Vikundi vyote vya jogging vilikutana viwanja vya Tanganyika pakers, Kawe kushiriki mazoezi ya viungo pamoja na mbio za kilometa 5 zikiongozwa na Waziri Mkuu, Mh. Kassim Majaliwa.
FANYA KWELI, USIBAKI NYUMA
MTU NI AFYA
#mtuniafya #projectclear #wizarayaafya #fanyakweli #usibakinyuma
Негізгі бет Yaliyojiri viwanja vya Tanganyika pakers siku ya tamasha lililohusisha vikundi vyote vya jogging
Пікірлер