Dada Lilian umenichekesha sanaaa🤗🤗😘👌👌 hakika kipindi kizuri sanaaa hakuna mfanoo👏👏💞🙌👍🌸🌸Dr.Elie,Dr. Chris mauki, Aunt Sadaka😘 like hapa kama unawakubali hawa wanasaikojia👍
@gloryemmanuel7884
4 жыл бұрын
Nimewakubali Sana Hawa watu
@luthimunuo8838
4 жыл бұрын
Kipndi hiki Ni kizuri sana.na kina umuhimu Sana kwa mtu anaependa kujifungua kitu.tatizo mnatumia kiingereza zaidi kuliko kiswahili.wengi kiingereza hatukelewi.hivyo naombeni kiswahili kitumike zaidi .na hiii itahamasisha zaidi🙏🙏🙏🙏
@mariaalsaid3690
4 жыл бұрын
Dr Ellie is an extraordinary educated person. He really knows what he is talking.
@gloriousnp
5 жыл бұрын
Dr Ellie’s school of thought siyo ya nchi hii(if y’all know what I mean) 👌👌👌👌😊
@maggymm7302
5 жыл бұрын
Yaaan he speaks wth senses ths guy..👌👌
@winnienasuwa9962
5 жыл бұрын
Very deep deep deep!!!
@soamesphares
5 жыл бұрын
Nashindwa kuamini kama kuna Watanzania wenye madini kiasi hiki vichwani mwao halafu vijana wa kizazi chetu ndoa zinatusumbua kiasi hiki.!!! Mnafanya kazi nzuri sana; msichoke.
@fatmakiruwasha2378
4 жыл бұрын
Ujuwe nn wengi wameelemea kwenye muziki ndiyo maana watu km Hawa wapo washeshe sana
@agnessvincent1736
4 жыл бұрын
I also appreciate.wanafanya kazi nzuri mno
@msetikebwasi6895
3 жыл бұрын
Huyu dr.elvid wa Amilian huwa ni hatari sana ukimfuatilia.
@GibsonUrassa
Жыл бұрын
Mdogo wangu leo nimelishwa sana madini
@salimalaquimane3077
Жыл бұрын
Weng kwenye mitandao wana acha kufuatilia vitu vya maana wengi wapo na udaku na v2 visivyo vya maana
@mohamedshaaban3297
5 жыл бұрын
Uyu Dr Ellie Km Hauna Akili Huwezi Kumuelewa. Jamaa Yuko Deep Kinyamaa.
@magreth7981
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙌☝☝
@kasianandomba6713
5 жыл бұрын
Hahaha
@christophermshuza5648
5 жыл бұрын
Jamaa anatisha,inabidi uwe makini kumsikiliza ili umuelewe
@happyrichards319
5 жыл бұрын
Deep mno.. Ana akili balaa..
@lizzyshoo8084
5 жыл бұрын
Ndugu wewe acha tuu Mara yakwanza sikuwa namwelewa kbsa ila kwasasa Duuu namwelewa mnooo🥰🥰🥰😘😘
@_meckmill2
5 ай бұрын
Bando la vijana wa makamo kuishia kwenye vitu positive like this, i sense tutakua na familia stable to the future! Much appreciated to Dr Elly, Dr Chris and Aunty Sadaka if you understand them
@rahillhamidu2544
5 жыл бұрын
Aunty sadaka you sound soo romantic
@lysabantu8271
5 жыл бұрын
Dr. Elie and Dr. Chris are very deep. I like the way you break down a point. I wish you did a lot more shows. Auntie Sadaka you are amazing. I like this platform. Very eye opening.
@ychimile
5 жыл бұрын
Dr Elie... ur taking me to another universe of thinking...ure very philosophical
@georginapaul5013
5 жыл бұрын
mimi naangalia matamshi hapa kwa Dr Ellie.kinge jamani kinge kwa madaha kabisa
@antonadam4231
5 жыл бұрын
mambo haya ni beneficial ktk maisha ya kila siku ni ktk mahusiano tu, thanks Dr. Elie
@prophetess_jblessings
5 жыл бұрын
Dr,Ellie i salute you.
