Ameeeeeen hakika huu ni ukweli Yesu ndiye njia iliyo nyoka
@frankmwakalinga7455
11 күн бұрын
Mungu akubariki sana Professor Ndacha Mungu akuinue sasa kwa injili hio ya kweli🙏🙏
@user-wi4nb7fg8v
24 күн бұрын
Yesu ni mwema sana pr Ndacha wape habari njema watoke huko waje kwa Yesu ubarikiwe sana
@LuisFaustinoLuis
4 сағат бұрын
Ndacha mungu akubaliki sana amina
@LuisFaustinoLuis
4 сағат бұрын
Mungu akubaliki sana ndacha
@DakorTrony
23 сағат бұрын
Muhammad
@user-wi4nb7fg8v
22 күн бұрын
Paul nawe Mungu akubariki akupe kila hitaji. Uliombalo kwa Mungu uishi milele na familia yako kwa kweli unaijua Biblia Mungu akubariki🎉💕🙏🏾
@MaryNjeri-ox1ry
8 күн бұрын
Ndacha Mungu akusaidie
@junicnamuwenge6957
9 күн бұрын
Hallelujah 🙌🙌🙌🙌🙋🙋💃💃🇸🇦🇸🇦🇺🇬🇺🇬
@mwoso
21 күн бұрын
Hapo injili ya yesu kristo iliingia kabisa maskioni mwa watu! Ubarikiwe mwalimu Ndacha.🙏
@BakulikiraMushengezi
11 күн бұрын
Ubarikiwe baba.
@hamisahtuman5595
12 күн бұрын
Paulo Msomaji uko vizr
@user-wi4nb7fg8v
22 күн бұрын
Kwa kweli pr Ndacha Mungu akubariki waeleze hao hawajui kitu wanawafata waarabu hata hawajamuona
@hassanjuma2772
10 күн бұрын
Wewe hujui hata unasemaje nn nikuulize jee wewe unaamini kuwa yesu aliuwawa na viumbe ambao yeye amewaumba na kumpandisha msalabani Jee ulikuwepo siku kinafanyika hicho kitendo au Kama ulivyouliza na wewe ulimuona au unafata maji tu Kama kaa ureda?
@richardodoyo7558
11 күн бұрын
Ngeraa mtumshi wa MUNGU kutangaza injili ya YESU KIRITO AMNAAA
@LaizaLaiza-oj9uw
15 күн бұрын
Kabisa yesu niuzima wa milelele
@jasonplayz4394
18 күн бұрын
Akuna aliye kama yesu nani mwanahume kama yesu hallelujah milele na milele ❤❤❤love your so much my
Tena uko na msomaji mzuri Paul waambiee Mungu awabariki sana
@RobatiSiplian
10 күн бұрын
Mangy akubaliki sana
@ramadhanmahongole9293
16 күн бұрын
Waislamu ni makafiri wanafuata kafiri mwenzao mhammad aliekuja kupinga na kupotosha njia ya Mungu wa kweli ya ukiristo iliyotangulia
@rukiakadzo8053
12 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@smadon5638
7 күн бұрын
Nyie Wakristo ndo munaabudu Binadamu Yesu,eti Mungu du😂
@ramadhanmahongole9293
7 күн бұрын
@@smadon5638bora sisi wakiristo tu Muabudu yesu mwana wa Mungu aliye hai ambae yuko mbinguni na siku ya khiama atakuja kuwahukumu nyie makafiri pamoja na mhammad wenu kwasababu nyie makafiri mmemuasi Mungu wa kweli muumba mbingu na ardhi Jehova mnaabudu jiwe la uarabuni misikiti yote imeekekezwa saudiarabia nyie waislamu mnaposali mnatazama saudiarabia ndo Mungu wenu aliko na hilo jiwe haliskii kiswahili linaskia kiarabu 🤣🤣🤣🤣
@ruthhamisi2902
18 күн бұрын
Yesu ndio njia na kweli na uzima. Nakupenda yesu
@hassanjuma2772
10 күн бұрын
Kwa hio tumkanyage au ni barabarani tupitishe gari?
