Amen Amen barikiwa sana kutoka Kenya wewe ni mtumishi wangu
@hellen9056
23 күн бұрын
Barikiwa mtumishi kwa somo nzuri nimelielewa vinzuri kabisaaaaa
@faithe4063
24 күн бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah
@Rashid-vm1fk
24 күн бұрын
Amina Mtumishi wa Bwana ubarikiwe sana
@brianrisancho9216
24 күн бұрын
Amen amen
@RosemaryAleri
19 күн бұрын
Man of God,Mimi naitaji ukombozi nisadie
@AgnesKalinga-if3uf
23 күн бұрын
Asante Mtumishi ninakuelewa saaana
@womanofgod2217
24 күн бұрын
Amen
@agnestunu5527
24 күн бұрын
apo haipingiki iko wazi kabisa ..jina la BWANA YESU KRISTO litukuzwe
@Aggreymbugano
17 күн бұрын
Kristo siyo MUNGU, Kristo maana yake Mteule wa MUNGU kama hujui maandiko njoo tukupe shule niambie andiko gani? linasema Mungu alikaa katika mwili maandiko yanasemaje Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, Wagalatia 4:4 swali hapa alimtuma alijituma?
@Aggreymbugano
17 күн бұрын
Acha kudanganya Yesu kuzaliwa na Mariamu anaitwa mwana wa Daudi katika roho anaitwa mwana wa MUNGU 3 yaani, habari za Mwanawe, aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili, Warumi 1:3 4 na kudhihirishwa kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu, kwa jinsi ya roho ya utakatifu, kwa ufufuo wa wafu, Yesu Kristo Bwana wetu; Warumi 1:4 Eti Mungu alijinyenyekeza kwa maandiko yapi? unayatumia MUNGU NI MMOJA TU ALIYE BABA WA MILELE YEYE PEKE YAKE HAPATIKANI NA MAUTI HAJAWAHI KUONEKANA NA MWANADAMU MWENYE MWILI WA DHAMBI Yesu krito amepewa mamlaka na MUNGU BABA Yote ya mbinguni na duniani na Yesu kuitwa mwana wa adamu maana yake Amejitambulisha kama Adam wa pili aliyekuja kumzalia MUNGU, BABA watoto katika roho siyo katika mwili kama Adam wa kwanza
Пікірлер: 14