@happyrichards319
5 жыл бұрын
Huyu Dr Elly sijui ameshuka from heaven??? Wooi this guy ni next level.. Ana akili vby mno.. I can imagine huyo mke wake.... Inabd umsikilize ukiwa sober na usiwe interrupted.. The guy is toooooo deep...... 👌👌👌
@maryamChumas
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂❤
@ahmedamalj9660
5 жыл бұрын
I am such a big fan.. All the way from Belgium..
@husnakh5136
3 жыл бұрын
Mi najifunza sana... Ahsanteni Dah ! Doctor Ellie , Doctor Chris be blessed !
@mayacel1391
5 жыл бұрын
Love this shout out to to lily,Aunt Sadat's,Dr Elly and finally Chris loving everything.God bless u guys we r learning slot from u guys.nawapenda nyote.
@raphaelkiria9778
5 жыл бұрын
Mko vizur kwakweli
@leinamwilongo6890
4 жыл бұрын
Kipindi hiki waoooo
@veeJesus
4 жыл бұрын
Are u kenyan
@apostleemmanuelmabuga8148
5 жыл бұрын
Plz guys Lil just give enough time to Dr Elie coz the guy is having alot of things for us to learn from Him plz plz plz guys give enough time to Dr Elie and Dr Mauki
@T1tanGamingCsgoMore
5 жыл бұрын
First time i heard this and really opening mind. Thank you very much for making me understand what's the meaning and different between man and woman.
@alphagonga6119
5 жыл бұрын
Pamoja Sana nimependa
@shirondungu2639
5 жыл бұрын
very informative discussion! a lot of explanation from the doc makes a lot of sense....
@mytelecom2019
5 жыл бұрын
MWANAMKE MWILI WAKE NI NYUMBA MWANAUME NI MPANGAJI. Asante DR
@lilianjeremia1024
5 жыл бұрын
Ndo ivyo
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
The MVP Umeonaee, PATAMU HAPO🤪🤪🤪
@sekimangamjema2616
5 жыл бұрын
The MVP
@mytelecom2019
5 жыл бұрын
@@lilianjeremia1024 aya nimekubali klee
@mytelecom2019
5 жыл бұрын
@@RamazaniMulongeca zaidi ya utamu broo
@maggymm7302
5 жыл бұрын
This dr.Elly jmn...his voice n composure poster yke. 👌 thanks for defining n helps me understand love.. upendo sio hisia ni uwezo.
@elizabethdennis4771
4 жыл бұрын
Upendo ni nini?....thank u Dr Ellie
@veeJesus
4 жыл бұрын
@@elizabethdennis4771 upendo is love in English
@maryamibrahimsaid1412
5 жыл бұрын
I wish lily would be quiet for a second and let the good doctor finish his explanations and also not interrupt and finish his words for him. With all due respect of course.
@ancillabura1457
4 жыл бұрын
She is annoying one ever seen. Not even respect herself
@Aggrey_Nkololo
7 ай бұрын
I was scrolling looking to find this comment. She is interrupting too much, but I'm so glad the good doctor knows how to get back to the lane
@rittaaziz4470
Жыл бұрын
I LOOOOVE THIS TEAM TOGETHER JAMANI. I LISTEN TO YOU 4 SANA. SANA. I LEARN SANA NA...NACHEKA SANA.
😂😂😂😂😂 uyu jamaa anajibu maswali magum sana kwa lugha laisi sna...... nimependa sna.
@mbosothankyouilikeyoursong9850
5 жыл бұрын
Pardo doctor yooo ozali mutu ya congo ki swaili nayo ezali lokola ba congo tika na yeba doctor merciii mingi 😘
@queeneva3709
5 жыл бұрын
Nimecheka mie yaani after 4min unatakiwa umkumbushe mkeo you love her and she is alone whom make your heart beat........😍😍😍😍😍😍😘😘😘
@teddygabriel5662
4 жыл бұрын
Noma sana
@aliyambarak5024
5 жыл бұрын
Salute to you Dr Ellie, na wote mulio endesha kipindi hiki.
