Aya tunaondoka aya twendeee daaaaaah enzi za mchaka mchaka hizo
@edwinelias8554
3 жыл бұрын
Matango matango ni nyanyaa Km umegundua jamaa ana udevuu km wa roma like hapa
@tgeofrey
4 жыл бұрын
Hakunaga hili goma Duniani..
@Sean1877
4 жыл бұрын
Sengeli next level🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💥💥💥
@patoaddo7643
4 жыл бұрын
Aiseee huu ni mdundo safi sana.... VIPI BBOOSS
@robbinjosiah9278
4 жыл бұрын
Kama unakubal hi ngoma itakuwa 1st on trending gonga like @robbylanzer
@shafirumussa8755
4 жыл бұрын
Whozuu the great musician
@marcoyesaya1803
4 жыл бұрын
Niaje wazee wa bwekubweku Amna buku apo
@safaribosco9659
4 жыл бұрын
Nakubali
@campbellwizzy1215
4 жыл бұрын
Mmmh katika kazi zako zote hi whozu fyongo
@neemalukombe2571
4 жыл бұрын
Vipi boss niaje mshua hauna buku apo jero je
@masungarenatus8087
4 жыл бұрын
Tunaemkubali taira wetu wa mwanza tujuane...
@faiqaanwar7268
Жыл бұрын
Do mshuwa na Kama ume pata shabiki mpya wa Kenya mpo.
@nasrajuma7681
4 жыл бұрын
Daaah nzur hy whozu
@Juma_Content
4 жыл бұрын
Ni mwendo wa singeli 2020 Kama unahamini gonga apa
@nanaiaugustine916
3 жыл бұрын
aisee nimechoka sana leo..... videos' Litt!!!!
@bernadinlameck9620
4 жыл бұрын
Wale wa JKT 834kj tujuane hapa....n mwendo wa chenja tu ...babakeee
@admakoga1871
4 жыл бұрын
Muda wa mabio
@khalfanmohammed654
4 жыл бұрын
Je 841kj mafinga vip
@LailaGolo-kd1xu
2 ай бұрын
Ñimeipenda❤
@aminsalum5731
4 жыл бұрын
WACHA NI ENJOY KABLA BASATA HAWAJAICHAWIA
@ankiz_me9999
4 жыл бұрын
awawez kufungia goma kal kama hii
@simbasimbafromkimanga9463
4 жыл бұрын
Wwwwwww whozu mungu anakuona
@jrlamar8925
4 жыл бұрын
CHANGAMOTO NI HAO WATOTO HAPO . MTAA UNAWALEA VIBAYA
@mnganojonathan1596
4 жыл бұрын
Hakika sikiliza hii kzitem.info/news/bejne/0np-k3dscIqdkqQ
@bahatisaadun665
4 жыл бұрын
Mambp
@ratfasanke8943
4 жыл бұрын
Saf sana
@mbonyamalale8546
4 жыл бұрын
Nimecheka kichina korona korona matango ni nyanya tena
@jumambarouk
4 жыл бұрын
Wakwanza leo .una buku apoooooh
@zuhuranadahhinda1366
4 жыл бұрын
Vip boss hauna buku hapo
@totmohammed6430
4 жыл бұрын
Hiiii nyimbo mwanzo mpk mwisho nimechoka tu😄😄😄😄😄
@mgayatz1659
4 жыл бұрын
Vipi boss hauna buku hapo
@IYANIZZO
4 жыл бұрын
Wangapi wanaona singeli ikitawala tena 2020 🔥🔥🤣🤣
@mnganojonathan1596
4 жыл бұрын
Sikiliza hii kzitem.info/news/bejne/0np-k3dscIqdkqQ
@ankiz_me9999
4 жыл бұрын
acha kabis
@anthonynyange5930
4 жыл бұрын
Matango matango eeeh 😂😂😂
@neemazee1864
3 жыл бұрын
Jmn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️
@ramosfally2318
3 жыл бұрын
Yi ni kali kuliko zote za whuzuo.ila aha wapi kidogo
@almasially6509
4 жыл бұрын
Izi jeshini tulikuwa tunaziita #CHENJA 😂😂😂🔥✌
@ndamayapejr7725
4 жыл бұрын
Hatar
@admakoga1871
4 жыл бұрын
Muda wa mabio
