Wimbo huu ni ukiri kuwa hakuna aliye zaidi ya Yesu. Iwe ni wafalme, iwe ni viongozi wa nchi hata wale unaodhani kuwa wana vyeo vikubwa hawawezi kuzidi Ukuu na Uweza wa Yesu.
Yesu ni Jina tulilopewa ambalo kwa hilo kila mtu huokolewa kwalo, ni Jina lipitalo majina yote.
Furahia na Ubarikiwe wakati unaendelea kukiri kuwa Yesu ni namba moja maishani mwako.
Негізгі бет YESU NUMBER ONE by Eden Victor
Пікірлер: 27