@dativakyaruzi8769
5 жыл бұрын
Nazidi kuwapenda sana,nikweli mtupu hasa mazungumzo yenu kuhusu mambo yacm ya mwenzio,love uuuu mwaaa,wataalam wako sahihi kabisa, nainawezekana kabisa kuishi kama wanavoshauri namambo yanakuwa mwakeee
@dr.mialanotanganyika4401
5 жыл бұрын
This is so powerful I just learn lot of things from you, I can suggest if you can write a book so that people can buy and have in their house to help tackle family problems. Doctor has emphasis some good points, like love being an ability that many people know as feeling. congratulations for doing such wonderful job that most people who want to get into marriage and those are in marriage will learn lot of things. From Australia much love and respect
@mariaalsaid3690
4 жыл бұрын
Nimependa sana sana session ya leo. Ni me enjoy sana talk ya Uyo Dr. MashAllah
@SAMISAI.
9 ай бұрын
Dr. elie is something else
@ryneblm1378
5 жыл бұрын
Nawapend sana jamani haswa auntsadaka en Dada sky mnanitoa sehem moja kwenda sehem nyengine, Mungu awabariki
@moonpatienceongara5607
5 жыл бұрын
Dr. Ellie kuna kitu ulianza kusema kuwa mapenzi mengi yanatuumiza sisi wanawake kwasababu hatuanzi na msingi mzuri. Mtu amekuja kupita sisi tunang'ang'ania mahusiano mwishowe tunaumizwa.
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
?!
@jessymalembeka6181
5 жыл бұрын
Lili safi sana! Kwa maswali yanatufanya tuelewe vizuriiii
@princessenzahoraho1364
3 жыл бұрын
Munachanganya sana luga ya kiswahili na kingereza. Zungumzeni tu kwa luga ya kiswahili jyu wengi wanaelewa kiswahili.
@jainaboman8952
5 жыл бұрын
Mashallah nimewapenda sana nimejifunza wenyenyumba mpooooo😘😘
@neysaleo6605
5 жыл бұрын
Jainab Oman 😚😚😚😍
@faridadeus8288
4 жыл бұрын
Jainab Oman hahahahahha una matatzo si bure wallah😂😂😂😂😂
@faridadeus8288
4 жыл бұрын
Jainab Oman hahahahahha una matatzo si bure wallah😂😂😂😂😂
@nadiakabamba7373
5 жыл бұрын
Kwakweli muna okowa ndowa nyingi sana basi mungu awabariki sana 👌👌
@princessenzahoraho1364
3 жыл бұрын
Asante
@happinessngassa4864
5 жыл бұрын
Dr Elly napenda kukusikiliza mnooo barikiwa sana
@dn.n4983
5 жыл бұрын
Somo nzuri kuvumiliana maana utapata kodi nyumba itakuwa balaa mjini hapa hawamu tano sio mchezo mchezo
@rhodahenry5544
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka Sana na nimeelewa Sana coz yanatukuta wengi Kama uko hapa 2020 ngonga like
@linnetmbotto7212
Жыл бұрын
Dr Ellie? Mungu akubariki baba!
@lilianjeremia1024
5 жыл бұрын
Kumbe ndo ivyo baada ya dk 4 tunauliza do you love me? Apo ndo nimeelewa nilijua ni kwang tu maan napenda sana kuuliza
@imamaliridhwa1884
5 жыл бұрын
Hahaha
@mariamkaaya214
5 жыл бұрын
lilian jeremia hata Mimi mpaka anachokaga anajibu sikupendi basi
@ednafiloteus5216
5 жыл бұрын
Mariam Kaaya pamoja sana mimi ndo bas tena hata hanijibu tena he tell me that,, 'let me act up on u'
@zuricakes6817
5 жыл бұрын
Powerful discussion 👌🏾
@augostinopaul3601
3 жыл бұрын
since days one never disappointed #SnS to the world
@leylamohamed9939
5 жыл бұрын
Lili tulia aisee unakatisha sana mada unadakia mada juu kwa juu, tulia mada wamalizie waongee ndipo uongee
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
hhhh..huyo ndo kiungo na vichekesho vyote, binafsi anifurahisha sn ani!
