Hii ni halisi kwakuwa mungu Bado anao watumishi wake wanao pumuwa ,wenye sura ya mungu mwenyewe.dawa na toba.hakuna njiya nyingine.ubarikiwe sana kuhani wa bwana wa majeshi.
@ericamwkyokile4681
8 ай бұрын
Shida ya watu wanapuuzia zana ujumbe wa Mungu kupitia watumishi wa Mungu.Tulipasa kuchukua hatua nchi nzima tukaomba.Daima Mungu akifunua jambo maana yake Rehema za Mungu zipo.tukiomba Mungu hutusaidia.tuacheni kudharau unabii toka kwa Mungu.
@JafetyWambura
7 ай бұрын
Ubalikiwe mtumish wa mungu na mungu atusaidie sana amina
@rahabnkya8276
8 ай бұрын
Mungu AKUBARIKI MTUMISHI wa Mungu apostle MUTALEMWA AZIDI KUKUFUNULIA MAONO MENGI NA NAMNA YA KUSH UGHULIKA NAYO TUPONE KABISA. AMEEN
@frolakiango5651
8 ай бұрын
Ameen
@LusinaPaul-jm4er
8 ай бұрын
Ubarikiwe mungu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa..mariifa...tumrudie..mungu
@bullindamichael2470
9 ай бұрын
Mungu atusamehe na kuturehemu, lakininkwa wale ambao wanakashfu na kesheli iko siku ya kujua kumbe Mungu kweli anaongea na APOSTLE WAKE MTALEMWA DIONIS. GOD BLESS YOU APOSTLE.
@kakanicodemus3632
9 ай бұрын
Then Mungu pia anaweza kuongea na wewe , katika agano jipya Mungu anaweza ongea na mtu yeyote ili mrad awe na roho mtakatifu
@floramongi1410
8 ай бұрын
Kaka Nicodemus umesema kweli ukikaa na Mungu sawasawa yote yaliosirini Mungu atakuhabarisha
@upendoagustino7592
8 ай бұрын
Amen
@JamesBwire-iw2ce
8 ай бұрын
Very powerful teaching
@josephinmwanibanza6001
8 ай бұрын
God bless you!
@georgedamas7097
8 ай бұрын
Very simple Pastor by looking but full of anointing of God. Bless you Pastor Mtalemwa.
@neemamahenge3044
8 ай бұрын
Thanx man of God
@stephenkazaula1957
8 ай бұрын
Thenx you man of God
@yohanakinyunyi
8 ай бұрын
Amina pastor za siku
@mhinajerome5964
8 ай бұрын
❤❤❤ kiukweli huwa natamani kukuona ilikuongea machache maana kwangu unakitu chazaidi
@dillisalum2384
8 ай бұрын
Hallelujah
@GabrielDaudi
8 ай бұрын
MUNGU atupe neema yakuendelea kuombea nchi ili haya majanga yasiendelee. Apostle umeshasema yote tumesikia sasa kazi kwetu kuomba MUNGU atuonee huruma atuepushe aisee
@abmbizent4970
9 ай бұрын
Mungu akubaliki na akupe maisha marefu mtumishi wa mungu.amen
@doricelema2591
8 ай бұрын
God have mercy on me 🙌🏻
@elinahlawrancemwaipopo7633
8 ай бұрын
Mungu turehemu
@phantyrhymes9536
8 ай бұрын
Mungu akubariki kwa ufafanuzi mzuri.
