The power full Team in Africans. The Youngs Africans halafu hii Team watu wasifanye masihara tena wasijaribu kuifanyia masihara yanga it's biggest team in Africans
@DENISMAKALA
Күн бұрын
@@hafia.056 unajua hawaamini kuhusu transformation ambayo anaifanya YANGA Nina rafiki yangu msomi mzuri sana tulijadili juu ya ubora wa timu ya YANGA kwa kuwa yeye ni shabiki wa SIMBA akabalance mazungumzo nakurahisisha sentensi kuwa siasa za Simba na yanga ww ziache tu ni kulwa na doto nikamwambia brother hiyo sio kweli acha maneno mepesi kwenye maneno yenye mantiki yanga Iko very OBJECTIVE imedhamiria TRANSFORMATIONS ya uhakika sio propaganda FANSBASE Wanaoitengeneza itakuja kuwa tishio suala la wachezaji kununuliwa litakuwa sio la kuwaza hela itasema, sasa Simba Wana leta siasa badala wajenge timu wanaeneza propaganda za kusifia timu timu yenyewe mbovu inajitafuta mpaka mje mzimduke mtakuwa mmechelewaa ogopa mtu anayeamini na anasimamia anachokifanya
@maryfides591
Күн бұрын
Tunakuja tuko njiani tunatokea mwanza kujakuisapotì timu yetu yanga hoyeeeeeee
@monicalucas3738
22 сағат бұрын
Pongezi nyingi sana kwenu vijana wetu mkiongozwa na mwenyekiti wa wasemaji BB Ally Kamwe 🎉🎉🎉🎉🎉
@rukaya-jg7hj
Күн бұрын
Sisi ni yangaa ooh africa sisi ni yangaa watoto wa jamgwani
@AminoKhalif
22 сағат бұрын
Hongegeni vijana wetu wa yanga kila la heri daima mbele
@MeshackKamenya
Күн бұрын
Mnajisahau kutaja namba zenu tuna matawi makubwa sana lkn tunashindwa tunaanzia wapi!! jamani mpenja TV tufikishie huu ujumbe kwa Ally Kamwe
@LeylaSaria
Күн бұрын
Ila yanga
@hafia.056
Күн бұрын
Please comes and joins with ufurahikeee Tufuraaahikeee pamojaa iliTuendeeeleee kupata Rahaa ktk Sports sports in our NATIONAL COUNTRY ALL TANZANIA 🇹🇿 YANGA AFRICANS OYEEE LET'S SAYING OYEEE HAYA TWENDEEE KAZI ALL
@CostaAntino
23 сағат бұрын
Kindoki tunaomba fika taw lakiwengwa tupate balaka zenu na elim pia
@AzhadSaid-j1t
Күн бұрын
Dodgy Godgyanga ticket bure nn
@kasimuhamidu8467
20 сағат бұрын
Hiyo sio mechi
@joycekilango8382
21 сағат бұрын
Tunaomba namba Za viongozi hasa mkurugenzi wa usajili
@aishahaji3128
Күн бұрын
Jamani na mie kadi weee nataka kujiunga
@MWALIMUCHAKATV
Күн бұрын
Hivi sisi Wana Yanga tulio nje ya nchi tunawesaje kupata haki zetu za membership? Ebu fanyeni app iwe na uwezo wa kutuandikisha sisi wana Yanga tulio nje
@ShafiiSoud-b3w
Күн бұрын
ushirikina....
@bahatinassorali5222
Күн бұрын
😂😂sijapenda icho ndo kipemba
@lourykibudu
Күн бұрын
Fan base Iko strong sana sio ya kupigiwa makelele kama haya itoshe tu kusema kwamba mnaiga sana Simba naona taratibu mnaanza kuvaa nguo nyeupe wakati sio rangi zenu 😂😂😂😂😂 dahhh nyinyi ni bendera vifata upepepo
@EliaMkumbo-wn7bm
Күн бұрын
Nyie Kila wanachokifanya yanga ni kuiga Simba tu mwisho mtakuja sema hata kunya mmeiga Simba nyie sanda fc makasiriko kweli
@janerouhassanjanerou7933
Күн бұрын
Punguza maneno ya kike ndugu hakuna tena jipya hapa chini ya jua
@saidihussein6718
Күн бұрын
Huna point ujinga tu
@jackmabirangacharles9398
Күн бұрын
Hahaha kweli ushabiki wako sio wa kwetu hatunaga mambo hayo kwamba usivae nyeupe eti Rangi ya Simba Kuna Wana CCm wengi Wanachama Simba na Wana Vaa kijani na njano
@DENISMAKALA
Күн бұрын
Simba ina mashabiki wengi sana kuliko yanga lkn YANGA ina wanachama wengi sana kuliko Simba
@owenfweta3239
Күн бұрын
Diaspora tunajisajili vipi??? Nimejaribu ku-download yanga app lakini nimeshindwa kulipia!!!
Пікірлер: 37