Mimi kila siku nacomment ukipata nafasi nalia tena lia najua unachopitia tumepitia kwenye machungu mwanangu unatakiwa kulia donge liyayuke utapata maradhi bure lia kwa sauti tu tunakuelewa 😢😢😢
@PiliSalehe-lt9ul
4 сағат бұрын
Masikin daah watu tunashida lakin kunawa2 wanashida kutuzid😢
@carolinerubeya7817
4 сағат бұрын
Pole haki nalia tu Ur so sweet baby girl...God bless you nitafute pesa hata kidogo nikuchangie pia..😢
@Maryammbarouk-wu9wm
4 сағат бұрын
Pole sana mdogo wngu Allah atamponya mama ila mama usimlaze sana muegemeze ata namto napia mtto usimuache sana majumbani nawangu tofauti kuwa nasubra mdogo wngu
@marcynhumbi3534
4 сағат бұрын
Pole mdogo wangu Mungu aendelee kukutia nguvu.Lakini uwe makini na matapeli Kwa maana matapeli huwa wanapenda kutapeli kupitia matatizo ya watu
@jovinathasavoie8018
4 сағат бұрын
That is so sweet,zahir.i think sometimes anaitaji a day off.yaan hile break,angepata hata mtu mala moja moja anakaa na mama nae anapata hata masaa 2 peke yake.
@AmiriHumudi-hn6pt
3 сағат бұрын
Kaka zahir use unafanyaga mazowezi Mwili inanizidi huu Sasa.
@AmiriHumudi-hn6pt
4 сағат бұрын
Yaa Allah tusaidie umasikini m baya sana Ila familia mamyy nikija Sawa Tu ntakutafuta
@upendohalvorsen6331
4 сағат бұрын
Binti yetu mungu akusimamie, na uendelee na moyo huo huo.
Пікірлер: 12