@everlynewanyama
18 күн бұрын
Kuna muislamu apo ady nmemuhurumia😂😂😂😂😂Ndacha kiboko yao tangaza injili ady kieleweke ❤
@rukiakadzo8053
12 күн бұрын
😂😂😂😂 Hana lolote 😂😂😂
@MohamedMeja
12 күн бұрын
Ndachaa ni fujoo tu hana moja ajualo
@qerysir4410
9 күн бұрын
wew kaoshe matako maana hapo ndipo akili zako zilipo
@jamesmukindia3797
20 күн бұрын
I love pst dacha
@hassanjuma2772
10 күн бұрын
Hee vp kwani ushayafata maneno ya papa?
@ShilohPraise04
20 күн бұрын
Ndacha tunakutaka Burundi
@erickagwe8841
24 күн бұрын
Jina la Bwana Yesu lisifiwe kwa ulimwengu wote
@khammadjeffa515
22 күн бұрын
Wewe kazi yako ni kujenga hoja tu.
@PendoGakumbi
16 күн бұрын
Kimeumana! Wale wa am proud to be muslam. Mko wap
@rukiakadzo8053
12 күн бұрын
Am proud to be a Muslim ❤
@user-km2fj5cs4v
23 күн бұрын
Yesu ndiye wa kufuuatwa wala hakuna mwingine
@wilsonkantabula1715
22 күн бұрын
Mwamed ni mfuasi wa Yesu. Waislamu wameamriwa kumkiri masih kwa kinywa Chao. Kwenye Quran.
@FredizMhagama
19 күн бұрын
Mmh wenye dini wamelishwa matango pori na mudy
@ruthhamisi2902
18 күн бұрын
Injili inaeleweka mwenye masikio na asikie
@user-hr7ep8zt2r
18 күн бұрын
Sule utateteya mtume? Simtume ajiteteye?
@geofreymulei5695
24 күн бұрын
Dacha kiboko yao wapashe
@hassanjuma2772
10 күн бұрын
Ikiwa ndacha kiboco Inamana anaishi mtoni
@obedkalinga9704
20 күн бұрын
Eti macca ni katikati ya dunia, akili za waislam zinawatosha wenyewe sijui anatumia kigezo kipi maana tuliosoma geografia kama muhimili wa dunia ni macca
@mrjulius5840
16 күн бұрын
Kwahyo bwana mtume alioa mtoto mwenye miaka 6 ?
@user-ek7bx6sk6f
19 күн бұрын
ALLAH AKBAR Uislamu ndio dini ya haki mtajaribu namna zote na vyovyote muwezavyo ila mjuwe hiyo dini inalindwa na pekee Muumba kwa hiyo haiwezi kuanguka iatabaki imara na Nakiri kuwa Muhammad (S.A.W) Ameteuliwa na ALLAH ili kuifundisha
@costantineevarist5110
18 күн бұрын
Uislam wa wa kikatoriki
@ramadhanmahongole9293
16 күн бұрын
Mhammad (s. a. w) aliye teuliwa na mungu yupi yule alie baka kitoto cha miaka 6 au? 😂😂😂😂😂
@ramadhanmahongole9293
16 күн бұрын
Na kwanini allah hasikii kiswahili chako anasikia kiarabu?