@WilisonMasungulwa
9 ай бұрын
Tunaomba msamaha Mungu tuepushe na majanga haya kwa jina la Yesu
@festinamwakipale3919
8 ай бұрын
Ukiwa na macho mambo yanayoendelea yanaonekana kitendo.cha.dunia.kulawiti watoto na ushoga na ufreemason wasiwasi aisee Mungu hata kubari ikiwa hatashea utukufu na mafreemason basi mapigo.yataendelea nakuendelea.ila.tuambiane ukweli leo makanisani wanawake waimbaji wanavaa suruali na hawakemewi watu wanasema anajua Mungu wamekazana na hela mpaka makanisa wanakopeshana liba daa nyumba ya Sara umekuwa pango la wanyang'anyi daaa inaniuma sana yaani mtu anaenda kumuabudu Mungu anakufanya na mikopo ya liba
@mselimsuya6952
8 ай бұрын
God have mercy on us
@terezadotto5458
8 ай бұрын
BABA MUNGU naomba utuhurumie na kutusamehe sisi na vizazi vyetu
@margaritoraphael3805
8 ай бұрын
Lord Jesus have mercy on us, forgive us on unbelieving
@daudiazizi8495
8 ай бұрын
Baba mungu azidi kuwa nawe ,hao wanao gukosowa shetani hajafa awo ni washetani.mungu adusamehe
@SharifaHayatta
8 ай бұрын
Mungu utuurumie
@jonathansolomon456
9 ай бұрын
Mimi mwenyewe ni mwinjirist siaminigi manabii ila huyu namwamini
@kakanicodemus3632
9 ай бұрын
Kama wewe ni mwinjilisti huwez sema huwaamin manabii, kilichokufanya uitwe mwinjilist ndo hicho hicho kilichowafanya wengne waitwe mitume, walimu, wachungaji na walimu. Waamini wote wenye huduma za kweli na wanao hubirkwel, kataa na usiamin wote wanaopotosha
@sundayherrieth9460
9 ай бұрын
Ameeen!!
@ntakilutandato
8 ай бұрын
Yes nakufatilia.
@lightnessmushi8137
8 ай бұрын
Ufunuobila kweliya neno la Mungu lililo hainiuongo Mungu akikupa unabii ju u hatari yoyote juu ya jamii anataka mtubu na kuomba Rehema ili ahepushe mbali hiyohatari ,ukiona yametimia hukusimama kwenye nafasi yako sawasawa,hiyo unastahili adhabu
@lilianhoney5744
9 ай бұрын
Eeh mwenyezi Mungu tunaomba toba, utuepushe na maono haya, watu wasipoteze maisha
@MartinGalaly-su7pf
8 ай бұрын
Hata mimi Mungu alinionyesha usiku fulani ndotoni naliona mahangaiko ya watu yasiyokuwa ya kawaida tuombe Rehema watanzania tuache kiburi :
@beatricejohn8899
8 ай бұрын
Binti yangu wakazi naye aliota nchi imekuwa kiza tupu watu wanahangaika cn ,eeehhh Mungu atulehemu
@shengovinehemiah1130
9 ай бұрын
Mungu tuteremu sisi wanao
@ShirimaSigifrid-lk6ko
9 ай бұрын
Hakika mungu yupo na ww mtumishi
@marthajoely3864
9 ай бұрын
Mungu tunaomba uturehemu sawasawa na fadhili zako
@kelvinmushubiro8187
8 ай бұрын
Mungu aturehemu
@emanuelmpamila6155
8 ай бұрын
Mungu atupe hekima na utii
@maureenlilykiwia1515
9 ай бұрын
Mungu tunakuomba ulirehemu taifa la Tanzania
@juliuskitaluka1206
9 ай бұрын
Umenena vema MUNGU akubariki Sana
@AnointedTrader
8 ай бұрын
upako zaidi
@LilianPeter-yp4pn
8 ай бұрын
Eee Mungu wangu hii ndoto ya ghorofa na mm nimeota
@SharifaHayatta
8 ай бұрын
Tanzania dhambi ni nyingi hasa vijana wetu Hapana hshima. Ususani wasanii
@nelsonmtui9425
9 ай бұрын
Ee mungu uturehemu
@fridalyanguka1733
8 ай бұрын
Kuwa mtu wa kiroho ni kuchunga Roho yako Kila wakati Mungu anakwambia uongee na wakati mwingine usiwaambie ujue huyo Mungu kigeugeu.
@pascaladloph4719
8 ай бұрын
Acha utapeli
@joycemarwa9438
8 ай бұрын
Mungu tunaomba Toba na Rehema
@huldamichael4445
9 ай бұрын
Mh.mtumishi wa MUNGU wa majeshi!!haya hayana chenga.Tusipomrudia MUNGU tutanyooshwa
@DanielSafari-wm8ur
9 ай бұрын
Mungu turehem watoto wako Baba
@AbuuKajembe-yy8dj
8 ай бұрын
Awa ndio wanatuletea. Majanga duniani
@richardaron8797
8 ай бұрын
Mama wa nyumba amekusanya waganga nyumban
@saramartine7330
7 ай бұрын
Kwakweli
@beckhmediaproduction7624
8 ай бұрын
Tupate wapi Mtu kama huyu ambae Mungu anakaa ndani yake? 😢
@peterjusine8509
8 ай бұрын
Mungu akulinde tu Na aendelee kukutumia Sina cha kusema.
