Yani mama tee na diamond urafiki wao ni km wangu na mtalaka wangu yy akipata mke akimzingua ananipigia cm oyaaa kaliningrad nami mume akinizingua oyaa jamaa kanizingua 😂😂basi tunawachoraga tu😂 yani tumeachana but nimarafiki wakubwa sana
@abdull_hafidh
5 ай бұрын
Ni ushauri tu ila hakuna kitu kibaya kama kuachana na mtu ulienzowea na kuanzisha mahusiano mapya
@lucykristensen7145
5 ай бұрын
Mirald Ayo ana watangazaji wazuri sana. Good brains 🧠 ❤
@MSWAKIMSWAKI
5 ай бұрын
For sure..❤.. na sauti zao zipo vzr zinaeleweka
@hassanbakari4525
5 ай бұрын
MI SIHITAJI UMAARUFU😊,,NIWE NA KIBUNDA TU NIFANYE MAMBO YANGU.
@ChenchiKing
5 ай бұрын
Nakubali San Kipind Hiki Ndo Kipind Changu Pendwa🎉🎉🎉
@user-rj2wj6jl6g
5 ай бұрын
True dat milady oohmy god nadata na sauti zenu vido frida na pia milady mwenyewe one love 😘
@mandyuwimana7735
5 ай бұрын
Wel done Zari ❤❤
@user-ps9rq1ox4h
5 ай бұрын
Waaa Mimi nahurumia zari kabisa,juu huyu diamond wake atamfanyia vile vile TU,juu nimasiku tuu ataanza Tena tabia ya kutembea na wanawake wengine,zari alikua na kijana angemtunza vizuri lkn amemuacha , this time atalikia hospitalini juu hata choo zimejaa atabaki peke yake diamond atamuacha mausiku tu
@BarbaraPatience-qt9cc
5 ай бұрын
Hahahahaha zari amejua kua Mondi harudi kwake kabisa !!!
@namsamson3443
5 ай бұрын
Ni msemo tu sio kwamba ni kweli every week she is living.
@bree254
5 ай бұрын
Zuchu hana akili mbaya mpaka mama T anamjua jamani 😅😅😅 mm sina hela lakini siwezi forgive hvo kiraisi
@alibachirofficial3939
5 ай бұрын
Wewe ndio una akili mbaya kwa haraka haraka ukimsikliza zari unajua diamond anadeti na na zari Inakuwaje aseme diamond anasemaga zuchu msani wake2
@zakiakondo2849
5 ай бұрын
Inabidi sasa ujue umekuwa mama na mke wa mtu tulia na ndoa yako ikiwezekana hata hizo drama tv achana nazo focus na maisha yako na mumeo na watoto
@tunajaribu
5 ай бұрын
Wee naye wamshauri Zari unadhani wanawake waliko jirani yako? Atulie na ndoa wakati Diamond analisha watoto kwa kazi yake, na mitandao ndo maisha yake lol! Zari alimsaidia babake kutafuta pesa za watoto. Ameshasema alichokosea nikutokumwambia mumewe kuwa wanafanya kazi
@maggiesenkaali4596
5 ай бұрын
Frida said it!!! They look good together though!!! Yea baby , they do!!!!
@janepherkhisa1801
5 ай бұрын
Diamond kwenda Zanzibar pia ilikuwa ni promo
@mercybarasa3674
5 ай бұрын
Why is she explaining more about zuchu ooh mara mama dangote hamjui the question was easy a u the one ulifanya zuu amuache dai the answer was clear ,,no am not the one tosha 😢
@rehemakitara9978
5 ай бұрын
No huo umri wa shakib! Mka Google ni mkubwa kuliko Simba.
@natalieseren2060
5 ай бұрын
True ,Zuchu is always leaving
@user-sx9hz2xq8o
5 ай бұрын
Zari umeongea woyoooo funguka
@abdull_hafidh
5 ай бұрын
Zari Omba msamaha kwa mme wako achana na hawa wazinifu
@khairunabdullah2586
5 ай бұрын
Una moyo wa aina gani kumrudia m.mme anaeungana na maadui zako mkiwa na migogoro
@MyckleStewart
5 ай бұрын
Kweli kabisaa
@vanessalaizer4363
5 ай бұрын
Akati anamzalilisha uko kwa Mange??? Huyo Mume au nyoka?
@user-gv1op1oh2c
5 ай бұрын
Zari hebu kaa uleugali wako ukushuke achana kabisa na hizi habari
@reginazakuani2703
5 ай бұрын
Zuchu, why you move every week and come back every day?
