandamana. Maandamano haya yakionyesha kushiriki kwa vijana zaidi, wanaosema wanachukua usukani wenyewe kupingania yanayosema yanawakandamiza.
Негізгі бет Wengi walioshiriki maandamano ni vijana wadogo
Пікірлер: 82