Namshangaa sana MUNGU ktk hili nilioneshwa hii kitu nikamwambia mchungaji wangu nisaidie kulifikisha hili kwa askofu Mkuu lakini mchungaji alichukulia poa,leo MUNGU mwenyewe amelifikisha mwenyewe oooh haleluya asante Yesu,bado na hili wachungaji wanafanya kazi ya Mungu kwa mazoea na ulafi wa matamanio ya pesa hawakemei dhambi kanisani fanyeni kazi ya MUNGU kama mlivyoitwa
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Tunaipenda dunia na Mambo take yote NDO SABABU KANISA limekuwa tupu tunaimba Ila nyimbo HAZINA NGUVU za MUNGU
@peterkisanga8089
2 жыл бұрын
Upako wa kiteknolojia... hahahaha. Amina
@adoniisraeli1214
2 жыл бұрын
Mungu atuulumie kanisa
@LukaLazaro-ew7ei
11 ай бұрын
Nikweli baba tuambie tupone ameni
@chanzoninini6818
2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe saana Baba Askofu wangu.
@lizzyfredy1157
2 жыл бұрын
Kweli kabisa baba sema tupone kwa kweli hii huduma ya uimbaji tunamwitaji sana Mungu atusaidie
@sarifustevenkagande7314
2 жыл бұрын
Good
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
NDIO dhambI zimezidi kanisani tunaingia kanisani na uzinzi na ugomvi na uongo na kujibadilisha langi zetu alizotupa MUNGU NA MAWIGI YA NN Sasa tukiimba nyimbo lazima ziwe za kawaida KWA MAANA ndani mwetu tumemubeba shetani labuda tuingie MAKANISANI KWA kutubu dhambi na kuacha
@leahdaniel271
2 жыл бұрын
Wimbo mmoja step 15 ila hakuna uwepo wa MUNGU asante Yesu huu ujumbe leo umeutoa hakika wewe ni MUNGU uonae sirini
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Ni kweli nyimbo za dini siku hizi Ni makelele
@dastankalinga442
2 жыл бұрын
Umesema kweli katika huduma hii inafanyika kwa mazoea
@nuruanafisoo4220
2 жыл бұрын
Amen baba
@magretmario1010
2 жыл бұрын
Kweli baba sema
@priscalaurent6336
2 жыл бұрын
Barikiwa baba Askofu kwa huduma
@michaelyohana4467
2 жыл бұрын
Amina baba
@irenemwanri3023
2 жыл бұрын
Upako upako wimbo tu mapepo yanapanda vinginevyo ni kupoteza mda.
Пікірлер: 18