@shadiwaigwa9230
5 ай бұрын
Mbona mtake kuskiza one side of the story, zuchu nae aonge
@mercybarasa3674
5 ай бұрын
She knows wat she did juu ukienda wasafi utasikia on Sunday she wanted to do an interview with juma lokole ,,,,huku pia ashaongea but zuu hajaongea anything,, that means she is the cause of all this 😢
@omanoman2044
5 ай бұрын
Ushakuw mtuy mzima tunza ndoa achana nahuyo alie kuzalisha watt wa inje ya ndoa na kisheria watt ni wako tunza ndoa upate pepo
@haruniaisha5905
5 ай бұрын
Sheria ipi yaani mnaonaga mila za kiarabu niza duniani kote poleni
@omanoman2044
5 ай бұрын
@@haruniaisha5905 mila za warabu nani kakwambia waisilam wanainga mila za warabu pole ww ulie potea uso jitambuw
@NajmaramadhaniAlly-is6mf
5 ай бұрын
@@haruniaisha5905mila za kiarabu gań kwahy kutunza ndoa ni mila za kialabu komwe ka mwiko
@user-ym7vm4om8z
5 ай бұрын
Waislamu bn ety watoto wa njee ya ndoa siyo wa mwanaume acha mila zako wew mpuuzi kwel
@donkaloza6985
5 ай бұрын
HUJIELEWI HAKUNAGA MTOTO WA INJE YA NDOA ACHEN USHAMBA
@baenimuhimafabrice
5 ай бұрын
Achana na uwongo alikuwa na tengeneza kiki ili wimbo wa harm ubume makini hamuwezi harmo kwa sasa
@user-yb6wh1bk9d
5 ай бұрын
Yaani mm navipenda vipindi na taarifa za millad ayo nampenda cn
@zuwenaadja2261
5 ай бұрын
Uninga mtupu mbona zote promo tu Zuchu nae kaimba wimbo wa kuomba msamaha huku yeye ndie anaombwa msamaha haimeki sense ile angeimba Zari tu ila mahusiano ya wasani hayaendi bila kiki.
@hadijandope6991
5 ай бұрын
Umefanya vizuri kuomba msamaha kwa mumeo. Kaa utulie na utunze ndoa yako. Ka kama mke
@mariamalongo8803
5 ай бұрын
Wakuache Zarii wa watu
@kekiplus1andonly
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani bando lazima litumike,
@user-id2iy2dy1z
5 ай бұрын
Millard Ayo Ayooooooo TV mbona munaingia kwenye udaku saivi? Hivi saivi mukitazama hiii munaonaje?????? Hii sio njia yenu stop it
@umminoorka1763
5 ай бұрын
Ooh haja move on wee anajua every bit of zuchu move weeh
@sabihaibrahim143
5 ай бұрын
kiki ya watu wa4
@verashiku9126
5 ай бұрын
Watu wangu nipitieni kwangu pia please nitashukuru sana mkinisupport❤
@tamausikanye9604
5 ай бұрын
achana naye ana faida yake kwa zuchu
@tumpeernest9690
5 ай бұрын
Millard yupo bize na simu
@hanamuson891
5 ай бұрын
Watu wanatumiana tu huku akili kichwani.
@stellahwilfred5762
5 ай бұрын
Achana nao huyo diamond dada yangu ..promoshen ya nn
@rukiauwonde7062
5 ай бұрын
😂😂😂shakibu katoa siri huko mange kimambi
@agwalubifaridah7079
5 ай бұрын
Ya zuchu hayakuhusu wewe umeachana na shakib mara ngapi yenye hatujui..
@christinajisena2634
5 ай бұрын
Zari malaya tu kama malaya wengine, anasababisha wanawake waliozaa kabla ya ndoa wasiolewe! Kashindwa kuheshimu ndoa yake eri kwa sababu anamshika mkono X wake, bulshit! Saivi Diamond kazi zake zinabuma mpaka afanye kiki za kipumbavu, na bado uchawi umeanza kubuma!
@brigidmua2548
5 ай бұрын
😮
@user-kh7bc4js1m
5 ай бұрын
Mmmtsyyy nonesence kesho tena
@JAFARYMWASHITETE
5 ай бұрын
Saf sanaaaa
@MyckleStewart
5 ай бұрын
YA zuchu na na diamond wachana nayo,wewe una mume wacha mambo YA mondi kabisaa
Пікірлер: 74