@stellasungusia7182
5 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 ewaaaaaah
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Stella Sungusia na wewe umeona hilo enh!
@dianaroserusimbi6003
4 жыл бұрын
mi mwenyew nakasirika.... anamkatisha mtu sana•
@halimamangi641
4 жыл бұрын
Lily ni mtu anaielewa kazi yake vizuri sana. ndio maana vipindi vyake hupendeza
@lareineminah1353
5 жыл бұрын
Huwa si commente ila napitwa vipindi vidogo sanaaa kwenye chanelle hii Tnx SNS kila siku tunakuwaaaaaaaaaa😍😍😍😍
@jayma1537
5 жыл бұрын
Thanks our legends Dr ellie and dr Chriss
@mutwalesylvie7443
4 жыл бұрын
Asante sana
@marystephen1183
5 жыл бұрын
mwanamke ni ardhi mwanaume ni anga huhuhuhu Dr Ellie Uwekwe na Mungu aisee...wote mko vzr jaman
@williamngogo5528
5 жыл бұрын
Dr Elly umetisha sana
@anithakazaula9596
5 жыл бұрын
Tena simu za wanaume zinatufanya tuzishike coz mtu simu ina ma password hadi kwenye calls ... wanaume ni wazinzi by nature hata ufanye nn hawaridhiki jaman
@chichasam9032
4 жыл бұрын
Tuliaaaa ww
@hadijasalum6373
4 жыл бұрын
😁😁😁
@rosenaadolfu99
4 жыл бұрын
Yani tena Mungu angeamua tu adhihirishi kati ya mwanamke na mwanaume ni akina nani malaya au wazinifu hakika wanaume wangeongoza coz mwanamke akisha olewa kuchepuka ni vigumu sana labda kuna shida ndani humo ila mwanaume hata umbebe na umbeleko wa chuma aise atakusaliti tu. Sijui ni laana gani waliyoachiwa na Mungu.
@abidandastanmaliyatabu1373
Ай бұрын
Acha ujinga niwazinzi nani kakwambia we mwenyewe haujatulia unataka wenzako watulie. Ulivyo Mungu anakupa saizi yako
@Zenaprays
5 жыл бұрын
Please tupate na clips fupifupi zenye kuongelea Jambo moja, mfano mda doctor Elly anaongea kuhusu love... Yeni clips zilizobeba maana inayojitegemea ziwekwe KZitem Kwaajili ya notes😂🙏
@SimuliziNaSauti
5 жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri Zena
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti dr ellie for lifetime talking taf.
@bahatikashinje5557
4 жыл бұрын
Angalia clip za kipindi alikua kipindi cha chomoza maada ukweli wa maisha kuanzia sehem ya 31
@kamandab7976
5 жыл бұрын
Doctor nimemfata vizuri sana na nimependa somo ili ila naswali nasija muelewa apo aliposema manaume mategemee wanawake asilimia kubwa anamaana gani na maandiko kutoka wapi ayo 🤔#SNS #women matters #Simulizi na Sauti #Doctor
Mimi nawapenda kabisa. nawasikiliza kutoka Ulaya lakini i miss you alot, mpaka nitafika TZ niwaone kabisa. asante kwa kusaidia familiya.
@kamilamwitondwa8095
4 жыл бұрын
Jamani hii vedio has made my day nimeipenda sana.
@joventmushwaimi3681
5 жыл бұрын
Great Dk Elly Mungu akubariki
@jennifermlyakalam5000
5 жыл бұрын
Aisee am looking for this Dr
@dativakyaruzi8769
5 жыл бұрын
Asante,mke ninyumba mume nimpangaji,wataalamu yani kila wanachoongea nikweli mtupu,kipindi kizuri saana
@تبميالنبنب
5 жыл бұрын
Asanteni sana nawapenda sana munaerimisha jami
@adamsonmagushi4332
5 жыл бұрын
kwa maelezo ya Dr. Ellie I have resigned and I would never want being a wife
@omanigaming6430
2 жыл бұрын
Nimejifunza mengi hasira za mme nikumchukua chumbani umpoze wengine tunakimbia nyumba kumbe mwenzio umempa nafasi yakwenda nje kutoa hasira zake
@halimasaid4977
5 жыл бұрын
So nice maongez mashallah
@rashidimswagilo8292
3 жыл бұрын
Lillian kuwa mpole. Unaongea sana na mpe doctor time.
