Hizi zamuni za kisasa hata mm twariqa nazipinga. Athari tunazoacha kwa hawa watoto ni kukuza kipaji cha kucheza badala ya kukuza imani na elimu. Hususan tutakapozifananisha na mziki wa kizazi kipya basi huenda wakaishi pia wakitamani ku ma dancers
@Ismael-vx3oc
4 ай бұрын
Kweli kbxaa habiib mi pia napinga hpa
@bintichausa4744
2 жыл бұрын
Mzuri ila wachezaji ni wengi sana mpaka hawaonekani
@slimsalom.y.g.2792
3 жыл бұрын
Swalihina kwishaa ......mavazi pia yakuazimaaa..ya mujahidinaaaa aaaaah
@ahmedomar2311
4 жыл бұрын
Swalihina baba lao... Mutabaki kuwa juu kileleni daima...mumenikumbusha Zama zangu 😊
@bregediamtengwa1279
3 жыл бұрын
mashallah
@Fetty-r4o
3 жыл бұрын
Yeah, maa shaa Allah na kama mimi pia, missed it... Je ndio Swalihina ya Kisauni Sokoni, Mombasa Kenya hii? Niliisoma zama hizoo
@@ahmedomar2311 Ok n thanks Hao maustadh yategemea ni mwaka gani, ila hilo jina Aula namkumbuka maalim Aula miaka ya early 1980s na ustadh Omar Alhud from Mambrui na Anche
@ruqayyasuleiman9492
4 жыл бұрын
swalihina mumezingua.... mtaigaje wasanii Kama hakuna style acheni kucheza zamunii....
@salimkomora4869
Жыл бұрын
wakoveri
@alawiasaa1747
4 жыл бұрын
HYO NI NGOMAAAAAAAA AU MAULID YA MTUME.???? TUNAUDHALILISHA UISLAM KWAKWELI
Пікірлер: 13