Pongezi nyingi zimwendee mwokozi wetu aliye ndani yenu kwa kulelewa vyema na mch wetu pamoja na viongozi wote wa kanisa la mahali pamoja
@oscarmushi3212
9 ай бұрын
Mbarikiwe watumishi wa Mungu
@dawsonmateru
9 ай бұрын
Hongera kwa wimbo mzuri zaidi ya yote mwonekano wenu unaridhisha kuwa kweli mmeokoka mbarikiwe sana ila mdumu hivyo hivyo yaani kuweni mbali na ukisasa unaua utakatifu
Пікірлер: 3