Itabidi mnialike nije kuzungumzia skincare pamoja na hizi sunscreen. I will be more than happy to enlighten the world kuhusu baadhi ya vitu kwenye utunzaji wa ngozi, faida na hasara, kudebunk myth etc
@Igauf3
6 күн бұрын
Hizi tabia ni kila biashara mfano madereva wanalamika gari mbovu kumbe wanakula na mafudi. Mafuta ya gari yanaibiwa, kwa furaha ya muda mfupi.
@JokhaSaid-e1c
6 күн бұрын
Leo Frida Kama bi kidude😂😂😂 hajapendeza
@chachatz9927
6 күн бұрын
Hahaha umetisha sanaaa😊
@Zuu673
6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@RajabuHayyan
5 күн бұрын
😅😅😅😅
@japhetkyarukambaaristides8698
5 күн бұрын
Dude hiloo😂👻
@RayChausa
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@faithkaganda-k3s
6 күн бұрын
Ata wanaouza dawa za binadamu inabidi uwe karbu umsimamie anaouwezo wakuuza na akanunua dawa nyingne na ukija anasema dawa bado zpo cjauza kumbe mwizi2😏unamlipia hadi mapato na unamlipa mshahara😢
@DM_15
6 күн бұрын
Very true mi mwenyewe nilifunga biashara sikujua kwanini baadayakufunga kunajianiyangu akanipa umbea jinsigani alikua anauza haponika funguka, then nika pata mwanga now day's kilakitu good
@annafrancis7313
5 күн бұрын
Nipe na mimi mbinu
@AnithaThadeo-n2i
6 күн бұрын
Mmmh atar
@MusaNgao
5 күн бұрын
Madam presida umenoga kiafrika kabisa big up
@CatherineKasekwa
5 күн бұрын
Uaminifu ni mtaji
@khadijanjama8721
6 күн бұрын
Heri nimejua mengi thenx
@dorislema2465
5 күн бұрын
Nawapenda sana sana,,lakini iyo kauli ya kusema uombe maji unyimwe sijapenda maana nikama mnafurahia kile kitendo cha kikatili
@TeresiaMazengo
5 күн бұрын
Nawa penda Sana wawa watu jamani ❤
@zaharamohamed8694
6 күн бұрын
Unmindful ndo Kila kitu ili ufaulu maishan
@ChristinaElias-p1y
6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 anachekesha leo frida 😂😂😂😂😂😂😂
@Mimy_keys
6 күн бұрын
Bi Kidude Frida ❤😊😂
@dorislema2465
5 күн бұрын
Mim kuna kaka alinicheat nikaenda kwake nikamkuta na mwanamke looo,,tuliungana kumchangia yule kaka
@AzaAzamhmod
5 күн бұрын
😂😂😂😂frida uaminifu kwa bzness tu.lkn SIO KWA MAPENZI
@NANCYWARD488
6 күн бұрын
Napenda sana Milardayo. Ni wa kweli sana. Lakini Milard mbona unawapa Kazi wa kwenu tuu jamani. ?
@Fgldesigns
6 күн бұрын
Kwasababu anawafahamu na nama ya kazi yake ameona hao wanamfaa zaidi
@happysakuya7394
6 күн бұрын
Exactly 😂@@Fgldesigns
@YasintaKisholi-fl3iy
5 күн бұрын
Watu huwa hawapendi kuiba ila maboss wenyewe ndo wanasababisha bn
@LatifaRajabu-l3n
5 күн бұрын
Milard ayo umenikosh unavyojib apo kweny kipengele chamahusian yakuchitiw
@nextonetv.7672
6 күн бұрын
Kapendeza
@ChristinaElias-p1y
6 күн бұрын
Frida leo anachekesha kweli 😂😂😂😂😂😂😂😢😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AzaAzamhmod
5 күн бұрын
Remba la dadaaetu ka tenga😂😂😂kwa remba umechemsha
@ISSASHABANI-sw7lx
5 күн бұрын
Uwaminifu ndio njia pekee itakayo kupeleka kwenye mafanikio unayo yataka wewe kwenye hii dunia 🌍
@IreneAlois-ds9ew
5 күн бұрын
Hapo kwenye Uzee Vido ndy amenasa Sasa muheshimiwa Sunscreen Yako itaanza kazi rasmi Vido usije ukajipaka sunscreen ukaenda kulala😅
@chikusangalala7759
6 күн бұрын
Hapo vijembe vyenu mmepigwa na milad uwaminifu
@user-cx5we5iv6l
6 күн бұрын
Bi kidude frida 😘
@halimajuma-v7j
6 күн бұрын
❤
@monicaalute3143
6 күн бұрын
Bi Farida kidude😅
@surusuru1994
6 күн бұрын
Hapo kinyany 😂😂😂mamdg
@user-nu6ge7rg7n
6 күн бұрын
Frida umekua kama bibi frani ivi 😅😅alafu Millard nakupendaga sana sema ndoinvo jimbo lina mwenyewe😭😭
