Kidume ktk ubora wake,Allah akujalie pepo ya firdaus.
@SaumHaji-l1r
18 сағат бұрын
Mungu ata mlipa kheri
@paschalcharles3617
Күн бұрын
Yahya al-sinwar 🙌
@MaurusMpinga
Күн бұрын
Nae kaua kikatili angalia maneno yenu
@AnnaFaith-d3g
21 сағат бұрын
Yohana 8:12 [12]Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima. Yohana 11:25-26 [25]Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; [26]naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo? Yohana 14:6 [6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
@RobertBitambaOfficial
10 сағат бұрын
Wanao chomesha ni waarabu wenzao ni washirika wa marekani.saudia
@florencemeza6540
Күн бұрын
Ama kweli akuanzae mmalize
@daudimichael7338
Күн бұрын
Aliua 1,200 kasababisha Israel iue 40,000
@jumamussantuiche
Күн бұрын
Japo una mawozo ya kikafir wenda mmoja wao.sinwar ameenda kula supu na mtoto wa mariamu aduwi wao ni 1 myaudi.
@florianhenry7198
Күн бұрын
Sasa ameuwawaje mbona hatuoni
@binseif2216
16 сағат бұрын
Ipo siku mtakuja kuuona uhalisia wa muisrael na mmarekani endeleeni kuwashabikia
@stonetown578
Күн бұрын
Mwaka mzima sasa mnapigana na watu wenye silaha hafifu.
@walker-96
23 сағат бұрын
Acha wapewe dozing hapo wanapigwa waarabu wote na ugaidi wao....... Hapo ni nchi zaidi ya 10 zinapigwa
@JaphetJairos
23 сағат бұрын
Acha afe tu nayey kauwa sana kwa kuamini dini zao za visasi hovyo sanaa
@florencemeza6540
Күн бұрын
Kumbe lilikuwa GAIDI LILILOSHINDIKANA wacha apumzike, kaua wengi saaana
@jumamussantuiche
Күн бұрын
Majina ya wapenda haki wakitetea aridhi yao
@halimamasai2234
Күн бұрын
Lakini hamshindi Nyetayau huyo ndo gaidi ameua wengi zaaidi ya yahya mungu ampumzishe mahali pazuri amani
@florencemeza6540
Күн бұрын
@@halimamasai2234 ye anaua baada ya kuchokozwa,
@binseif2216
16 сағат бұрын
Wakristo na wuyahudi hawawezi kuwa karibu na waislamu QURAN ishasema kwahiyo sio ajabu na hasa hawa Wakristo wa kiafrica watumwa
Пікірлер: 27