@bensonmgaya5693
9 ай бұрын
Huku Kuna ushetani hakika Mungu wa kweli hayupo mrudie Yesu Alie hai atakusamehe
@brother_majesty
9 ай бұрын
Hueleweki..unasema kitu gani
@jothamkibona2919
8 ай бұрын
Mungu aendelee kukupa maono watu tulejee kwa mungu
@trophywilson7211
8 ай бұрын
Kabisa kwa mungu ila si kwa MUNGU wa Kweli
@HassanMugire
8 ай бұрын
Hii ni uongo bana
@joycejackson2320
8 ай бұрын
Sio kujenga kwenye maji bro acheni dhambi hasa ushoga na kuvaa vipini pia kubadilisha jinsia wanaume mnaboa sana
@markokulanga5503
8 ай бұрын
Nachokiona hapo ni mtu anayejifanya kwamba anaufahamu sana kuliko wengine na kwasababu asilimia kubwa ya watu ufahamu wao ni mdogo kwahiyo anawaburuza anavotaka huo ni ukichaaa
@pastorsilasjoram3297
9 ай бұрын
MUNGU atukumbuke na kuturehemu.
@marthaenock3546
9 ай бұрын
Kweli kabisa
@NeemaKomba-vn6sh
8 ай бұрын
Eeee Mungu turehemu
@rashidyyusuph4386
9 ай бұрын
Yaan upumbuvu mtupu
@charlesmapunda5905
8 ай бұрын
Kumbe ni msilam sasa unatafuta nini kwenye pegi ya Mtalemwa? we wasikilize kina Sule wanao tumia Majini huku sio kwako
@sarabura8933
9 ай бұрын
Wakitoka apo wataamia kwenye ugojwa wa macho
@maryfranknamkumba9182
9 ай бұрын
Mighty army: JESHI LENYE NGUVU
@trophywilson7211
8 ай бұрын
Acha tupigwe Manabii mmekuw wengi
@IzraeliHerman
8 ай бұрын
Watumishi tujiheshimu kwa kweli
@PeacefulSheep-se7oz
8 ай бұрын
MUNGU tusamehe baba tuliyokutenda
@AnimationTanganyikacgi
8 ай бұрын
Unaona mabaya tu😅😅😅😅
@zakiamseka9698
8 ай бұрын
Atabiri kuhusu Julai
@mosesmnyantope9534
8 ай бұрын
M
@blandinakimbe8910
8 ай бұрын
Baba wambinguni tutakase
@ednanewtonkyando2282
9 ай бұрын
Ehh Mungu turehemu 😢
@winifridazacharia789
9 ай бұрын
Mungu akubariki apostle
@rashidyyusuph4386
9 ай бұрын
Mbona ukuzuia yasitokee acha kuchexa na akili za watu
@leonidasbzzojoyhatung3118
9 ай бұрын
Nabi akitowa unabi juu ya inchi yeye hawezi kusimamisha yasitokee lakini wanainchi wakipokea unabi huo wanatubu na Mungu akaingilia kati .
@rashidyyusuph4386
8 ай бұрын
@@leonidasbzzojoyhatung3118 wew Imani yako inakuambia kwamba huyo nabii anajua yaliyo fichikana na anajua kesho yake itakuwaje??
@samwelikisigila4818
9 ай бұрын
MUNGU TUHURUMIE
@marionoti5760
8 ай бұрын
Ulokole umekuwa shina la miujiza iliyojaa uwongo, ghiliba na hadaa kwa vìumbe wenye shida za kimwili.
@BathshebaNyabika
9 ай бұрын
God please have mercy on our beloved brothers and sisters
@thobiethalibutu1465
9 ай бұрын
Ee mungu nirehemu mimi na Familia yangu na uzao wangu.
@JacklineIkoki
9 ай бұрын
❤❤
@brother_majesty
9 ай бұрын
This Country must repent
@floramongi1410
8 ай бұрын
Wewe marko kulanga hukulazimshwa kuona chanel ya huyu mtumishi
@allymwashambwa5920
9 ай бұрын
Siku zote yanaponenwa na manabii hasa huyu mtalemwa tunadharau wala hakuna anaefuatilia
@tumainijohn4721
8 ай бұрын
Kwnn usihimize watu waombe
@fortidaskashaigili7496
9 ай бұрын
Ushoga na usagaji vikataliwe tanzania maana ndio chanzo Cha hayo yote.
