Wakifanikiwa kuoana basi Ebitoke atakua amepata mume mwenye hekima,busara na mpole ambae hapendi makuu.Napenda alivyolilinda jina lake katika sanaa.Big up bro
@tabuyahya6481
4 жыл бұрын
Safi nimependa majibu yako yusuph mlela tatizo wabango wanapenda kutafuniwa wao wanameza tu kutaka kujua mambo ya watu nyie yanawahusu nini wacheni wale yao hakuna Alimuona mlela Akiwa na demu Au kampost ila mmeona kawa na Ebitoke hilo ni jambo la kheri
@razansalim532
4 жыл бұрын
Mmependeza sana mlela na ebit mmmmh mlela naona upo ndani ya penzi na kibint kibich😍
@siwemamichael690
4 жыл бұрын
Leo nimekupenda zaidi fanya kile unachopenda tu bro
@naimamunishi1241
4 жыл бұрын
Masha Allah good voice mlela
@sylviemutwale9527
4 жыл бұрын
Mlela penda sans
@obbymwakasoke9842
4 жыл бұрын
mnaponiboaga ni hapo kwenye hayo ma heleni tu utadhani dem
@obadiamartin116
4 жыл бұрын
Kama umemuona Bodigadi bora wa Mlela Gonga like
@estermartine2032
4 жыл бұрын
yaan yusuphu nampenda sana anavo igiza vzr xana na saut yake nzito
@happydudah3384
4 жыл бұрын
#sauti
@zainabhassan4511
4 жыл бұрын
msiwe kama hao madanga wengine wenye kupokezana wasichana wenyewe waona ni ustaa but ni uchafu mtupu muozo leo mna raha na kesho mtajibu nini
@haikamongi9525
4 жыл бұрын
Mlela handsome boy usiyechuja
@christellekisimba2447
4 жыл бұрын
Poa sana kaka
@brigitamash2007
4 жыл бұрын
shemela wangu
@pinahoscar6735
4 жыл бұрын
#mlela
@adelarodrick5186
4 жыл бұрын
Well done brother
@zuwenabilikundi8449
4 жыл бұрын
saut hyo mimi hoi mlela uko vizur
@omayaedward4665
4 жыл бұрын
Daaaah hii niatali sana wako poa kama wataoana
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Fanya fasta wek mtoto ndaniii😍😍😍😍😍
@neyjoseph813
4 жыл бұрын
Boss anaonekana yupo vizuri kimazoezi kuliko mlizi😂😂😂😂😂
Пікірлер: 112