@hadiahhussein9853
4 жыл бұрын
kama umeangalia zaidi ya mara 20 gonga Like hapa tujuane 🔥🔥🔥 bongo kumenoga kwa mziki aisee ni checheee... Wazee wavizinga mtaelewa tuu atutoi ata mia 200 😂😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@imamudarus2480
4 жыл бұрын
mamb
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Kilichomkuta Soud Brown SHILAWADU tizama kzitem.info/news/bejne/q6l3yIl7fneml6Q
@tushabefelician8075
4 жыл бұрын
Hadiah Hussein nyimbo mbovuiuuu kama unaona hi nyimbo Kali basi we hatuko pamojaaa
@richardfabiani7235
4 жыл бұрын
Mamb
@zurespeter3812
4 жыл бұрын
.hi
@ismailngulinga2188
2 жыл бұрын
Freshi mwanangu whozu
@aminaomar5353
4 жыл бұрын
Nice song 🔥🔥
@ramadhaniomarishauri9905
4 жыл бұрын
BASATA FUNGIA HII NYIMBO ni hatareee..
@pendezammbumba8033
3 жыл бұрын
Ihi fireeeeee kali kabisa
@enoskafuko3614
4 жыл бұрын
Makin mkali umetisha
@kenjunior3443
3 жыл бұрын
Whozu umetisha sana
@40kstore
4 жыл бұрын
ubunifu huwa una nguvu kuliko hata ujumbe,ngoma kali
@sofphiahabely1210
4 жыл бұрын
Wallah sijaona walicho imba labda kama napata zambi like kama tupo pamoja
@tushabefelician8075
4 жыл бұрын
Sofphia Habely Ukweli hauko peke yako 😂😂😂tuko wote wamezinguaa sijui studio ya Nani hiiii 😂😂😂
@campbellwizzy1215
4 жыл бұрын
Kabisa Yani fyongo kwishaaa 😬😬😬😬
@sofphiahabely1210
4 жыл бұрын
@@tushabefelician8075 hahahaha umeona enh
@twangalatz4070
4 жыл бұрын
Inaitwa cartoon songs Aina hii ya music uwezi kuielewa km unapenda vitu serious
@ismailkatala4792
4 жыл бұрын
@@twangalatz4070 😁😁😁😁
@annokomba6515
3 жыл бұрын
We mshikaji fala sana😀😀😀😀
@ramadhanmsangi9963
4 жыл бұрын
Whozu 👏👏👏🔥🔥🔥🔥
@gilberthelisha6230
4 жыл бұрын
huku ndo kwa whozu sio Kule kulamba lipsi
@Island_Boyy
4 жыл бұрын
Mungu anawalaani na hii tabia ya kupoteza watoto njia. Munaharibu jamiiii
@travelhotographydongge
3 жыл бұрын
Kaķa shaibu kumbe mcharu ivi ...matango matanngo ni nyanyaah
@nicokamily1749
4 жыл бұрын
huyu @directorShaibu ni mkali sana sema haja tambulika
@aminasalum1042
4 жыл бұрын
Jamani izo nyimbo zenu munakata mauno hali iyo mbele za watoto dah atar
@brightamani2488
4 жыл бұрын
Hio haya tunaondoka,umenikumbusha jkt sio poa
@mudriqfamous
4 жыл бұрын
Daah hao vyura balaaaaaaa🔥🔥🔥
@erickzephania1030
4 жыл бұрын
Ngoma kali ila vyura mbele ya watoto ndio kaharibu
@sanimoclassic1917
4 жыл бұрын
Kwishnehiii jamaa kaanza kuimba singeli
@GoldenFirdausMedia
4 жыл бұрын
Njoo upate miski ya roho Naimani utaelimika Njoo utazame kaswaida na kazi zetu Bora zenye kuelimisha
@nablynataly7108
4 жыл бұрын
Kubwa kuliko chaga boi on Top likes za whozu
@naseemahmed4128
4 жыл бұрын
Next level 🔥🔥🔥🔥
@zawadichipilipili6491
Жыл бұрын
T
@pegpeg4065
4 жыл бұрын
Hao wadada Wanalipwa sh.ngapi kucheza hivyo. Na aibu zishakata.
