Like 10 tu leo mm wa kwanza naomba like 10 zinanitosha
@phabianmgunga6806
5 ай бұрын
Leo nimewahi gonga like👍 twende hata kumi tu ila @stevemweusi 😂😂😂😂😂😂😂😂
@PrinceAmos-y8t
5 ай бұрын
Nakubali sana Steven 🎉🎉🎉❤
@sabrinahWilliam
5 ай бұрын
Mtaka vyote kwa pupa ukosa vyote kwa pupa😅😅
@ElvisNiyomukiza-iy7bb
5 ай бұрын
Umalaya tuu kuoga aaah 😂
@vicky_ylove14.
5 ай бұрын
Kwanza like kwa weusiiiiiiii😅😅
@AugustinAksanti-ky3ud
5 ай бұрын
Inamaanisha hiyi imetoka sasa hivi?🎉😅😊😊😊
@stephenmungai5803
5 ай бұрын
Awa Amadi kijicho na Dazeti hukuwa ndo kina nani ,,kaka stivu?
@Gloriamu399
5 ай бұрын
Huyu amani kijicho ni nani jamaani Steven wewe ni hari ... nakufata tokea Canada
@ManGogoTz.-vt9ft
5 ай бұрын
Kama unamkubali Steve gonga like hapa 👉👉👉
@JovitaBuberwa-zh1gl
5 ай бұрын
Ety we baba jishikilie😅😅😅😅😅 ila stive mwehu sana wewe
@nobodyog9512
5 ай бұрын
Videos nzuri ila mnaandika caption kishamba sana... Em andikeni in professional way ni WAZO tuu lakn👊
@rsautoservice984
5 ай бұрын
Kuoga shida..sio steve mungu akulinde bro..
@clintonokoto-j2k
4 ай бұрын
Manzee am from Kenya but this guy makes my Day 😊😊😊
@godywalex1336
5 ай бұрын
Ukija bila gadi nitakugawa bila thamani
@abdallahmuhammed6908
5 ай бұрын
Vinaaa
@YasiniJuma-rc9bb
5 ай бұрын
Stevee bhn umejifunza wizi kwa amadi kijicho😂😂😂
@NYENJENDEU
5 ай бұрын
😂😂😂😂 umalaya tuu kuoga haaaaa
@chaildaliyoung
5 ай бұрын
Namba moja nipeni likes zangu
@Rockstardontonny254
5 ай бұрын
Likes za Steve ziko wapi😂😂😂
@DEGOLMOBWAEPENETO7
5 ай бұрын
Naomba subscribes
@Kisholongakisalya
5 ай бұрын
Jaman team mweusi leo nmechelew kdogo nlikuw busy jaman like zote
@MercyDaniel-m9i
5 ай бұрын
Steve i feel good na comedy zako
@AhadiBwanyungu-j6s
5 ай бұрын
Umeniuwanacheka Steve eti umalaya tu kuoga uuuuuh
@JumaAbdallamwachipenda-zc2ty
5 ай бұрын
Safi sana stive umeweza😂🤣
@Barnizeboy
4 ай бұрын
4:03 😅😅😅
@zulachama1067
5 ай бұрын
Aziza napenda mavyazi yako ya heshima ata anapo kua kwenye kipindi mungu azidi kukupa imani ya dini inshallah uendelee hivyohivyo mtoto wakike kijistiri ndipo stara yake inapomfikia zaidi.
@aishaomar2287
5 ай бұрын
Kweli, bado kchwa...azingatie❤
@zulachama1067
5 ай бұрын
@@aishaomar2287 inshallah ujumbe popote alipo utamfikia kweli azingatie hayo yote stara ndio heshima kubwa susan kwa mtoto wa kike.
@nurdinmajanga279
5 ай бұрын
Nampenda sana uyo dd
@MashakaZacharia-if9pm
5 ай бұрын
Lkn kumbuka mavazi sio tabia ya ndani kwani ata mbwa mwitu anaweza Vaa ngozi ya kondoo lkn ndani n mbwa mwitu yuleyule
@zulachama1067
5 ай бұрын
@@MashakaZacharia-if9pm 😆😆😆😛😛hapo umenena sikatai japo sio wote hila.kama kweli vile tabia ya mtu hajua mwenyewe mtu na vyazi ni pambo tu kuna mengi nyuma ya pazia.
