WENYEVITI WA VITONGOJI MJINI MASWA WATAKA WALIPWE FEDHA ZAO
WAJUMBE wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Maswa mkoani Simiyu ambao ni Wenyeviti wa Vitongoji wa Kata nne katika Mji wa Maswa ambazo ni Sola, Nyalikungu ,Binza na Shanwa wametoa wito kwa serikali kuhakikisha wanalipwa fedha zao zote wanazodai kabla ya kumaliza muda wao Oktoba 25 mwaka huu ili kupisha uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika Novemba 27 mwaka huu.
Негізгі бет WENYEVITI WA VITONGOJI MJINI MASWA WATAKA WALIPWE FEDHA ZAO
Пікірлер: 1