@preciousbae9465
4 жыл бұрын
Huyo dogo mwenye rasta kama juice world
@mussdossantos6472
4 жыл бұрын
Wazee wa chenja mpoooooo
@choziboyboy3740
4 жыл бұрын
uko sawa naunacho kiona siopwa
@mtasma1994
4 жыл бұрын
Nawaona watoto wakigodoro wakiwatazama mama zao wanavyosasambua sasa sijui tunajenga au tunabomoa
@countrywizzkid6129
4 жыл бұрын
Hatujanyooka anko magu whozu elfu moja bado hanaiyita buku na miatano jero Too much money ✔️
@fausterchaula3515
4 жыл бұрын
🙋aye tunaondoka
@rashlight2597
4 жыл бұрын
Vipi boss niaje mshua hauna buku hapo sinaaaaa.. hatar
@alainmossi6825
4 жыл бұрын
Yani mzik wang 100℅ 😍😍😍😍
@georgemzuli3422
4 жыл бұрын
Kaka andaskoo mmetisha na director shaibu
@khaashfarfarid4221
4 жыл бұрын
Wanacheza mbele ya watt Sasa mnawafundisha nn jaman angalie bac 😏mm hata sjapenda
@tusemezanenamariana5933
3 жыл бұрын
Nimerudi hapa 2021...!Nikitafakari Hili buku ..nitamuombaje boss na Hii January 🤔😄😄🤔😄..afu akinijibu Sina wee unayo😄😄🤔🤔🤔2.1.2021.??
@charlestz4267
4 жыл бұрын
Hauna Buku Hapo. Nani kasikia
@sadamramadhan2754
4 жыл бұрын
Daaaaaaa !!!! Ngoma ni kaleeee, kinyama .... Angemshilikisha Kitare hapo ngoma ingekua poa sana.
@edisonalex1213
4 жыл бұрын
Jamani hv hili goma og kaimba nan
@tiktoktrending710
4 жыл бұрын
Ni huyo huyo jamaa anaitwa director shaibu
@kareemally6634
4 жыл бұрын
Weeeeeeuwweeeee kisingeli kitamuuuuu😝😜
@jumaimani8294
4 жыл бұрын
MZeee wewew nakuelewa sana unajua sana
@saidiharuna418
4 жыл бұрын
Nyimbo mzur kafeli kwenye hadhira nyimbo za kikubwa waangaliaji watoto
@lastborn8271
4 жыл бұрын
Aaaaw iteeni wazima moto 🚒 🚒 I love this human being.... Nipeeni like Kama mnamkubali whozu
@ramadhansalma7416
3 жыл бұрын
Kanzu mpya ostaz wa zamani
@stevewesco7566
4 жыл бұрын
Bonge moja la goma
@doreenkavishe6802
4 жыл бұрын
Anakuomba jero hajui ww ni Mkibosho😂
@petermushy9883
4 жыл бұрын
Neechi fo naawe hahahah
@lenatiusjonas5464
4 жыл бұрын
Doreen Kavishe 😂😂😂
@msafirisalum8436
4 жыл бұрын
Dorine kavishe nicheki 0764191428
@bahatisaadun665
4 жыл бұрын
Vip mabo
@seraphinepaultine1679
3 жыл бұрын
😂😂😂
@iddsempay9726
4 жыл бұрын
Watu wameishiwa nyimbo inabidi kisambaa
@mariamjumanne6490
4 жыл бұрын
Like zng kwa wanasimba wenzangu tujipoze huku😁😁😁
@DonMooSTUDIO_Express
4 жыл бұрын
Kilichomkuta Soud Brown SHILAWADU tizama kzitem.info/news/bejne/q6l3yIl7fneml6Q
Пікірлер: 863