@hamidakiiza1925
5 жыл бұрын
This is an excellent opportunity for learning! Well done guys sasa Tanzania pia imo kwa chart! Sio tu bachelor parties Za unywaji and no sense! You are better than the kitchen and bachelor parties wastage of money kwa wa Tz!
@clt9914
5 жыл бұрын
Hawa pia ni wazemebe tu! Wanachangia niniktk maendeleo ya nchi? Wanaiga walichokisikia popote duniani na kujipa usomi. Unamsikia jamaa akilazimisha kiingereza cha US wakati yeye ni mTZ? Yaani hajui kuna kiingereza cha TZ, UK, Kenya, n.k. Shiiiit!
@SitheyCuteradhia
9 ай бұрын
lilian your toking more plz😂😂😂ila nimejifunza kitu thank you all ❤
@mrishosaid4165
2 ай бұрын
Lilian unakihere here sana tuache tusikilize kwanza
@Swareh-u3s
6 ай бұрын
🎉🎉 bg ap man somo zurrrr kinouma
@hadijasalimu1808
4 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌asante sana chaKusema sina ila nawashukuru yani iyo kuliza kama unapendwa akia karibu naww kunauwezekano wakukuweka hata vibao nilisha choka mm wallah
@annaphilemon852
2 жыл бұрын
I love dr Ely
@cecyliakuguru6493
5 жыл бұрын
Mmmh kipindi kizuri sana, huyu Dr ellie jamani ahsante sana ila ukiwa, muite tena lilian huyu Dr ellie
@leilaabdul8597
5 жыл бұрын
I love you Dr Ellie 😍😍😍
@angiengoti4954
4 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri mnooo nimejifunza a lot big up.
@allykassim9826
5 жыл бұрын
Thx SnS..... Kuna watu wanajua bwana
@jawakwibe4495
4 жыл бұрын
Mashauri mazuri sana
@linahleonard3945
5 жыл бұрын
Hichi kipindi ni kiboko yao! Big up guys you are doing so good
@mjroyaltz8322
3 жыл бұрын
Kubwa kulikoooo💪💪💪
@sadahgullam8228
4 жыл бұрын
Jamani mwenyezi mungu anisaidie niweze kunyamaza navokutana na jambo jamani uwiiiii
@irenecharles4248
4 жыл бұрын
I real appreciate
@makaaya_3449
4 жыл бұрын
dr elly nimekuelewa sana
@moonpatienceongara5607
5 жыл бұрын
Dr. Chris na Dr. Ellie nimewaelewa sana
@gracenkanwa1781
4 жыл бұрын
Jmniii Mungu awabariki hawa dr mauki na elly
@zaynabkalombi1579
4 жыл бұрын
Asante aunt sadaka hapo kwa mume wangu akiambiwa I lv u
@vickysteven1172
9 ай бұрын
Dr Chris umeongea vyema saana
@mohamedmakungu1609
4 жыл бұрын
Jamani naombeni mnisaidie kkutana na dr herie namkubarii sana napenda kujifunza kutoka kwake
@jeanlubango8680
5 жыл бұрын
NimeKuelewa Sana SIR and all Guys in Studio it’s my First Time for this Media and you guys Mmenisaidia Sana kwa Muda Huu ..
@veeJesus
4 жыл бұрын
Subscribe
@apostleemmanuelmabuga8148
5 жыл бұрын
Listen Mamaaaaaaaa of ours Sisi wanaume niwatoto tu kwenu you don't have to compete with us na hapo ndio wa Mama Bado hamja jitambua Bado wakati nyie ndio kila kitu
Пікірлер: 413