@edsonimkwama8745
8 ай бұрын
Sema shida inakuja yakitokea ndo mnatufahamisha..
@harriethkisese3945
8 ай бұрын
Huu unabii alivyoutoa Apostle mwaka jana hukuusikiliza ndio maana umeandika hvyo kama unavutiwa na haya mahubiri ya huyu mtumishi wa bwana sikiliza mahubiri yake mpaka mwisho ndio utaelewa.. usidandie gari kwa mbele ikiwa inatembea utagongwa halafu YESU anakupenda
@janetyjacob4064
9 ай бұрын
MUNGU ATUSAMEHE MAKOSA YETU
@januarysungura8119
8 ай бұрын
Wewe acha kujitetea juu ya majanga yanayowapata watu kuwa yanapitia mdomoni mwako na kama wewe ungekuwa na maana ungeliwaonea huruma ukawaombea kisha ukawaambia lakini wamekufa majumba yamebomolewa ndo unakuja na utabiri wako wakutafuta wafuasi
@miriamdavis3893
9 ай бұрын
Unabii wakati tunejenga kwenye maji
@joycejackson2320
8 ай бұрын
Acheni dhambi sio kujenga kwenye maji!! badilika kama wewe ni shoga
@odilomwemeziernest646
8 ай бұрын
Ninakufuatilia,sijajua kama na wewe ni miongoni mwa wanaotumia mafuta,maji,maepo,zabibu,na vinginevyo.Joshua wa Moro anawanyunyizia maiji ya upako kwa kutumia bombs la kubeba mgongini
@m.m.tvmbebamaono
8 ай бұрын
Huyu anatumia vyote vinavyoitwa vya upako
@geraldadolf4928
9 ай бұрын
Usiseme miungu sema watu waache kufuga majini
@omuze1290
9 ай бұрын
Inaonesha hujui maana ya neno miungu!
@geraldadolf4928
8 ай бұрын
@@omuze1290wewe ndiye unayejua
@ibrahimhassan2566
8 ай бұрын
Utabiri wa mchongo. Kuhusu mafuriko Dar es Salaam ni tukio karibu linatokea kila mwaka. Tabiri vita vya Ukraine na Russia vitaisha lini na ile ya Palestine na Israel. Maana mtumishi alituaminisha vita vingeisha baada ya miezi minne (4). Leo hii ni zaidi ya mwaka tokea siku aliyotabiri
@marionoti5760
8 ай бұрын
Acha uwongo, ulokole umekua ni sehemu ya Mazombi, hushangilia bila kutumia Akili wakati Mungu ametupa akili ya kuainisha kweli ni ipi. Huyu Jamaa, Baba yake wa kiroho, ndio yule aliyedangaya kufufua mtu na hatimaye alipobanwa akakimbilia kwao malawi. wapiga dili hawa. Mazombi wanakusanyika kwa makundi kwa waganga wa kienyeji na kwa wahubiri wa MADILI kama hawa, wakitarajia kushushiwa miujiza, eti Mungu ni kibarua wao. Ni ujinga uliopitiliza. Amelaniwa amtegemeaye mwanadamu kama kinga yake. Ikumbukwe kuwa , pazia la hekalu lilipasuka katikati, kila mtu anamfikia Mungu bila kupitia kwa wanaojifanya wamembinafsisha Mungu, eti anapatikana kupitia wao, wanafanya miujiza feki ili waaminike kuwa wanaupako. Poleni Majani mlioanguka toka shina la ukweli, mtapeperushwa na upepo huku na huko mkipiga makelele mpaka mseme po.
@lightnessmushi8137
8 ай бұрын
Umesema kweli
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
Juzi Joe Devi anakwambia alikua na kikao na Mungu, . We nabii atoke bukoba kweli 😂😂
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
Juzi Joe Devi anakwambia alikua na kikao na Mungu, . We nabii atoke bukoba kweli 😂😂
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
Juzi Joe Devi anakwambia alikua na kikao na Mungu, . We nabii atoke bukoba kweli 😂😂
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
Juzi Joe Devi anakwambia alikua na kikao na Mungu, . We nabii atoke bukoba kweli 😂😂
Пікірлер: 133