Capasitor inapimiwa kwenye microfarred.. siyo kwenye common. Pia diode ya rectifier kazi yake ni kubadili ac kuwa dc mara nyingi zinakaaa kwenye chaja ya simu.. pia hakuna diode inaitwa pcb... pcb ni kifupi cha Printed Circuit board.. yaani saket yanye michoro au ramani ya component... pia transistor inaungua mara nyingi sanaaa.. na ina miguu ya collector, emiter na base... pia kwenye simu component inayoongoza kwa idadi kubwa ni transistor na siyo capacitors.. proccesor tuu enyewe ina nano size transistors 2600000.. so uwe makini kidogo watu wako wasipotee...
@mr.pfundisimuhardwaremaste4376
2 жыл бұрын
Angalia iyo video ni ya kipindi kipi
@marafikistation
11 ай бұрын
Asante kwa kutuokoa
@mooplatz2770
7 ай бұрын
Naomba namba yako kak naamini una ki2
@softwareinjinia
6 ай бұрын
muongo uyo namjua
@joelnimbona1199
Жыл бұрын
Hau sikiki vizuri
@johnmwenebantu1208
2 жыл бұрын
Big up br, naomba ungetuelezea na kaazi za hizo components, pia kama mm fundi mdogo xana naomba uelezee, ic zinazo sababixha sim kuwaka, ASANTE BROTHER.
@mr.pfundisimuhardwaremaste4376
2 жыл бұрын
Shukrani ntajitaidi niwape information kamili endelea kufwatilia pia sambaza link subscribe like na comment yako ni muhimu sana
@livingit1732
3 жыл бұрын
Earned a sub!
@mr.pfundisimuhardwaremaste4376
3 жыл бұрын
Welcome
@johnmwenebantu1208
2 жыл бұрын
Bro sim za abroid zinazingua zikizima , moto unafika kwenye power key button ila nikiwasha sim haiwaki naombo maelekezo kuhuxu hilo
@mr.pfundisimuhardwaremaste4376
2 жыл бұрын
Hookey ukiona ivyo basi ujue cpu mbovu
@jarorya255
2 жыл бұрын
@@mr.pfundisimuhardwaremaste4376 naomba elekezi hapo pia kwenye cm inayochukua charge alafu inashusha haipandishi na system charge ni nzima sio mbov
@Laizer3
8 ай бұрын
ukimwambia mtu kifaa inabidi umuoneshe kwa mshale siyo kusema tu ,alafu tafuta kamera nzuri
Пікірлер: 14