@barackmoses7003
4 күн бұрын
Ukawe wa pili
@salimjumaa8180
4 күн бұрын
Acha udoko ww c uko na mpenzi wko rombo ww au ndio usaliti unaishi kwko😂
@user-nu6ge7rg7n
4 күн бұрын
@@barackmoses7003 hahahhahha
@hollymore4904
6 күн бұрын
kama ebitoke
@muhammadanwary8500
6 күн бұрын
Biashara ya butcher kama biashara ya gari kama hujuendesha mwenyewe biashara basi utafeli tu
@manyandatimoth7
4 күн бұрын
Unakuta mtu anafanya kazi analipwa laki mbili ila anakaa geto la laki tatu, anakula vizuri anavaa ila Dar aise😂
@abdulqadirjuma7495
6 күн бұрын
Hebu wakati mwingine acheni kuongelea upuuzi, watu wanatekwa na kumwagiwa tindikali hamzungumzii hayo, mnakalia kuongelea upuuzi tu
@agapemunyi2095
6 күн бұрын
Asa ni ndugu wa watangazaji Kwan, tusipate habr zingine kwa sabb we umeguswa Sana,sio media ya mbowe hyo ,nenda kwenye page ya chadema utapata full package
@fatmafatu1128
6 күн бұрын
@@agapemunyi2095wekichw maji hujitambui
@nancyg8664
6 күн бұрын
kimekuleta nini hapa si uende global tv utakuta hzo habari huku hakukufai
@nancyg8664
6 күн бұрын
@@agapemunyi2095😂😂😂😂
@kdloon2030
6 күн бұрын
Kila habari zina nafasi yake,waambie basi nchi nzima iongelee habari hiyo na bendera iteremshwe nusu mlingoni!@abdulqadir
@beatricerobert8985
6 күн бұрын
Aweke Kamera buchani
@pikanaauntzuu1466
6 күн бұрын
Yani millad ni mimi kabisa mi sigombani na mtu wa nje nagombana na mpenzi wangu km nikigombana na wa nje labda awe anajua km huyu ni mtu wangu na ameamua kudate nae sasa vipi wanicheat maana wote wanajua so wote wamenicheat
@surusuru1994
6 күн бұрын
Farida😂 am sego😂
@ClaudJohn-pc7pd
6 күн бұрын
Komwe
@AzaAzamhmod
5 күн бұрын
BIASHARA UNATAKA UENDELEE KAA MWENYEWE BASI
@pikanaauntzuu1466
6 күн бұрын
Mi cpendi mtu ambae nikimuomba hela niitolee maelezo sema nini nilimpata mwanaume yule ni mpendae yani nilikua nimimuomba hela haniulizi ya nn mi nasema tu ninishida ya laki moja bac natumiwa bila kuuliza sema nilijua tupo wengi niliamua kumuacha ila huwa nazi kumbuka hela zake😂😂😂😂
@israelkisaila8401
4 күн бұрын
Mimi namshukuru MUNGU, SIJAWAHI MPATA WA KUNIOMBA PESA,NO,NO,NO,NA SIKUPI HATA SENTI😂😂
@YvoneMtakama-iv2nb
6 күн бұрын
Biashara ni wewe uwepo...Mimi nimepigwa milioni kadhaa na ndugu yangu....😢😢😢😢
@israelkisaila8401
4 күн бұрын
😢😢HUSINIKUMBISHE HABARI ZA NDUGU JAMANI😢😢,MIMI NINGEKUWA MBALI WEWE ACHA TU,NDUGU,NDUGU,NDUGU😢😢,NIACHE TU MIMI.😢
@kachilathegreat6031
6 күн бұрын
Frida😂😂😂😂😂
@Sidrasidra636
6 күн бұрын
Si anaweka camera
@Fgldesigns
6 күн бұрын
Kuweka kaera sio sbida shida ni kuangalia hizo video zilizorekodiwa
@uiptv365
6 күн бұрын
Nakipenda sana ichi kipindi 😂😂🙌🏽🙌🏽❤️
@GemmaSalim
6 күн бұрын
Daaah usilolijua ni kama usiku wa giza
@abdulqadirjuma7495
6 күн бұрын
Mngekuwa watu kweli hata mwezi mzima mngeliongelea swala la kutekwa na kuuliwa raiya wa nnchi tena wanauliwa na watumishi wa serikari yenyewe na mnashindwa kutowa matamko.stupid kabina vyombo vyote vya habari
@kdloon2030
6 күн бұрын
Jirani yako mwenyewe akifariki,wewe hua wamuongelea hata week nzima,au ndiyo hiyo kujifanya una machungu mnoo kuliko hata wafiwa wenyewe?Nyau shoga mkubwa
@celinegeraldbenjamin9537
6 күн бұрын
Kwakweli😂@@kdloon2030
@maryamtan682
6 күн бұрын
@@kdloon2030umeona eee,! Utasema ndo wa kwanza kutekwa na kuuwawa, wkt kuna wzz na wt kibao wametekewa wt wao na awajui walipo, au ndo mambo ya upinzani? 😭😭😭
Пікірлер: 75