@ramadhanmahongole9293
7 күн бұрын
Pole sana na hiyo dini yako ya kulithi ya ukafiri kutoka uarabuni
@user-ls2qx1xq1r
13 күн бұрын
Mnajua wakristo tatizo sio kumkubali yesu na kumsifu tu kufata vitendo vyake mujuwe hakuna muslam anomkataa yesu mwenyezi mungu kaleta manabii wengi tu akiwemo yesu yaani issa ilikufata njia ya mwenyezimungu anayoitaka tumjuwe mola mmoja tuu wa kuwabudiwa na namna ya kumuabudu kumsujudia na kumuoba yeye tu yesu alikua anasujudu kama anasujudu alikua anamsujudia nani kama yeye ni mungu tatizo la wakristo mnamchukia mtume muhammad bure muhammad kaletwa ili kukutoweni katika shirki kumwita yesu mtoto wa mungu au wengine wana sema mungu wengine utatu maana nyinyi wenyewe hamjielewi yesu mtume kama mitume iliopita nyinyi wakristo hamtafakari au mnajisemea tu mnafanya mchezo na utukufu wa mungu kama ni kigezo chenu kua ati yesu kamfufua mtu au kazaliwa bila ya baba huo ndio uwezo wa mungu akitaka jambo lake liwe husema kuwa na likawa na kutumia viumbe vyake kufanya miujiza hebuni kaeni ufikiri sawasawa wakristo vitabu vya mwenyezi vinavyo eleweka ni ijil zabur taurat quran bibilia imetuka wapi usituletee sijui bibili imo taurati sijui imo ijili tunataka vitabu vya mwenyezi mungu vinyojulikana hichi ni kitabu ni ----- kutoka kwa mwenyezi mungu wakristo hamna kama unamfata yesu hebu basi tuonesheni kitabu chake na wallahi mkiwa nayo ijili au zaburi au taurat kamili ikiwa kama quran kitabu kamili basi wakrito nyote utakua wailam
@bustedislam3578
Күн бұрын
Yesu alisema ukimwamini kama yeye ni mwana wa Mungu ubatizwe. Je, wewe unayemkubali ulisha batizwa?
injili ya yesu kristo lazima isikiwe na kila mtu,dunia yote ili siku ya mwisho ukiulizwa usipate cha kujitetea na Mungu mwenyewe.. Mimi namfuata yesu kristo daima
@eliyandondole
14 күн бұрын
Mchungaji ndacha wewe hatari sana bado wagumu tu kuokoka
@JamesMoses-jd1yq
20 күн бұрын
Ndacha una kiti chako chako mbinguni
@hassanjuma2772
10 күн бұрын
Mbinguni ataenda kwa ndege au kwann mm Nina uhakika kuwa atalala ardhini kawa kina Musa Ibrahim yakub na wengine wewee kamau napinga Pinga tu lkni Hilo ndio ukweli wenyewe umekuja kwa udongo utarudi kwa udongo
@user-fi4qy9se4r
18 күн бұрын
Ndacha hujui lolote wewe
@user-fi4qy9se4r
18 күн бұрын
Sasa km yesu ni mungu mbona asulubiwe wakristo karibuni kwenye uislamu
@ramadhanmahongole9293
16 күн бұрын
Hahaha kwisha habari zenu waislam kwanza waislamu ni makafiri mana wamekuja nyuma ukiristo ulitangulia ndipo. waislamu wakaja nyuma kupinga na kupotosha njia ya kweli ya Mungu ya ukiristo
@hassanjuma2772
10 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293hebu tuelimishe nn ukristo uliotangulia ili tuelimike maana hakuna ukiristo Kuna kristo ,na kristo ni jina la mtoto wa mariamu Sasa Kama wewe ndo umepata dini Hilo jina lake sawa ,
@wilsonkantabula1715
21 күн бұрын
Quran inasema yesu atakuja kuhumu wapinga kristo. Mpinga kristo ni nani?
@smadon5638
7 күн бұрын
Yesu alitumwa kwa Wayahudi Makabila 12 ya Waisraeli,hakutumwa kwa Wafrika 😂😂
@bustedislam3578
Күн бұрын
Hii ni hoja ya anayemfwata marehemu Muhammad aliyerogwa...
@mrjulius5840
16 күн бұрын
Kumbe MUHAMAD ALIROGWA ? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanjuma2772
10 күн бұрын
Kuna vitu vinahitaji elimu Pana Sasa tungelikuwa sote tunachukulia Kama elimu yako basi ingelikuwa tabu kwa mfano muhammadi alirogwa na yesu alichukuliwa nashetani hivi vitu vinahitaji elimu ,na siku zote neno usilo na elimu nalo usilitamke
Пікірлер: 80