@pumpandnozeltec3019
5 ай бұрын
Ukija bila gadi ntakugawa bila samadi
@clintonokoto-j2k
4 ай бұрын
Who hard eehhh 😅😅😅
@SalomeSalome-pr8zt
5 ай бұрын
😂😂😂steve jamani wizitena😅😅
@AgueroBoaz-ei5qt
5 ай бұрын
Umkua mvivu skuiz utoi V2 kabixa
@Iam_mond
5 ай бұрын
Unyama
@IvanFamily-uu1fo
4 ай бұрын
Mwngu
@iddMohamed-it9lm
4 ай бұрын
Good morning i am eidmahmoud from darban
@GabrielRams-ht4ip
4 ай бұрын
H To rento
@vaghoghontweki9827
5 ай бұрын
Wengine wanaume wazima badala ya kuwapa hawa wasanii wetu vya maana wafanye mazuri zaidi ya hapa mnakimbilia likes....mkiombwa na nyie makalio msiwanyime wenzenu....
@senzotv1104
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@Zizuuh
5 ай бұрын
Dah mweusinhuyo Hamad kijicho ninani huyo maana hajawah kuonekana
@BIGSTAROGTZ
5 ай бұрын
❤❤❤
@BenMakamb
5 ай бұрын
Ukija bila gani ntakugawa bila samadi
@Dafkingsmusic
5 ай бұрын
Ningetamani kumuona amanikidicho jamani
@innocenaAline
3 ай бұрын
❤🎉🎉🎉🎉❤❤1
@mbokacomedy
5 ай бұрын
Jamani naomben like zangu 30 tu
@KimtaiLavawalter
Ай бұрын
✈️✈️✈️✈️
@elizeusmichael3463
5 ай бұрын
Dk -9
@packfunga5652
5 ай бұрын
Mtoto wa da zeti
@MambaRajab
5 ай бұрын
Waomba like wote soon mutapata mabwana za kuwaoa maana mnasumhua sana
@AlexHakizimana-ou2hm
5 ай бұрын
Duu good brow
@FlorenceMashah
5 ай бұрын
Steve acha wizi😂😂
@MussaBustotant-dd8ty
5 ай бұрын
Ndaro hatumuoni
@FistoAlbeun
5 ай бұрын
Ume tisha
@aishafrancis7714
5 ай бұрын
Natamani kumuona Hamadi kijicho na Da fety 😂😂😂😂
@DishaniDisha-zm2gm
5 ай бұрын
Kazinzuri
@mervyncoelhomusic
5 ай бұрын
Hu u jiamaa acting safi kabisa
@AyishaOman-cw4xs
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😮😮😮😮😮
@Dancan-2003
5 ай бұрын
❤❤❤
@pt.olivier
5 ай бұрын
Brother Steve in Congo we love you very much try to take a trip to Congo one day you will see how we will welcome you🎉🎉 My dear ten likes will be enough for me ❤❤
@BarakaJoseph-d3p
2 ай бұрын
Aucy
@joseckmaina2122
5 ай бұрын
Toka 254 bonyeza kidude Cha like
@saumodzumbo9671
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 ila azizaa nakupenda bure dadaangu ❤❤❤❤
@johntanui5462
5 ай бұрын
😂😂😂steve huyo dada ni mrembo sana❤
@AmaniNkurunziza
5 ай бұрын
Steven kayakanyaga😂😂
@BenemuluBillyado-ji4ze
5 ай бұрын
😅🤣🇧🇮🇰🇪👍
@MarieMutambala
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂❤❤❤
@dhamiirrashid6175
5 ай бұрын
Ila aziza wwe mzur maa shaa Allah
@Steventhebrown
5 ай бұрын
😂🎉🎉🎉🎉
@ngoshaog1255
4 ай бұрын
😂😂😂
@FleshaMtukuzeyesu-hh1lh
5 ай бұрын
❤❤❤❤
@MzunguSangahn-eu1es
5 ай бұрын
Steve kujitetea tuuu nawe kuoga akaaaaa😂😂😂😂
@mosule9262
5 ай бұрын
Ukija bila gurd takugawa bila samadi 😂😂😂😂😂😂
@jumaayubu
5 ай бұрын
Leo nimekuwa 4430😂😂
@NzeyimanaAli
5 ай бұрын
Umuraya tuuu kuoga aaah 😂😂😂😂😂
@elongabazibuhe
5 ай бұрын
Nampeda aziza
@yohanaj4
5 ай бұрын
Jmniii nmechelewa kdgoo😂😂😂😂
@glorymanga3650
5 ай бұрын
Steveee jamani😆😆😆😆
@godywalex1336
5 ай бұрын
Umalaya tu kuoga aaah😂😂😂😂😂
@lucasbatano333
5 ай бұрын
Stive umeanza wizi😂
@Joseph-xw4pt
5 ай бұрын
Steve mweusi
@ElishaMan-h8j
5 ай бұрын
Kaka wa pii like bas
@ChoraleSainteMarie-reine-zk6qj
5 ай бұрын
Steve wewe ni atari
@MashakaZacharia-if9pm
5 ай бұрын
Muombe na mboo ziwabandue like kilasku mnazifanyiaga nn
Пікірлер: 97